Uchaguzi 2020 Vyama tisa vya upinzani vyatoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Vyama tisa vya upinzani vyatoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020

Nenda kaliseme hili kwenye kijiji kimoja uone! Watu wamechafuka wino kwa ajili ya JPM

Kijijini mbali, aende tuu hapo barabarani atamke hayo maneno aone.
Kujifariji heri waendelee kuyaweka kwenye twita ambayo inatomika zaidi na kutoa matamko kati ya vibaraka na mabwana zao😎
 
Kuna mzee mmoja kati ya wale 9 akasema "Huyo aliyedai kushinda na kuibiwa kura ni mmoja, tumwacheni apotee kwani watazaliwa wengine 100." Rais ni Magufuli, kipenzi cha Watanzania wote.
 
Wapinzani hamkujiandaa tulieni tuu jipangeni upya kwasasa hapana acha twende na huyu Mzalendo Magufuli.


Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hawajitambui hawa, mpaka ndugu zao wenda wanawashangaa ukiacha majirani zao na dunia
 
Hesabu jumla ya kura za hivyo vyama vyote tisa, alafu ndo ujenge ukubwa wa tamko lao!
 
Wapinzani hamkujiandaa tulieni tuu jipangeni upya kwasasa hapana acha twende na huyu Mzalendo Magufuli.


Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hawajajipanga nini sasa? Hawakununua mabegi ya kuweka kura feki au hawakuwapa JAMANA fungu?
 
Vyama tisa vya upinzani vimetoa tamko la kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 28, 2020 na mgombea wa CCM, Dkt. John Magufuli kuibuka mshindi baada ya kupata 84.4% ya kura zote.

Katika tamko lao, vyama hivyo vimempongeza mgombea huyo kwa kushinda na kusema kwamba mambo aliyoyafanya ndani ya miaka mitano iliyopita yamechangia kwa kiasi kikubwa ushindi wake.

Vyama hivyo pia vimeipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kuratibu uchaguzi huo uliohusisha vyama 15.

MY TAKE:
Tamko la vyama zaidi tisa ni tamko kubwa
Vyote kwa pamoja vina asilimia ngapi
 
Hawajajipanga nini sasa? Hawakununua mabegi ya kuweka kura feki au hawakuwapa JAMANA fungu?
The end results justify the means ....kushindwa vibaya kwa upinzani maana yake strategies zao hazikuwa sawa wakajipange.

Huu ni muda wa kujenga nchi na Kiongozi tunaye Magufuli ANATOSHA.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Nenda kaliseme hili kwenye kijiji kimoja uone! Watu wamechafuka wino kwa ajili ya JPM
Wamuue[emoji23][emoji23][emoji23]
wazee wamechafuka wino kuna watu wakerekewa wa CCM hata ukiwapasua damu ya kijani inatoka
Wameenda vituoni kupiga kura saa1 washajaa
 
Huwezi kuitoa CCM bila kuwa na mikakati iliyotukuka, ni wakati sasa wa vyama pinzani kukaa chini na kutafakari wapi walikosea, wapi wanakosea!! Vyama pinzani vina haja kubwa ya kujitathimini kwa kina, but kulaumu kuwa wameibiwa huu ni upuuzi wa kiwango cha juu!! CCM ina miaka mingi sana madarakani, huezi kuing'oa kwa mbinu za kitoto za kupigapiga makelele,
Wanapaswa kutengeneza Misingi imara, watengeneze base ya kutosha, wawe na plan nzito, wawe na strategies nzuri, CCM ina ina misingi imara, CCM ina asset watu ya kutosha, kuna watu wasipopiga kura kwa CCM wanajiona ni wasaliti!!
Hakuna wizi wala nini huo ndio ukweli!! Kama wanabisha wale mawakala wa vyama walipewa nakala za matokeo, wachukue zile then wajumlishe afu waone walichopanda, !!
 
Mkuu hawa wanapiga kelele, emu wajaribu kuwauliza wana CCM jinsi wanavyoandaa wagombea wao, wajaribu kuwauliza wenyeviti, wajumbe wa nyumba kumi mbinu wanazotumia, wajaribu kuuliza baadhi ya mikakati, then warudi chini wajitafakari wanakosea wapi!! Lawama hizi ni uongo mkubwa, !!
Hivi Chadema ina wajumbe wao Wa nyumba kumikumi?!!!

