Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Real nonsense!They are doing nonsense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Real nonsense!They are doing nonsense
Je ADC kushiriki uchaguz??Lipumba Je??
Hata sauzi walikuwepo vibaraka weusi wakimtumikia kaburu.Real nonsense!
Tatizo la JF watu wanaanzisha vurugu wakiwa nyuma ya keyboard tena wengine wakiwa Marekani na Ulaya!!TUSIHUBIRI WALA KUFURAHIA VURUGU.
Siyo sahihi wala busara kutafuta suluhisho kwa kuhubiri na kushabikia vurugu.
Wawezaje kutamani kuingia kweye mauaji? Unataka damu ya nani imwagike? Unamfurahisha nani kwa kuhubiri vurugu?
Kumbuka: Nchi ikiingia kwenye vurugu watu wengi wataathirika. Tutapoteza maisha ya Watanzania wenzetu, baadhi watakuwa vilema, na wengine huenda wakawa wakimbizi. Kati ya wahanga wa vurugu unaweza kuwa wewe, watoto wako, ndugu na jamaa zako, mimi, na wengineo wengi.
NI kitu gani hicho tumekikosa hadi vurugu iwe ndiyo mbadala sahihi?
Na vibaraka ni wale waitakiao mabaya serikali iliyowekwa na watu baada ya uchaguzi huru na haki.Hata sauzi walikuwepo vibaraka weusi wakimtumikia kaburu.
Kwenye mnduku wakoHawa wapinzani wamekwama wapi?
Wangalau sasa wapinzani wanaanza kuzungumza lugha inayotakiwa kutufikisha pazuri, tunajua njia hii ni ngumu na italeta mauji, lakini kwa hapa tulipofikia hakuna njia nyingine nje ya njia hii, tena ilichelewa. Tunajua fika woga umewaingia wananchi, lakini kwenye madai halali uwoga itabidi uondoke.
Mkuu, kama nchi hii kuibiwa ilishaibiwa sana na itaendelea kuibiwa hata kama tukikuchagua wewe kuwa kiongozi.
Wengine tunaridhi na haka kaamani tuliko nako maadam tunapata uhuru wa kupambana kulisha watoto wetu ili nao wakue!!
Kama ni vurugu na fujo, Mungu aziepushie mbali kwani hata wasipoiba, hakuna atakayekupa pesa za bure. Hivyo, bora tubaki na amani tuliyo nayo!
Wewe ni coward; kwani sasa hivi familia ngapi zinateseka, Ben wa Saanane, Aquilina, Azory Gwanda, Mwangosi, watu 21 Pemba, mawazo, kinondoni uchaguzi mdogo; makamanda kibao wameuliwa na Green Guard; miili Coco Beach, Kibiti,na wengine wengi waliofilisiwa na kesi za uchumi kwenye jasho Lao hiyo Amani unayohubiri ipo wapi? Wakina kabendera? Tatizo bado hayajakufika ndo mana unaongea huo upuuzi wako tulia dawa ikuingie#anaitwaroma#tumehuruyauchaguzi#katibampyayawariobaTUSIHUBIRI WALA KUFURAHIA VURUGU.
Siyo sahihi wala busara kutafuta suluhisho kwa kuhubiri na kushabikia vurugu.
Wawezaje kutamani kuingia kweye mauaji? Unataka damu ya nani imwagike? Unamfurahisha nani kwa kuhubiri vurugu?
Kumbuka: Nchi ikiingia kwenye vurugu watu wengi wataathirika. Tutapoteza maisha ya Watanzania wenzetu, baadhi watakuwa vilema, na wengine huenda wakawa wakimbizi. Kati ya wahanga wa vurugu unaweza kuwa wewe, watoto wako, ndugu na jamaa zako, mimi, na wengineo wengi.
NI kitu gani hicho tumekikosa hadi vurugu iwe ndiyo mbadala sahihi?
