Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je atagombea ?Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo?
Rais Samia ana exposure kubwa sana katika katika duru za kimataifa kuliko Rais yeyote yule tuliyewahi kuwa nae tangu uhuru. Kama kuna wengine ambao walikuwa na exposure kubwa kama hii walikuwa na bahati mbaya ya kumezwa na kivuli kizito cha siasa za Baba wa Taifa za chama kushika hatamu na ujamaa na kujitegemea, hivyo walishindwa kuihudumia demokrasia ya vyama vingi hata kama walikuwa na nia hiyo.
Rais Samia anafahamu kwamba adui yetu namba moja ni umaskini na sio CCM, CUF, CHADEMA wala ACT, anafahamu kuwa demokrasia ikieleweka na kushamiri vyama vya siasa vinaweza kuangushwa na kurudishwa na wapiga kura kwenye chaguzi kwa amani na furaha kama agenda zao hazitatimizwa na chama husika.
Vyama vya upinzani hebu mpeni muda Rais Samia wa kuitumikia na kuirekebisha demokrasia yetu, tumpungizie miluzi mingi itakayomtatiza njiani na kusahau kile anachowaza kuifanyania Tanzania na demokrasia yetu.
Mama Samia mdau muhimu na mnufaika namba moja wa utawala wa kidemorasia nchini, anaufahamu uzuri wa demokrasia kwakuwa yeye ni tunda halisi la demokrasia nchini.
Hebu mnielewe kwenye hili, maana imani huzaa imani na shari huzaa shari. Kazi yenu kuanzia sasa iwe ni kuviimarisha vyama vyenu hadi vitongojini tayari kwa uchaguzi wa 2030 ambao inshallah utakuwa huru na haki ili anaepata apate na anaeshindwa ashindwe bila mang'uniko ya kuipasua nchi yetu. Tukumuke sasa hivi nchi yetu haina watu kama Mwl. Nyerere, Mzee Mkapa, Mzee Karume, Mzee Maalim Seif, nk ambao walikuwa grisi yetu tunapozozana, sasa hivi grisi yetu kuu lazima iwe Katiba yetu, Tume ya Uchaguzi na kanuni za uchaguzi ( free and fair elections) baaasi.
humtaki tena Makonda ?Naunga mkono hoja
P
Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo?
Rais Samia ana exposure kubwa sana katika katika duru za kimataifa kuliko Rais yeyote yule tuliyewahi kuwa nae tangu uhuru. Kama kuna wengine ambao walikuwa na exposure kubwa kama hii walikuwa na bahati mbaya ya kumezwa na kivuli kizito cha siasa za Baba wa Taifa za chama kushika hatamu na ujamaa na kujitegemea, hivyo walishindwa kuihudumia demokrasia ya vyama vingi hata kama walikuwa na nia hiyo.
Rais Samia anafahamu kwamba adui yetu namba moja ni umaskini na sio CCM, CUF, CHADEMA wala ACT, anafahamu kuwa demokrasia ikieleweka na kushamiri vyama vya siasa vinaweza kuangushwa na kurudishwa na wapiga kura kwenye chaguzi kwa amani na furaha kama agenda zao hazitatimizwa na chama husika.
Vyama vya upinzani hebu mpeni muda Rais Samia wa kuitumikia na kuirekebisha demokrasia yetu, tumpungizie miluzi mingi itakayomtatiza njiani na kusahau kile anachowaza kuifanyania Tanzania na demokrasia yetu.
Mama Samia mdau muhimu na mnufaika namba moja wa utawala wa kidemorasia nchini, anaufahamu uzuri wa demokrasia kwakuwa yeye ni tunda halisi la demokrasia nchini.
Hebu mnielewe kwenye hili, maana imani huzaa imani na shari huzaa shari. Kazi yenu kuanzia sasa iwe ni kuviimarisha vyama vyenu hadi vitongojini tayari kwa uchaguzi wa 2030 ambao inshallah utakuwa huru na haki ili anaepata apate na anaeshindwa ashindwe bila mang'uniko ya kuipasua nchi yetu. Tukumuke sasa hivi nchi yetu haina watu kama Mwl. Nyerere, Mzee Mkapa, Mzee Karume, Mzee Maalim Seif, nk ambao walikuwa grisi yetu tunapozozana, sasa hivi grisi yetu kuu lazima iwe Katiba yetu, Tume ya Uchaguzi na kanuni za uchaguzi ( free and fair elections) baaasi.