Hivi ni rahisi Kushinda uchaguzi ilihali huna WENYEVITI WA SERIKALI YA MTAA?!!

Hivi unashindaje uchaguzi mkuu bila ya TUME HURU?!!

Hivi si mh.Mbowe aliyewahadaa nguli wa upinzani kwa kuibadilisha GIA angani na kumchukua mh.Lowassa ule mwaka 2015?!!!

Hivi kutaka Kuheshimu katiba ya nchi hakuanzi na Kuheshimu taratibu zilizoko ndani ya vyama vya upinzani na pia katiba zao?!!!!
Sikumbuki kama mh.Mbowe alifuata taratibu za kumteua mgombea wa urais wa Chadema ule mwaka 2015.....

Taifa Letu....
Amani Yetu....
 
Wanazingua sana hawa wapinzani, wanadhani kuitoa CCM madarakani ni kama maandazi tu, au kama unatoa vitu gengeni, uchaguzi wakubali wameshindwa na sio kwa kuiba bali ni halali kabsaaa!!
Kijijini mbali, aende tuu hapo barabarani atamke hayo maneno aone.
Kujifariji heri waendelee kuyaweka kwenye twita ambayo inatomika zaidi na kutoa matamko kati ya vibaraka na mabwana zao[emoji41]
 
Una hakika na hayo mabeg, emu acheni kuzusha vitu msivojua, trust me , huu uchaguzi mmeshindwa kihalali kabsaa! Mnajitafutia dhambi kwa hao mnaowasingizia walikuwa na mabeg!!
Kama ungejua utaratibu unaokuwapo kwenye zoezi la uchaguzi wala usingelipiga hayo makelele
Hawajajipanga nini sasa? Hawakununua mabegi ya kuweka kura feki au hawakuwapa JAMANA fungu?
 
Huu ndio ukweli, nimegundua hicho kitu, hawana mikakati miaka yote, kitu kikubwa wajitafakari wapi wanakosea
The end results justify the means ....kushindwa vibaya kwa upinzani maana yake strategies zao hazikuwa sawa wakajipange.

Huu ni muda wa kujenga nchi na Kiongozi tunaye Magufuli ANATOSHA.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Vyama tisa vya upinzani vimetoa tamko la kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 28, 2020 na mgombea wa CCM, Dkt. John Magufuli kuibuka mshindi baada ya kupata 84.4% ya kura zote.

Katika tamko lao, vyama hivyo vimempongeza mgombea huyo kwa kushinda na kusema kwamba mambo aliyoyafanya ndani ya miaka mitano iliyopita yamechangia kwa kiasi kikubwa ushindi wake.

Vyama hivyo pia vimeipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kuratibu uchaguzi huo uliohusisha vyama 15.

MY TAKE:
Tamko la vyama zaidi tisa ni tamko kubwa
Haya tungoje Amsterdam atasema nini juu ya tamko la hivyo vyama,

Tamko la hivyo vyama 9 ni ushahidi tosha kuwa Amsterdam hataki Demokrasia bali anataka kulazimisha mteja wake ndie atangazwe. Asipoangalia anaweza kufunguliwa mashitaka UN ya kuingilia uchaguzi wa nchi huru, similar to what the US did to Russia.

Siasa za Bongo ziko very complicated kwa mtu wa nje kutaka kuingilia bila kuzielewa vizuri.
 
Akili yako inafanana na hivyo vyama tisa. Hivi kwa nini binadamu huwa anajitoa ufahamu linapokuja suala la maslai?
Sio kila binadamu mkuu,ni baadhi ambao wametunukiwa umasikini wa akili,mwili,roho na akili.
Binadamu timamu kamwe hawezi kusubiria kubebwa bebwa na ama binadamu mwingine, taasisi au vyombo fulani. Binadamu timamu anakula kwa nguvu na akili zake.
CCM na wanachama wake ni wale binadamu wanaopenda kubebwa.
Nnje ya mfumo wa CCM,hao jamaa umasikini utatamalaki sana. Pona yao ipo kwa hisani ya CCM kushika dola.
Mimi niliyejaliwa kutumia nguvu na akili zangu kutengeneza maisha yangu na ya kizazi changu,siwezi kufanywa msukule au taahira na kijikundi cha watu kwa ajili ya maslahi.
 
Back
Top Bottom