Uchaguzi 2020 Vyama tisa vya upinzani vyatoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020

Nenda kaliseme hili kwenye kijiji kimoja uone! Watu wamechafuka wino kwa ajili ya JPM

Kijijini mbali, aende tuu hapo barabarani atamke hayo maneno aone.
Kujifariji heri waendelee kuyaweka kwenye twita ambayo inatomika zaidi na kutoa matamko kati ya vibaraka na mabwana zao😎
 
Kuna mzee mmoja kati ya wale 9 akasema "Huyo aliyedai kushinda na kuibiwa kura ni mmoja, tumwacheni apotee kwani watazaliwa wengine 100." Rais ni Magufuli, kipenzi cha Watanzania wote.
 
Wapinzani hamkujiandaa tulieni tuu jipangeni upya kwasasa hapana acha twende na huyu Mzalendo Magufuli.


Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hawajitambui hawa, mpaka ndugu zao wenda wanawashangaa ukiacha majirani zao na dunia
 
Hesabu jumla ya kura za hivyo vyama vyote tisa, alafu ndo ujenge ukubwa wa tamko lao!
 
Wapinzani hamkujiandaa tulieni tuu jipangeni upya kwasasa hapana acha twende na huyu Mzalendo Magufuli.


Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hawajajipanga nini sasa? Hawakununua mabegi ya kuweka kura feki au hawakuwapa JAMANA fungu?
 
Vyote kwa pamoja vina asilimia ngapi
 
Hawajajipanga nini sasa? Hawakununua mabegi ya kuweka kura feki au hawakuwapa JAMANA fungu?
The end results justify the means ....kushindwa vibaya kwa upinzani maana yake strategies zao hazikuwa sawa wakajipange.

Huu ni muda wa kujenga nchi na Kiongozi tunaye Magufuli ANATOSHA.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Nenda kaliseme hili kwenye kijiji kimoja uone! Watu wamechafuka wino kwa ajili ya JPM
Wamuue[emoji23][emoji23][emoji23]
wazee wamechafuka wino kuna watu wakerekewa wa CCM hata ukiwapasua damu ya kijani inatoka
Wameenda vituoni kupiga kura saa1 washajaa
 
Huwezi kuitoa CCM bila kuwa na mikakati iliyotukuka, ni wakati sasa wa vyama pinzani kukaa chini na kutafakari wapi walikosea, wapi wanakosea!! Vyama pinzani vina haja kubwa ya kujitathimini kwa kina, but kulaumu kuwa wameibiwa huu ni upuuzi wa kiwango cha juu!! CCM ina miaka mingi sana madarakani, huezi kuing'oa kwa mbinu za kitoto za kupigapiga makelele,
Wanapaswa kutengeneza Misingi imara, watengeneze base ya kutosha, wawe na plan nzito, wawe na strategies nzuri, CCM ina ina misingi imara, CCM ina asset watu ya kutosha, kuna watu wasipopiga kura kwa CCM wanajiona ni wasaliti!!
Hakuna wizi wala nini huo ndio ukweli!! Kama wanabisha wale mawakala wa vyama walipewa nakala za matokeo, wachukue zile then wajumlishe afu waone walichopanda, !!
 
Mkuu hawa wanapiga kelele, emu wajaribu kuwauliza wana CCM jinsi wanavyoandaa wagombea wao, wajaribu kuwauliza wenyeviti, wajumbe wa nyumba kumi mbinu wanazotumia, wajaribu kuuliza baadhi ya mikakati, then warudi chini wajitafakari wanakosea wapi!! Lawama hizi ni uongo mkubwa, !!
 
Wanazingua sana hawa wapinzani, wanadhani kuitoa CCM madarakani ni kama maandazi tu, au kama unatoa vitu gengeni, uchaguzi wakubali wameshindwa na sio kwa kuiba bali ni halali kabsaaa!!
Kijijini mbali, aende tuu hapo barabarani atamke hayo maneno aone.
Kujifariji heri waendelee kuyaweka kwenye twita ambayo inatomika zaidi na kutoa matamko kati ya vibaraka na mabwana zao[emoji41]
 
Una hakika na hayo mabeg, emu acheni kuzusha vitu msivojua, trust me , huu uchaguzi mmeshindwa kihalali kabsaa! Mnajitafutia dhambi kwa hao mnaowasingizia walikuwa na mabeg!!
Kama ungejua utaratibu unaokuwapo kwenye zoezi la uchaguzi wala usingelipiga hayo makelele
Hawajajipanga nini sasa? Hawakununua mabegi ya kuweka kura feki au hawakuwapa JAMANA fungu?
 
Huu ndio ukweli, nimegundua hicho kitu, hawana mikakati miaka yote, kitu kikubwa wajitafakari wapi wanakosea
 
Haya tungoje Amsterdam atasema nini juu ya tamko la hivyo vyama,

Tamko la hivyo vyama 9 ni ushahidi tosha kuwa Amsterdam hataki Demokrasia bali anataka kulazimisha mteja wake ndie atangazwe. Asipoangalia anaweza kufunguliwa mashitaka UN ya kuingilia uchaguzi wa nchi huru, similar to what the US did to Russia.

Siasa za Bongo ziko very complicated kwa mtu wa nje kutaka kuingilia bila kuzielewa vizuri.
 
Akili yako inafanana na hivyo vyama tisa. Hivi kwa nini binadamu huwa anajitoa ufahamu linapokuja suala la maslai?
Sio kila binadamu mkuu,ni baadhi ambao wametunukiwa umasikini wa akili,mwili,roho na akili.
Binadamu timamu kamwe hawezi kusubiria kubebwa bebwa na ama binadamu mwingine, taasisi au vyombo fulani. Binadamu timamu anakula kwa nguvu na akili zake.
CCM na wanachama wake ni wale binadamu wanaopenda kubebwa.
Nnje ya mfumo wa CCM,hao jamaa umasikini utatamalaki sana. Pona yao ipo kwa hisani ya CCM kushika dola.
Mimi niliyejaliwa kutumia nguvu na akili zangu kutengeneza maisha yangu na ya kizazi changu,siwezi kufanywa msukule au taahira na kijikundi cha watu kwa ajili ya maslahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…