technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hakuna chama hata kimoja hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliona mpango mzima hauna maana walivyomkaba hata nafasi ya mmwenykiti wa mtaa kule Kilacha.Dah mzee wa Kiraracha aliniacha hoi sana kipindi cha kampeni, yaani ye ni mwenyekiti wa TLP na chama chake kimesimamisha mgombea urais halafu yeye anampigia debe bwana Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana wawakilishi wao walikuwa hawapeleki mrejesho kwenye vyama vyao? Tena wengi walikuwa ni Makatibu na wenyeviti wa vyama hivyo!!Ni aibu kwa vyama hivyo vilivyokuwa na wawakilishi kutojua sababu za kukwama mchakato wa katiba.
Naamini maneno kuwa Tanzania kuna wasanii millioni 60Ina maana wawakilishi wao walikuwa hawapeleki mrejesho kwenye vyama vyao? Tena wengi walikuwa ni Makatibu na wenyeviti wa vyama hivyo!!
Kweli shetani hana rafiki,hadi yule mzee ambaye hana hata madhara naye wanamchakachua.Aliona mpango mzima hauna maana walivyomkaba hata nafasi ya mwenyekiti wa kijiji kule Kilacha.
Ukifanikiwa kuidhibiti njaa maishani mwako,kamwe huwezi fikiri kwa tumbo kama hawa mafafa. Mzee Rungwe amejikomboa kifikra tangu zamani mno.Piga ua huvyovyama huwezi kumkuta Hashim Rungwe.
Yule mzee anazeeka vizuri.
na pia wana imani na Rais Magufuli.
Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA
Mbwiga hao viongozi 4 ndio maoni yao yamerushwa na tv lakini jumla walikuwepo viongozi wa vyama 12........uwe unasoma na kuelewa bwashee!Naona kichwa cha habari ni vyama 12 lkn katika habari yako ni vyama 4 amakweli mumezidi uongooo yani hata hesabu kichwani huna tena kwa kushabikia kutoa uhai wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni matawi ya CCM wala sio vyama vya Upinzani,watanzania sio wajingaVyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.
Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.
Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.
Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA
Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!
Alafu mtoa habari ni kada mtiifu wa ccm.Hapo kwenye chanjo cha habari nimepaelewa sana
Hashimu Spunda Rungwe hayumo bwashee!Piga ua hivyo vyama huwezi kumkuta Hashim Rungwe.
Yule mzee anazeeka vizuri.