Vyama vya upinzani mwacheni Rais Samia 2025 apite bila kupingwa ili awanyooshe mapito yenu 2030

Vyama vya upinzani mwacheni Rais Samia 2025 apite bila kupingwa ili awanyooshe mapito yenu 2030

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo?

Rais Samia ana exposure kubwa sana katika katika duru za kimataifa kuliko Rais yeyote yule tuliyewahi kuwa nae tangu uhuru. Kama kuna wengine ambao walikuwa na exposure kubwa kama hii walikuwa na bahati mbaya ya kumezwa na kivuli kizito cha siasa za Baba wa Taifa za chama kushika hatamu na ujamaa na kujitegemea, hivyo walishindwa kuihudumia demokrasia ya vyama vingi hata kama walikuwa na nia hiyo.

Rais Samia anafahamu kwamba adui yetu namba moja ni umaskini na sio CCM, CUF, CHADEMA wala ACT, anafahamu kuwa demokrasia ikieleweka na kushamiri vyama vya siasa vinaweza kuangushwa na kurudishwa na wapiga kura kwenye chaguzi kwa amani na furaha kama agenda zao hazitatimizwa na chama husika.

Vyama vya upinzani hebu mpeni muda Rais Samia wa kuitumikia na kuirekebisha demokrasia yetu, tumpungizie miluzi mingi itakayomtatiza njiani na kusahau kile anachowaza kuifanyania Tanzania na demokrasia yetu.

Mama Samia mdau muhimu na mnufaika namba moja wa utawala wa kidemorasia nchini, anaufahamu uzuri wa demokrasia kwakuwa yeye ni tunda halisi la demokrasia nchini.

Hebu mnielewe kwenye hili, maana imani huzaa imani na shari huzaa shari. Kazi yenu kuanzia sasa iwe ni kuviimarisha vyama vyenu hadi vitongojini tayari kwa uchaguzi wa 2030 ambao inshallah utakuwa huru na haki ili anaepata apate na anaeshindwa ashindwe bila mang'uniko ya kuipasua nchi yetu. Tukumuke sasa hivi nchi yetu haina watu kama Mwl. Nyerere, Mzee Mkapa, Mzee Karume, Mzee Maalim Seif, nk ambao walikuwa grisi yetu tunapozozana, sasa hivi grisi yetu kuu lazima iwe Katiba yetu, Tume ya Uchaguzi na kanuni za uchaguzi ( free and fair elections) baaasi.
 
Mawazo finyu, fikra finyu na uozo
Usiwe unatuletea.
Hauna cha
Mbona maneno ya kijinga kama haya hukuyasema wakati wagomea wote wa upinzani walipoenguliwa na Tume ya uchaguzi? Wewe unadhani wale waliowaengua wamestaafu hawapo? use your uncommon sense to achieve uncommon missions.
 
Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo...
Maneno mazito! Yanafikirisha kwa watu wenye akili ya kufikiri positively !!
 
Kwa nini mnapenda sana kupita bila kupingwa? Yale Yale ya kipindi kile 2016.

Ooh huyu 2020 haitaji kupiga kampeni, Mara ooh huyu ndio tuliyemsubiri.

Watu hamna akili na hamjifunzi.

Kama mnapenda demokrasia, kubalini na ushindani. Kama ni mzuri watu watampigia kura kwa wingi. Kama ni mbovu, watamkataa
 
Nadhani ungesema tuu bila ya kutafuna maneno, unachokusudia kusema ni bora vyama vingi vifutwe kuepusha vita. Kama tatizo ni sheria mbovu na Samia ana utashi kwanini asizibadilishe tuu kuna miaka kadhaa hadi kufikia uchaguzi.
 
Huyu fisadi hana haki wala credibility ya kupitishwa huko CCM achilia mbali kusimama hadharani mbele ya uma na kudai kuwa anagombea.
 
Nadhani ungesema tuu bila ya kutafuna maneno, unachokusudia kusema ni bora vyama vingi vifutwe kuepusha vita. Kama tatizo ni sheria mbovu na Samia ana utashi kwanini asizibadilishe tuu kuna miaka kadhaa hadi kufikia uchaguzi.
Upo sahihi
 
Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo?

Rais Samia ana exposure kubwa sana katika katika duru za kimataifa kuliko Rais yeyote yule tuliyewahi kuwa nae tangu uhuru. Kama kuna wengine ambao walikuwa na exposure kubwa kama hii walikuwa na bahati mbaya ya kumezwa na kivuli kizito cha siasa za Baba wa Taifa za chama kushika hatamu na ujamaa na kujitegemea, hivyo walishindwa kuihudumia demokrasia ya vyama vingi hata kama walikuwa na nia hiyo.

