KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Huku kuhangaika kwenu ndiko kunakowafanya kuonekana majuha aiseee!Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Kwa hiyo CAG ndio mungu wenu?CAG katoa hati safi ila CCM mnadai kuna ufisadi!! Ni lini mmegeuka auditors?
Usaliti huwa haupelekwi mahakamani wewe zero brain. Kasome Biblia ujue adhabu ya msaliti ni ipi? Hata mabeberu wanalijua hilo ndiyo maana Snowden amekimbia nchi. Na huyo msaliti wako hawezi kuwa Rais milele acha ale pesa za watu wasiojitambua kama wewe!Rais kuwa na mamlaka sio kuyatumia kwa faida zake binafsi za kisiasa. Unadhani rais kupewa mamlaka, kapewa ili awakomoe mahasimu wake kisiasa? Nyie ndio wale mnadhani kila afanyalo rais ni sahihi, kisa kapewa mamlaka ya kuongoza nchi. Sio bure unaona anasaka kinga za kutokushitakiwa akiwa madarakani, ni kwa sababu anajua kuna mambo anafanya kinyume cha madaraka aliyopewa, na viazi kama nyie mnaona hayo ndio matumizi ya madaraka.
Hapa ndio tunaposema kuwa katiba hii mbovu inatoa madaraka makubwa kwa rais kupita kiasi, mpaka anafikia mahali pa kutumia madaraka yake vibaya kwa faida yake binafsi. Lisu ni msaliti kwa tafsiri ya ccm, na ukitaka kujua ww ni kiazi fuata upepo, kamfungulie kesi mahakamani udhibitishe huo usaliti wake.
Jibu swali basis ya wizi wa bilion nane zimetoka wapi? Yaani forensic auditor gani alisema zimeibiwa alafu CAG akashindwa kuthibitisha? Mind you hesabu zao pia zimepita kwa external auditors!!Kwa hiyo CAG ndio mungu wenu?
Umesema "Hujui", sasa utayajuaje ya Lissu?Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Nyie bishaneni siasa za ndani, mambo ya kimataifa hamyawezi. Snowden akirudi atashtakiwa mahakamani kabisa na anaweza kufungwa/kushinda kesi na hukumu zinajulikana.Usaliti huwa haupelekwi mahakamani wewe zero brain. Kasome Biblia ujue adhabu ya msaliti ni ipi? Hata mabeberu wanalijua hilo ndiyo maana Snowden amekimbia nchi. Na huyo msaliti wako hawezi kuwa Rais milele acha ale pesa za watu wasiojitambua kama wewe!
Ni mikakati ya kutia watu hofu, hili nalo unataka uelezwe?Usijali sana hizo ni tetesi tu.
Hawa jamaa watakuwa wana na aina nyingine ya elimu waliosoma tofauti na ile elimu tunaoyipata wengine manake yaani andiko hili ukilisoma utashangaa kama kweli liaweza kuandikwa na mtu alieenda shule ya kawaida hata darasa saba hawezi andika hivi aisee....Mwanangu akikosa kazi bora akilime mpunga nas sio geshi la polithi..
Kwani nani kaitisha mkusanyiko ..hivi hawa jamaa wana akili...kweli...kwa hiyo kuanzia jana kama kuna mgeni wako anaetakiwa kupokelewa asipokelewe kisa nin?
Sasa wewe una elimu gani? Elimu unayopewa na mlevi wa konyagi?Jibu swali basis ya wizi wa bilion nane zimetoka wapi? Yaani forensic auditor gani alisema zimeibiwa alafu CAG akashindwa kuthibitisha? Mind you hesabu zao pia zimepita kwa external auditors!!
Shida elimu ndogo alafu unataka kubishana mambo ya kitaaluma!!
Ugoro mtupu. Una sababu gani ya kuamini TL hana passport ya Tanzania? Nionavyo mimi hatapata shida yoyote uhamiaji. Pale atapita kiulaini. Shida inaweza kutokea akitoka nje tu ndipo polisi watamdaka na kwenda naye kumhoji mambo ya kufikirika!risasi 16 ziliingia mwilini hakufa.
Mkapa hajarushiwa hata jiwe lakini chali.
so.... hivi vitu vya chekechea unavyovitaja havimbambaishi wala kumtisha Lissu.
Aliyetafuna billioni 8 yupo nje na hulalamiki. Je, ni kwa sababu anakulipa?
Ulicho andika kwa kifupi ni uzushi, uzandiki. NOSENSE. Tundu atakujaje Tanzania kugombea urais akiwa anamiliki passport ya nchi nyingine?? Are you aware kwamba kiti cha urais wa Tanzania is strictly for Tanzanian nationals only.Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa uhamiaji na usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Sasa wewe una elimu gani? Elimu unayopewa na mlevi wa konyagi?
Maisha yako yote utaishi kama mpinzani kwa sababu ya ukasuku na akili ndogo.Umevamia hii mada kichwa kichwa ndio maana unaishia kuongea siasa za kitoto. Ni vyema ungejikita kwenye masomo hata kama boom limepunguzwa. Huku unachekesha tu vinyago.
Naona ukweli unauma unakimbia mada.... Kma unajiamini unaweza mjadala kwa hoja, jibu swali nitakalokuuliza. Otherwise unazidi kuonyesha una elimu ndogo sana kuweza kuhimili mijadala inayohitaji ''shule''.Sasa wewe una elimu gani? Elimu unayopewa na mlevi wa konyagi?