abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Kama walivyo jitoa akil kina mbowe na lisu pamoja na zittoAkili yako inafanana na hivyo vyama tisa. Hivi kwa nini binadamu huwa anajitoa ufahamu linapokuja suala la maslai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama walivyo jitoa akil kina mbowe na lisu pamoja na zittoAkili yako inafanana na hivyo vyama tisa. Hivi kwa nini binadamu huwa anajitoa ufahamu linapokuja suala la maslai?
Hivi ni vyama vinavyomilikiwa na CCM.. havina jipyaVyama tisa vya upinzani vimetoa tamko la kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 28, 2020 na mgombea wa CCM, Dkt. John Magufuli kuibuka mshindi baada ya kupata 84.4% ya kura zote.
Katika tamko lao, vyama hivyo vimempongeza mgombea huyo kwa kushinda na kusema kwamba mambo aliyoyafanya ndani ya miaka mitano iliyopita yamechangia kwa kiasi kikubwa ushindi wake.
Vyama hivyo pia vimeipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kuratibu uchaguzi huo uliohusisha vyama 15.
MY TAKE:
Tamko la vyama zaidi tisa ni tamko kubwa
Bora hivi vyama vinavyomilikiwa na CCM kuliko vinavyomilikiwa na COLONISERS & IMPERIALISTSHivi ni vyama vinavyomilikiwa na ccm.. havina jipya
JPM hajachaguliwa na Watanzania kachaguliwa na NEC na TISS kwa msaada wa Jamana Printers.
Hata hao ni wakoloni ujue.. maana wanatawala against the will of the peopleBora hivi vyama vinavyomilikiwa na CCM kuliko vinavyomilikiwa na COLONISERS & IMPERIALISTS
Kweli wanatizama lakini hawaoni.Hii picha yahusu nini ?!
Nielezeni, nipate kufumbuka.
ExactlyZitto, Lissu na Mbowe msidanganye umma
Hapana, lakini jingalao hujibiwa sawasawa na ujinga wake!Ndo kusema matokeo ya uchaguzi na kura zilizotangazwa na NEC ni "genuine" siyo?
Haya Sawa, mmeshinda kihalali! Upinzani wajipange 2025 kwa kuteua tume yao, wakurugenzi wa wilaya na kuchapisha karatasi za kura!Una hakika na hayo mabeg, emu acheni kuzusha vitu msivojua, trust me , huu uchaguzi mmeshindwa kihalali kabsaa! Mnajitafutia dhambi kwa hao mnaowasingizia walikuwa na mabeg!!
Kama ungejua utaratibu unaokuwapo kwenye zoezi la uchaguzi wala usingelipiga hayo makelele
Mbowe amekua akitupiwa kila uchafu ambao unakua unaibuliwa na Mahasimu wake CCM kwa sababu amekua Kiongozi asieyumba, 2015 kwa mujibu wa TL aliemleta Lowasa ndani ya CHADEMA alikua Dr.slaa kupitia mawasiliano ya Gwajima. hivyo mbowe kama kiongozi wa chama alichosema ni tamko la chama halikua lake peke yake.Hivi CHADEMA ina wajumbe wao Wa nyumba kumikumi?!!!
Hivi ni rahisi Kushinda uchaguzi ilihali huna WENYEVITI WA SERIKALI YA MTAA?!!
Hivi unashindaje uchaguzi mkuu bila ya TUME HURU?!!
Hivi si mh.Mbowe aliyewahadaa nguli wa upinzani kwa kuibadilisha GIA angani na kumchukua mh.Lowassa ule mwaka 2015?!!!
Hivi kutaka Kuheshimu katiba ya nchi hakuanzi na Kuheshimu taratibu zilizoko ndani ya vyama vya upinzani na pia katiba zao?!!!!
Sikumbuki kama mh.Mbowe alifuata taratibu za kumteua mgombea wa urais wa CHADEMA ule mwaka 2015.....
Taifa Letu....
Amani Yetu....
Mkuu Kama ni Mshenga Alikuwa ni Dr.Slaa,Je kilichomkimbiza na zile tuhuma zake dhidi ya Mh.Lowassa zilitokana na nini?!!!Mbowe amekua akitupiwa kila uchafu ambao unakua unaibuliwa na Mahasimu wake CCM kwa sababu amekua Kiongozi asieyumba, 2015 kwa mujibu wa TL aliemleta Lowasa ndani ya CHADEMA alikua Dr.slaa kupitia mawasiliano ya Gwajima. hivyo mbowe kama kiongozi wa chama alichosema ni tamko la chama halikua lake peke yake.