Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Huyu aliyevaa manjano na Sugu yupi ni muhuni? Huyu mpaka kapiga ngumi gari ya polisi na kakataa kupanda gari wakati Sugu haku resist la ajabu kafatwa na Lori la kuchululia mahabusu 50.

On top of everything else Sugu ni mbunge aliyemaliza muda wake.na alikwisha pitishwa na chama chake atetee jimbo lake. Kaenda kubebwa kati kati ya mchakato wa uchaguzi. What a waste.of limited resources.
 
Hii ndiyo CCM halisi isiyokuwa na Taswira ya Mwenyekiti wao!.

Miaka 60 ya kuliongoza taifa, Umoja na mshikamano ndani ya CCM unaning'ia kwenye uzi mwembamba Sana, umeshikishwa kwa gundi ya utovu wa papai hata wenyewe wanakifahamu, ndio maana viongozi wa CCM wanatumia lugha ya vitisho, ya takukuru, ya polisi, ya kalipio, ya kuadhibu, ya kushikishana adabu na nyinginezo zinazoashiria kuwa kanuni, katiba, maazimio, maadili , miiko na taratibu za chama haziaminiki na haziheshimiki tena miongoni mwa wadau. Hata mh.

JPM anatumia njia zake mwenyewe kuisaidia Tanzania na CCM. Mwisho kabisa wa CCM ulikuwa mwaka 2015. Huwezi kusema wale wote waliokuwa wameihama CCM 2015 wamerudi tena CCM kwa hiari yao, wanaodhani hivyo wanakosea Sana, ndiyo maana wapinzani wasiwabeze na kuwakejeli hata kidogo wale wote waliorejea CCM. Hawa watu wanafanana Sana na upinzani zaidi kuliko CCM, wqpeni muda.
 
Hongera sana mkuu kwa kupata mtoto mwenye akili
Mtoto ana akili kweli huyo, maana EPA Ni wao, Richmond Ni wao, IPTL Ni wao, nyumba kuuzwa Ni wao, agreko Ni wao, kuuzwa nyumba ni wao, rushwa kukithiri ni wao, ukosefu wa maji Ni wao....
 
Hahaha Magufuli huwa anajidai anajua kufukuza wanachama, awafukuze wote hawa tumsifu.
 
Mpasuko!!!!!!!!!!!!! Haki inapoporwa!!!!!!!

Mnasubiri nini huko? Kwani hamkujua mpo chama chenye misingi gani!!!!!!!

Basi tena , msubiri 2025 ili mjipe moyo. Membe alishaamua nyie mnasubiri nini?
 
Dodoma madiwani wanavurugana tu mara Barua itumwe alieshinda kwa kura za wajumbe ndie mgombea. Mara waseme mgombea ni yule alieteuliwa na Kamati ya ccm hata kama alikuwa na Kura 2..!![emoji23][emoji23][emoji23]

Yani vita itakayotokea ndani ya ccm mwaka huu ni balaaa sasa washaanza kufarakana mapema hivi majina ya Ubunge yakitoka ndo hatarii tupu. Mara Nape na Makamba nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bashite ndaniii...ohoo sema mufarakaneee tu yani mzichapeee hasaaa.
 
Dodoma madiwani wanafurugana tu mara Barua itumwe alieshinda kwa kura za wajumbe ndie mgombea. Mara waseme mgombea ni yule alieteuliwa na Kamati ya ccm hata kama alikuwa na Kura 2..!![emoji23][emoji23][emoji23]

Yani vita itakayotokea ndani ya ccm mwaka huu ni balaaa sasa washaanza kufarakana mapema hivi majina ya Ubunge yakitoka ndo hatarii tupu. Mara Nape na Makamba nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bashite ndaniii...ohoo sema mufarakaneee tu yani mzichapeee hasaaa.
Nape itabidi waanze kupigana mabuti wenyewe kwa wenyewe
 
Nami nasema demokrasia inaanzia ndani ya chama tofauti na hapo ni batili.
 

Attachments

  • 2447671_FB_IMG_15938761310267508.jpg
    2447671_FB_IMG_15938761310267508.jpg
    14.9 KB · Views: 1
Dodoma madiwani wanavurugana tu mara Barua itumwe alieshinda kwa kura za wajumbe ndie mgombea. Mara waseme mgombea ni yule alieteuliwa na Kamati ya ccm hata kama alikuwa na Kura 2..!![emoji23][emoji23][emoji23]

Yani vita itakayotokea ndani ya ccm mwaka huu ni balaaa sasa washaanza kufarakana mapema hivi majina ya Ubunge yakitoka ndo hatarii tupu. Mara Nape na Makamba nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bashite ndaniii...ohoo sema mufarakaneee tu yani mzichapeee hasaaa.
Siyo lazima kuanzisha thread kama huna jipya.
 
Kwa mamlaka nliopewa nafuta chaguzi zote mpaka 2025, mtaniwehua kwa sonona.

Hatulali kwa amani, vibarua vyetu ndio vinakaribia kuwaka moto, kila tunavyomuona yule "MFU KUTOKA UBELGIJI" anavyowakusanya mafuasi nchi nzima matumbo yanatuvuruga, halafu mwenyekiti wetu alijisahau alivyopata madaraka akalewa, akajitia ubabe na ujeuri, haambiliki wala hakushaurika, chama akakidharau, wanachama kaishawavuruga kwa kuthamini waliopindua karata toka upinzani. Mbobezi yupo kimya hatujui mikakati anayopanga. Yani ni zahama juu ya zahama.
 
Wacha kabisa ilianzia kwenye lile tamasha usiku.
 
Back
Top Bottom