[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu kembambaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanaanza nimemisi kabichi ya mama. Hakuna mtu anajua kupika kama mama yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upo uzi kama huu humu
Mie hayo madude hapo chini yakiongozwa na boga sili aseee,nife tu
View attachment 2098892View attachment 2098893View attachment 2098894
Mnafikiri kufa ni rahisi hivyo?Mimi ugali na njegere sili bora nikufe
Siku ukitaitishwa hakuna option nyingine utakula hata ugali na maji ya kandoro.Ugali na maziwa hata kwa mabomu sili
Upo sahihi sana mkuu. Watu wengi wanaongea hapa kwasababu wanazo option. Lkn ikikutokea situation kama uliyoeleza hapo, hakika karibu kila chakula kinaliwa labda hicho chakula kiwe si chakula kabisa kwenye jamii yetu kama vile nyokaAisee haya maisha tumetofautiana sana. Wote nyie hamjawahi kupigwa na njaa. Mimi kuna kipindi nilikua nasema siwezi kula nyanya chungu na biringanya.
Sasa katika mishe mishe za utafutaji niliingia chaka huko nikapigwa na njaa alafu nikakuta jamaa wamepika ugali na mboga ni mixa nyanya chungu na biringanya nilikula na nilienjoy sikuamini kabisa ila ndio imetokea.
Tangia siku hiyo nilijiapiza sitakuja kusema chakula fulani sili. Asikuambie mtu suala la kuchagua chakula ni kwa vile kipo. Ila njaa ikikugonga vizuri mamaee kila kitu utakula.
Najua sio rahisi hiyo ni lugha tu kuonyesha ni kiasi gani sikipendi hicho chakula..mimi mwenyewe ninayesema hivyo unadhani sijawahi kula? Nimekula sana tu ila katika hali ya kawaida sili kwa kweli.Mnafikiri kufa ni rahisi hivyo?
Sema tu hamjakuwa kwenye situation ambayo hakuna namna nyingine lakini trust me ukijikuta mazingira ambayo hauna option nyingine utakula tu.
Amini kwamba.
Hahaha. Hapo sawa. Kwakweli kuna mazingira unaweza kuwepo ukala chochote kinachoweza kulika hata majani ya porini.Najua sio rahisi hiyo ni lugha tu kuonyesha ni kiasi gani sikipendi hicho chakula..mimi mwenyewe ninayesema hivyo unadhani sijawahi kula? Nimekula sana tu ila katika hali ya kawaida sili kwa kweli
Duuh hatari sanaHahaha. Hapo sawa. Kwakweli kuna mazingira unaweza kuwepo ukala chochote kinachoweza kulika hata majani ya porini.
Kuna siku nipo chaka fulani umasaini huko nimekaa siku mbili sijala asee tulifika kwenye boma moja tukapewa ugali kiporo na chai ya maziwa ila ukiangalia hata hivyo vyombo vilivyo vichafu kwa hali ya kawaida hauwezi kula kamwe. Ila tulipiga fresh kabisa tena hata maji ya kunawa hakuna unashika ugali unabakia na rangi kama umepakwa udongo.
Maji unakunywa yaliyotuama na hapo hapo ng'ombe wanakunywa na kunya kwenye hilo dimbwi. Yani unafunga tu macho usione unachokunywa ila huwezi kuacha kunywa.
ila ugal na njegere ni ufoo asee[emoji1][emoji1][emoji1]Mimi ugali na njegere sili bora nikufe
Nilikula mbaazi kisutu zilipikwa na mama wa kihindi na chapat na kipande cha kuku..sijawai kula mbaazi tamu kama zile..sjui alipikaje yule mamaMajani ya Kunde, choroko, mbaazi hapana bora nife njaa..!mihogo iliyoungwa nazi nitakula huku Moyoni nimenuna balaa!!
Intake ya kina Sanko hiyo, Kuna msela mmoja alikuwa anaitwa Sanko,alikuwa mtata, na someone wakuitwa Mwalongo,Kabeji naipenda sana mana insnikumbusha RTS kunduchi mwaka 1998...
Mnafikiri kufa ni rahisi hivyo?
Sema tu hamjakuwa kwenye situation ambayo hakuna namna nyingine lakini trust me ukijikuta mazingira ambayo hauna option nyingine utakula tu.
Amini kwamba.
Najua sio rahisi hiyo ni lugha tu kuonyesha ni kiasi gani sikipendi hicho chakula..mimi mwenyewe ninayesema hivyo unadhani sijawahi kula? Nimekula sana tu ila katika hali ya kawaida sili kwa kweli.
Because am your sista[emoji7][emoji7]
Halafu yupo kunichamba eti sijui kupika kisa nimemkatalia hilo pishi lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mdogo wangu siku unaolewa muulize shemeji preferences zake kwenye vyakula sio unaolewa na ka last born ka kifipa huko kanaenda kukupikisha cabbage na karanga[emoji1787][emoji1787]
Loh! πͺNapenda kabich iwekewe hoho,karoti na kitunguu na chumvi unaikaanga kidogo kwenye mafuta kidogo
Au iwe kwq chumbari
M ihogo napendaUmesahau viazi na mihogo[emoji1787]
Vinakaba kooni balaa
Sio siwezi kula,sivipendiHivi vitu vizuri huwezi Kula pole Sana