Bandiko ni hili, Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...humtaki tena Makonda ?
Namkumbuka hayati Benjamin Mkapa kwa kauli yake kuhusu "watu kuwa wavivu wa kufikiria"Kwa namna tume ya uchaguzi, Katiba na kanuni za uchaguzi zilivyo sasa hivi itakuwa kazi bure kama vyama vya upinzani vitashiriki chaguzi bila kufanyiwa mabadiliko muhimu ya kidemokrasia, ni kweli au uongo?
Rais Samia ana exposure kubwa sana katika katika duru za kimataifa kuliko Rais yeyote yule tuliyewahi kuwa nae tangu uhuru. Kama kuna wengine ambao walikuwa na exposure kubwa kama hii walikuwa na bahati mbaya ya kumezwa na kivuli kizito cha siasa za Baba wa Taifa za chama kushika hatamu na ujamaa na kujitegemea, hivyo walishindwa kuihudumia demokrasia ya vyama vingi hata kama walikuwa na nia hiyo.
Rais Samia anafahamu kwamba adui yetu namba moja ni umaskini na sio CCM, CUF, CHADEMA wala ACT, anafahamu kuwa demokrasia ikieleweka na kushamiri vyama vya siasa vinaweza kuangushwa na kurudishwa na wapiga kura kwenye chaguzi kwa amani na furaha kama agenda zao hazitatimizwa na chama husika.
Vyama vya upinzani hebu mpeni muda Rais Samia wa kuitumikia na kuirekebisha demokrasia yetu, tumpungizie miluzi mingi itakayomtatiza njiani na kusahau kile anachowaza kuifanyania Tanzania na demokrasia yetu.
Mama Samia mdau muhimu na mnufaika namba moja wa utawala wa kidemorasia nchini, anaufahamu uzuri wa demokrasia kwakuwa yeye ni tunda halisi la demokrasia nchini.
Hebu mnielewe kwenye hili, maana imani huzaa imani na shari huzaa shari. Kazi yenu kuanzia sasa iwe ni kuviimarisha vyama vyenu hadi vitongojini tayari kwa uchaguzi wa 2030 ambao inshallah utakuwa huru na haki ili anaepata apate na anaeshindwa ashindwe bila mang'uniko ya kuipasua nchi yetu. Tukumuke sasa hivi nchi yetu haina watu kama Mwl. Nyerere, Mzee Mkapa, Mzee Karume, Mzee Maalim Seif, nk ambao walikuwa grisi yetu tunapozozana, sasa hivi grisi yetu kuu lazima iwe Katiba yetu, Tume ya Uchaguzi na kanuni za uchaguzi ( free and fair elections) baaasi.
Tumia basi akili yako ya kawaida. Vyama vya upinzani vilishriki chaguzi tangu 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, na 2020 bila mafanikio. Hii ni kuonyesha kuwa CCM huwezi kuishinda kwa kutumia katiba, tume na kanuni hizi zilizopo sasa. Unahitaji Rais mwenye weledi na ufahamu mkubwa wa kuamini kuwa hata wapinzani ni watanzania pia na Tanzania ni yetu sote atakae mazingira safi ya kushinda na kushindwa chaguzi bila kuishia kwenye kususia matokeo au vurugu kama zile za Zanzibar enzi zile.Kwa nini mnapenda sana kupita bila kupingwa? Yale Yale ya kipindi kile 2016.
Ooh huyu 2020 haitaji kupiga kampeni, Mara ooh huyu ndio tuliyemsubiri.
Watu hamna akili na hamjifunzi.
Kama mnapenda demokrasia, kubalini na ushindani. Kama ni mzuri watu watampigia kura kwa wingi. Kama ni mbovu, watamkataa
Mimi kwenye kata yetu hakuna umeme, maji, na barabara bado, hivyo Hata Mimi nisingekubali kutumike Senti hata moja kugharamia uandishi wa Katiba Sasa hivi. Focus yetu Sasa iwe ni sensa, umeme vijijini, maji kwa wote, elimu kwa wote, reli, bwawa la umeme na flyovers na mwendokasi kupunguza foleni. Mambo ya Katiba yaanze.Nadhani ungesema tuu bila ya kutafuna maneno, unachokusudia kusema ni bora vyama vingi vifutwe kuepusha vita. Kama tatizo ni sheria mbovu na Samia ana utashi kwanini asizibadilishe tuu kuna miaka kadhaa hadi kufikia uchaguzi.
