Pre GE2025 Vyama vya Siasa vya upinzani vijikite kuwaandaa wagombea mapema kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mawazo yako ni mazuri sana.
 
Kwa vyombo vipi vya sheria vitakavyo wapa haki wapinzani nchi hii?
 
Mpaka Sasa Bado unahitaji hayo Ili kupata nguvu ya kudai tume huru?! Ni kipi ambacho hakipo wazi Bali ndio ushahidi utafufutwe Sasa?
Nikupoteza rasilimali fedha
 
Wagombea hawatakiwi kuondolewa katika uchaguzi kwa kujaza tu fomu vibaya. Hayo ni mambo ya hovyo sana na kuwakosesha raia haki yao ya kuchagua.
TAMISEMI ndio inatakiwa ihakikishe wagombea wote wamejaza fomu zao vizuri bila kuwaengua.
Jiwe alikuwa anawalazimisha tume kuwakataa wagombea bila sababu za msingi
 
Unaonaje wapinzani wa kweli washiriki au tusubiri miujiza ya tume huru?
Inabidi washiriki ili walau kuweka na sauti za upinzani bungeni na ktk mabaraza ya madiwani .

Ukimsusia fisi mzoga atakula mpk wanyama wazima. Kususa uchaguzi siyo option nzuri sana. Maana hata chama kinapotea masikioni mwa watu.
 
Nimeona ile video clip ya 2020,Tundu Lissu alikwenda Hai kwa shughuli za Kampeni ya Uchaguzi,halafu,apparently,anafurumushwa aondoke,vijana wa Chadema wanamfukuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…