Rais Samia anafahamu kwamba adui yetu namba moja ni umaskini na sio CCM, CUF, CHADEMA wala ACT, anafahamu kuwa demokrasia ikieleweka na kushamiri vyama vya siasa vinaweza kuangushwa na kurudishwa na wapiga kura kwenye chaguzi kwa amani na furaha kama agenda zao hazitatimizwa na chama husika.

Vyama vya upinzani hebu mpeni muda Rais Samia wa kuitumikia na kuirekebisha demokrasia yetu, tumpungizie miluzi mingi itakayomtatiza njiani na kusahau kile anachowaza kuifanyania Tanzania na demokrasia yetu.

Mama Samia mdau muhimu na mnufaika namba moja wa utawala wa kidemorasia nchini, anaufahamu uzuri wa demokrasia kwakuwa yeye ni tunda halisi la demokrasia nchini.

Hebu mnielewe kwenye hili, maana imani huzaa imani na shari huzaa shari. Kazi yenu kuanzia sasa iwe ni kuviimarisha vyama vyenu hadi vitongojini tayari kwa uchaguzi wa 2030 ambao inshallah utakuwa huru na haki ili anaepata apate na anaeshindwa ashindwe bila mang'uniko ya kuipasua nchi yetu. Tukumuke sasa hivi nchi yetu haina watu kama Mwl. Nyerere, Mzee Mkapa, Mzee Karume, Mzee Maalim Seif, nk ambao walikuwa grisi yetu tunapozozana, sasa hivi grisi yetu kuu lazima iwe Katiba yetu, Tume ya Uchaguzi na kanuni za uchaguzi ( free and fair elections) baaasi.
Naunga mkono hoja
P
 
Toka umeingia CCM umekuwa mtu wa hovyo sn
Mkuu Babati , huku ni kunionea...
Kwani...
P
 
Samia ana safari gani hadi apite 25? Bibi akalee wajukuu pesa aliyoipiga ndio kaburi lake na yule jizi wa msoga
Aisee sukuma Gang bado hamchokagi tu,,

Haitatokea tena wa kutoka usukumani, mama tunaye mpaka 2030,
 
Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo?

Rais Samia ana exposure kubwa sana katika katika duru za kimataifa kuliko Rais yeyote yule tuliyewahi kuwa nae tangu uhuru. Kama kuna wengine ambao walikuwa na exposure kubwa kama hii walikuwa na bahati mbaya ya kumezwa na kivuli kizito cha siasa za Baba wa Taifa za chama kushika hatamu na ujamaa na kujitegemea, hivyo walishindwa kuihudumia demokrasia ya vyama vingi hata kama walikuwa na nia hiyo.

Rais Samia anafahamu kwamba adui yetu namba moja ni umaskini na sio CCM, CUF, CHADEMA wala ACT, anafahamu kuwa demokrasia ikieleweka na kushamiri vyama vya siasa vinaweza kuangushwa na kurudishwa na wapiga kura kwenye chaguzi kwa amani na furaha kama agenda zao hazitatimizwa na chama husika.

Vyama vya upinzani hebu mpeni muda Rais Samia wa kuitumikia na kuirekebisha demokrasia yetu, tumpungizie miluzi mingi itakayomtatiza njiani na kusahau kile anachowaza kuifanyania Tanzania na demokrasia yetu.

Mama Samia mdau muhimu na mnufaika namba moja wa utawala wa kidemorasia nchini, anaufahamu uzuri wa demokrasia kwakuwa yeye ni tunda halisi la demokrasia nchini.

Hebu mnielewe kwenye hili, maana imani huzaa imani na shari huzaa shari. Kazi yenu kuanzia sasa iwe ni kuviimarisha vyama vyenu hadi vitongojini tayari kwa uchaguzi wa 2030 ambao inshallah utakuwa huru na haki ili anaepata apate na anaeshindwa ashindwe bila mang'uniko ya kuipasua nchi yetu. Tukumuke sasa hivi nchi yetu haina watu kama Mwl. Nyerere, Mzee Mkapa, Mzee Karume, Mzee Maalim Seif, nk ambao walikuwa grisi yetu tunapozozana, sasa hivi grisi yetu kuu lazima iwe Katiba yetu, Tume ya Uchaguzi na kanuni za uchaguzi ( free and fair elections) baaasi.

Naunga mkono hoja,

Ila Wabunge lazima wapinzani wapite wa kutosha
 
Aisee sukuma Gang bado hamchokagi tu,,

Haitatokea tena wa kutoka usukumani, mama tunaye mpaka 2030,
Na hapo ndo mnakopoteana. Tz ni kusini hadi kskazini, mashariki hadi magharibi. Zuieni pembe ila kuwazuia wasukuma tu angali nchi ina utajiri was wa mkabila kibao mnakuwa mnawaza kwa kudemka demka
 
Back
Top Bottom