Vyama 12 vya upinzani nchini Vyamkana Mbowe na Chadema, vyasema vitashiriki uchaguzi chini ya NEC kwani wana Imani nayo

Vyama 12 vya upinzani nchini Vyamkana Mbowe na Chadema, vyasema vitashiriki uchaguzi chini ya NEC kwani wana Imani nayo

Nimekwambia time and again kuwa na wewe ni wale wale! Hivi ni vyama? Jumlisha kkura zao uchaguzi wa 2015 then rudi hapa utoe mrejesho! Of what effect these vyama?
Katika kura milioni 6 za Lowassa kule UKAWA na za CUF zimo tena ndio nyingi......so usiwachukulie poa meku!
 
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.

Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.

Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.

Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA

Source TBC habari

Maendeleo hayana vyama!

Kwani kila chama kisichoitwa CCM ni chama cha upinzani?

Kwani watanzania na Jumuiya ya Kimataifa inayoishutumu Tanzania kubana upinzani nchini wanazungumzia kila chama kilichosajiriwa kama ulivyoviorodhesha hapo?

Kwani Chadema, ACT, NCCR na CUF wasiposhiriki uchaguzi wowote na utitiri mwingine uliobaki ukashiriki watanzania na Dunia wataona kama wapinzani walishiriki?

Halafu source ya habari yenyewe ni TBC ambayo ni TV ya Chama tawala?

Endeleeni kuchezea amani ya nchi hii kwa kudhani mna deal na kizazi cha analogy. Siku mkija kushtuka it will be too late.

FACTS don't mix with stupidity.
 
Mbona hakuna chama kwenye hiyo orodha?
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.

Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.

Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.

Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA

Source TBC habari

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.
Akina Abel Muzorewa, Ndabaningi Sithole wa Rhodesia bado wapo na wanalindwa ili kuendeleza vyama vya VIONGOZI wanaokula mezani pa CCM
 
Back
Top Bottom