Issue kubwa hapa tunaongea kuhusu demokrasia. Mfano kwenye awamu ya kwanza, ni nani amesema Tanzania haiko huru mpaka Bara lote liwe huru wakati watanzania walipigania uhuru wao na kuupata? Nanī alishirikishwa kutoa uwamuzi wa kutumia rasilimali zetu (fedha, watu, muda na vifaa) kwenda kukombolea nchi nyingine? Huu haukua udikteta na sifa binafsi?Namkumbuka hayati Benjamin Mkapa kwa kauli yake kuhusu "watu kuwa wavivu wa kufikiria"
Kila Rais mpya akitokea fikra kama hizi hujitokeza. Pale JPM alipokuwa hai, pia alipambwa kwa kauli kama hizi, na hata yakajitokeza matamanio ya kubadili katiba ili tu azidi kubakia madarakani baada ya kuhudumu kwa kipindi chake cha miaka 10.
Leo mwaka mmoja baada ya kutokuwepo kwake, unaanza unafiki kama ule ule, eti haijapata kutokea Rais kiutendaji mfano wa SSH toka tupate uhuru wa Tanganyika, ama sijui pia ulikuwa una maanisha pia na ule wa Zanzibar.
Hivi unazijua changamoto mbalimbali ambazo taifa letu ilizipitia katika vipindi tofauti vya awamu za uongozi wa taifa letu? Hivi unajua vipaumbele vya kitaifa vya kijamii na kiuchumi vilivyokuwepo, miundombinu ya nchi yetu, vyanzo vikubwa vya mapato ya nchi, miradi mikubwa ya kimkakati, deni la taifa, idadi ya rasilimali watu muhimu iliyokuwepo na vitu vingine muhimu kama hivyo, kiasi kwamba ufikie kiwango cha kutoa majisifu kama hayo?
Mzee wa kura moja ! you are losing relevance.Naunga mkono hoja
P
Siku hizi mkuu unaandika vitu vya hovyo sn na wala siyo hoja kama mwanza, swali toka umeingia CCM umenufaika na nini?Mkuu Babati , huku ni kunionea...
Kwani...
PJe, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, JF ni ukumbi huru kwa watu wote wa aina zote, rangi zote, hali zote, jinsia zote, vyama vyote hata wasio na vyama, sasa kwanini member wa jf, akijiunga CCM anabezwa sana humu hadi kutukanwa?!. Jee mtu kujiunga CCM ni kosa?, ni ujinga?. Jee wana CCM ni...www.jamiiforums.com
Excellent ankoKwa nini mnapenda sana kupita bila kupingwa? Yale Yale ya kipindi kile 2016.
Ooh huyu 2020 haitaji kupiga kampeni, Mara ooh huyu ndio tuliyemsubiri.
Watu hamna akili na hamjifunzi.
Kama mnapenda demokrasia, kubalini na ushindani. Kama ni mzuri watu watampigia kura kwa wingi. Kama ni mbovu, watamkataa
Tokea uhuru hujapata umeme, sidhani sababu yake fedha za nchi zilikuwa zinatumika kuandika katiba!Mimi kwenye kata yetu hakuna umeme, maji, na barabara bado, hivyo Hata Mimi nisingekubali kutumike Senti hata moja kugharamia uandishi wa Katiba Sasa hivi. Focus yetu Sasa iwe ni sensa, umeme vijijini, maji kwa wote, elimu kwa wote, reli, bwawa la umeme na flyovers na mwendokasi kupunguza foleni. Mambo ya Katiba yaanze.
Tunafahamu kuwa ziko Kanda ambazo kwenye majimbo Yao Kuna umeme, maji, zahanati, shule na barabara kila Kijiji, hawa ndio wanaowaza maandamano kila dk na kila saa 1/12. Tuache nchi iwe level moja kwanza ya maendeleo ili tuongee wote lugha moja.