Uchaguzi 2020 Vyama tisa vya upinzani vyatoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020

Hivi ni vyama vinavyomilikiwa na CCM.. havina jipya
 
Ishara zote zipo dhahiri na kwa macho zinaonekana ni ishara za maumivu kwa waliojiajiri kwa siasa za upinzani. Yote yaliyosemwa dhidi yao yanaenda kutimia kwa kasi sana.

Ni wao wenyewe ndio wanaoweza kuzuia hatma ya siku hizo chungu kama tu;

1. Watakubaliana na matokeo na kukubali kuijenga nchi yetu wakishirikiana na serikali. Watanzania wamechoshwa na maandamano yasiyo na tija huku wakijua haki ilitendeka.

2. Watajijenga katika misingi ya chama cha siasa chenye Sera na itikadi ya kueleweka badala ya kuwa wanaharakati, watetezi Wa Sera za mabeberu.

3. Watakubali na kukiri kwamba kuteleza kupo katika maisha hivyo waliteleza na wapo tayari kurudi kwenye mstari.

4. Wataondoa taswira mbaya iliyojengeka dhidi ya vyama vyao kwa watanzania watanzania wa Leo wanathibitisha kila wanachosikia na kuambiwa.

Hizo ni baadhi ya kasoro kwa baadhi ya vyama vya siasa ,kasoro hizo zisipofanyiwa kazi hakika Siku zinakuja ambazo watanzania hawatatamani kuuona wala kuusikia upinzani masikioni mwao ila kama wakizifanyia kazi inawezekana wakarudisha imani kwa watanzania iliyovunjika kwa sababu yao.
 
JPM hajachaguliwa na Watanzania kachaguliwa na NEC na TISS kwa msaada wa Jamana Printers.

Ebu tukumbushe, 2015 Magufuli alichaguliwa na nani? Wale wale waliomuchagua mwaka huo ndo wame endelea kumchagua ila wakaongezeka baada ya kuona uchapakazi wa Magufuli awamu ya kwanza - ndege, Reli, Mawasiliano, madini karudisha mikononi kwa wa Tz! Walewale waliokuwa wanasema Lowassa (aliyekuwa mpinzani mwenzao)ni fisadi ndo wanalalama. Ushaona juu ya voter suppression in Russia na nchi nyingine zilizoendelea wakati huku Tz hakuna voter suppression!
 
hivyo ni vyama vya upinzani kweli au ni utopolo tu? vyama vinajulikana kwa msajili tu,huibuka wakati wa uchaguzi tu. Hivyo vyama navyo ni mkakati wa kuua vyama vyenye upinzani wa kweli,kwa kuwa havijaathiriwa na uhuni uliofanywa vikaona ni vema vipongeze.
 
Baada ya masaa 72 Mbowe atakuwa waziri mkuu.
CHADEMA wana ndoto nzuri sana kwakweli.
 
Wewe kweli jinga. Ingekuwa na ukweli hiyo NEC wangepigia kura majumbani kwao na kuzileta vituoni kwenye mabegi na vikapu kwa nguvu ya Polisi?
Intelijensia yenu ilishindwa kuwakamata wakiwa wanaziandaa??
 
vyama vilivyounga mkono juhud.. ndo mnaviita wapinzani...
 
Yule mgombea wa kike kwa nafsi ya Urais alionyesha wazi kuwa ni mtu kutafuta kuteuliwa tu
 
Haya Sawa, mmeshinda kihalali! Upinzani wajipange 2025 kwa kuteua tume yao, wakurugenzi wa wilaya na kuchapisha karatasi za kura!
 
Wale wanavizia teuzi tu. Kuna baadhi yao wanatamani sana na kuomba wakumbukwe kama ilivyokuwa kwamama Anna Mghwira.

Wachumia Tumbo tu na hawana lolote
 
Mbowe amekua akitupiwa kila uchafu ambao unakua unaibuliwa na Mahasimu wake CCM kwa sababu amekua Kiongozi asieyumba, 2015 kwa mujibu wa TL aliemleta Lowasa ndani ya CHADEMA alikua Dr.slaa kupitia mawasiliano ya Gwajima. hivyo mbowe kama kiongozi wa chama alichosema ni tamko la chama halikua lake peke yake.
 
Mkuu Kama ni Mshenga Alikuwa ni Dr.Slaa,Je kilichomkimbiza na zile tuhuma zake dhidi ya Mh.Lowassa zilitokana na nini?!!!

Gwajima huyohuyo leo Yuko CCM na ni mbunge wa Kawe.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…