Hilo litabaki tetesi kwa miaka ishirini ijayo.Kuna tetesi kuwa kuna maandamano yasiyo na kikomo hivi karibuni
Hao huwezi linganisha na mamilioni ya watanzania tunaofurahia Amani na Uhuru. Inawezekana hao walitaka kuvuruga Amani. Heri wachache wapotee wengi walindweWewe ni coward kwani sasa hivi familia ngapi zinateseka,Ben wa saanane, aquilina,azory gwanda,mwangosi, watu 21 Pemba, mawazo, kinondoni uchaguzi mdogo ,makamanda kibao wameuliwa na greengurd, miili Coco beach,kibiti,na wengine wengi waliofilisiwa na kesi za uchumi kwenye jasho Lao hiyo Amani unayohubiri ipo wapi? WA kina kabendera? Tatizo bado hayajakufika ndo mana unaongea huo upuuzi wako tulia dawa ikuingie#anaitwaroma#tumehuruyauchaguzi#katibampyayawarioba
...waache uoga - wajifunze upinzani wa wenzao wa Uganda...hii habari ya kuonewa huruma haipo
.....walikosea sana pale walupopigwa mkwara kuhusu mikutano ya nje walipogwaya...na ile ya ukuta
Nakwenda ZimbabweDar es Salaam. Siku moja kabla ya kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuanza vyama saba vilivyojitoa katika mchakato wa uchaguzi huo vimetoa tamko vikiwataka Watanzania kujiandaa kwa maelekezo mengine yatakayotolewa baada ya kumalizia mashauriano.
Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Novemba 16 baada vyama vya Chadema, ACT-Wazalendo, Chaumma, CCK, NCCR Mageuzi, UPDP na NLD kutoa msimamo wao.
Akiongea kwa niaba ya vyama hivyo, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa Abdallah Safari amesema vyama hivyo vilishatoa matamko ya kujitoa kwenye uchaguzi huo kutokana na ukiukwaji wa kampuni na sheria.
Amesema baada ya vyama hivyo kujitoa kushiriki uchaguzi, serikali kwa upande wake ilitoa matamko mbalimbali yaliyokuwa yakitofautiana na kuchanganya, licha ya kuwa yalikuwa yakitolewa na mtu mmoja ambaye ni Waziri wa Tamisemi.
"Baada ya wagombea wa vyama hivyo kujitoa kwenye uchaguzi huo, waliwajulisha wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuhusu kujitoa na kwa ngazi ya Taifa baadhi ya vyama vilimjulisha waziri wa Tamisemi kwa barua,” amesema Profesa Safari.
Baada ya kushauriana vyama hivyo vimeazimia kwa pamoja havitashiriki kwa vyovyote “kwenye kampeni na uchaguzi unaoenda kinyume na kanuni za uchaguzi” na vimewataka wanachama na wafuasi kutoshiriki.
Aidha vyama hivyo vimetoa wito “uchaguzi huo ufutwe na mchakato wake uanze upya kwa mustakabali wa amani ya Taifa.”
"Tunatoa wito kwa umma na Watanzania wajiandae kwa maelekezo yoyote yatakayotolewa baada ya mashauriano yanayoendelea miongoni mwa vyama na makundi mengine ya jamii," amesisitiza Profesa Safari.
Maazimio mengine ni pamoja na kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi ambayo itakuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi zote nchini.
Amesema vyama hivyo vimetambua kauli na wito uliotolewa na viongozi wastaafu na viongozi wa dini nchini na kuwaomba kuchukua hatua za kuingilia kati mapema ili kunusuru amani ya Taifa.
Akizungumza katika mkutano huo, Kiongozi wa ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Watanzania wanatakiwa kuwa tayari na kutega masikio wakati vyama hivyo na makundi mbalimbali yakiendelea na mashauriano.
"Hatutakubali kuendelea kupingwa kwa miaka minne mfululizo. Tunawataka Watanzania kuendelea kutega masikio wakati hatua zikiendelea ikiwemo mashauriano na makundi mbalimbali," amesema Zitto.
Mwenyekiti wa Chaumma, Hashimu Rungwe ametumia mkutano huo kufafanua taarifa zinazoelezwa kuwa vyama vingine vilivyojitoa havikuweka wagombea, akisema si za kweli na akashauri zipuuzwe.
"Mimi niliweka wagombea 25O ambao walitolewa wote wanaosema sikuweka wagombea muwapuze," alisema Rungwe
CHANZO: Mwananchi