Vyama 12 vya upinzani nchini Vyamkana Mbowe na Chadema, vyasema vitashiriki uchaguzi chini ya NEC kwani wana Imani nayo

Vyama 12 vya upinzani nchini Vyamkana Mbowe na Chadema, vyasema vitashiriki uchaguzi chini ya NEC kwani wana Imani nayo

Njaa mbaya sana. Watu kama ninyi mnaongelea ukabila mnapokua mumekosa hoja. Hakuna mageuzi yanayoanza wengi. Watu hamjui historia. Hata mnaojidai CCM vindakindaki hamjui kwamba CCM. Wanzilishi wengi walitokea mikoa ya Pwani. Leo hii munakula kwa mrija hata ambao hamupgania,tena mnafanya siasa chafu ili kulinda mikate yenu..lazma tukubali mageuzi yanaanza na kundi mwishowe wote hupata matunda kama Taifa. Kwann m ufanye ubaguzi wakat nchi ni yetu sote!!?
Sisi kama ni Wabeba CCM,nyinyi CHADEMA mbona ni kipindi cha Wahuni Wanaharakati.(Chaga Development Movement Association). Hamna la maana bali mnataka kuirudisha nchi nyuma kwa kushirikiana na hao Washirika wenu wa Ulaya.Nendeni na muwaambie Tanzania iko IMARA na wenye tupo.Jihadharini msizime makaa ya moto kwa ulimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"........ Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo...... "

"....,........ wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba..... "

Argument ya namna gani hii!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna chama??? Ungesema watu 12 ungeeleweka
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.

Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.

Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.

Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA

Source TBC habari

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.

Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.

Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.

Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA

Source TBC habari

Maendeleo hayana vyama!
Taifa la wajinga kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIVYO NI VYAMA MFU KAMA KILIVYO CCM. TUNA WAACHA WAFU MZIKANE WENYEWE. TUTA UNGANA NA ACT, NCCR,CCJ NA WENGINEO
 
Yaani ni sawa tu na CCM mara inamilikiwa na wanachama,mara ya mtu fulani,yani kama inauzwa au imeuzwa tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20200205-205703_Chrome.jpg
    Screenshot_20200205-205703_Chrome.jpg
    89.2 KB · Views: 1
Mbwa wewe! Mbona mnalilia misaada ya ulaya na mnakopa kwao? Wewe ni lipumbavu kabisa!
Sisi kama ni Wabeba CCM,nyinyi CHADEMA mbona ni kipindi cha Wahuni Wanaharakati.(Chaga Development Movement Association). Hamna la maana bali mnataka kuirudisha nchi nyuma kwa kushirikiana na hao Washirika wenu wa Ulaya.Nendeni na muwaambie Tanzania iko IMARA na wenye tupo.Jihadharini msizime makaa ya moto kwa ulimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA
Nimekwambia time and again kuwa na wewe ni wale wale! Hivi ni vyama? Jumlisha kkura zao uchaguzi wa 2015 then rudi hapa utoe mrejesho! Of what effect these vyama?
 
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.

Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.

Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.

Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA

Source TBC habari

Maendeleo hayana vyama!
Hivyo vyama sio vya upinzani, maana havionekani hata bungeni naona kama ni Reserve parties ambavyo vipo kama viburudisho kwa watawala.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyama 12 vya upinzani nchini vimesema vitashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu chini ya Tume ya uchaguzi iliyopo kwani wana imani nayo na pia wana imani na Rais Magufuli.

Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiongea na waandishi wa habari wamesema Mbowe na Chadema ni miongoni mwa waliosababisha tukose Tume huru ya uchaguzi baada ya kususia bunge la katiba halafu leo anawahadaa wananchi eti waikatae NEC.

Viongozi hao pia wamemshukia Zitto na kudai kuwa ni kiongozi mbinafsi anayetanguliza maslahi yake mbele badala ya maslahi ya taifa.

Miongoni mwa vyama vilivyozungumza kwenye mkutano huo ni pamoja na TLP, DP, CUF, UDP na NRA

Source TBC habari

Maendeleo hayana vyama!
Ni wapumbavu wanaandikiwa cha kusema nao wanakurupuka bila kujua ukweli wa mambo, Chadema ilikwishasema kuwa itashiriki kwenye uchaguzi, hili la tume haliwazuii kushiriki.
 
CCM kwisha habari hadi imeamua kwenda kujiegesha kwenye vyama mfu, ama kweli, yaani mbeleko ya vyombo vyooote vya dola, NEC na mabilioni wanayayokomba hazina ili kuiua Chadema bado hawajafanikiwa sasa wanataka na mbeleko ya vibaraka!! Siku ya kufa nyani miti yote inateleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM kwisha habari hadi imeamua kwenda kujiegesha kwenye vyama mfu, ama kweli, yaani mbeleko ya vyombo vyooote vya dola, NEC na mabilioni wanayayokomba hazina ili kuiua Chadema bado hawajafanikiwa sasa wanataka na mbeleko ya vibaraka!! Siku ya kufa nyani miti yote inateleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
CUF ni chama mfu bwashee?
 
Tanzania bado tuna safari ndefu saaana upande wa siasa, yote haya ni kwa sababu ya ujinga wa viongozi wa kisiasa, yaani hawajui kwanini wapo kwenye hivo vyama kazi ni kila mmoja kutetea tumbo lake ilihali wananchi waliowaamini wanalia hali ngumu ya maisha mtaani, wao kucha kutwa wanagombania masilahi yao bnafsi. Ama hakika hii nchi ujinga bado ni janga hatari ambalo ndio mtaji kwa kondoo (viongozi) wanaotuongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom