Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

Wasomi wa zamani walikuwa wakiibua hoja mbali mbali na misimamo mikali siku hizi kazi ni kujipendekeza tu bila aibu
Ili kufikiriwa kupewa Anita kwa manufaa ya magimbi yao binafsi badala ya kuzingatia maslahi ya Umma na vizazi vya watanzania.
Misimamo mikali sio sifa, sifa ni kuwa reasonable na kubadilika pale unapopata knowledge mpya, sio kujisifu una misimamo mikali
 
Tatizo ni "FALSIFICATION AND REPRESSION OF ACADEMIC RESULTS" inayoendelea kufanyika kwa upande wa ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI [NECTA], ndiyo inaua ubora wa ELIMU YA VYUO VIKUU kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ.
 
Nchi ambayo wauaji wanapewa tuzo ya kuwa wasemaji wa chama, unategemea inakuwa na nafasi yoyote ya juu katika mambo mema, kama haya ya elimu?

Kukiwa na ranking ya mambo maovu na uchafu mwingine, kama vile wizi wa kura, kubambikia watu kesi, kuua na kuwapoteza wanaokosoa watawala, ushirikina, unafiki; lazima tutakuwa kwenye nafasi nzuri za juu.
 
Siasa na ufisadi vimeharibu sana elimu yetu,kutoka chini mpaka juu kabisa.
Tanzania kwenye elimu ni uozo mtupu. Viongozi wa CCM wanagawiwa degree kama wanavyogawiwa kura za wizi. CCM ni takataka katika kila jambo.

Ukiongea vitu technical na doctors wa CCM kama akina Biteko na yule wa wake wengi unaweza kufikiria unaongea na mtu wa certificate. Ni vigumu kufikiria kama anaweza kuwa na shahada hata moja. CCM wanaiba elimu kama wanavyoiba kura au pesa.
 
Ukiamua kuwa 'academician', jitahidi uishi ki 'academician'; toa machapisho ya kutosha yazagae huko duniani; vyuo kuingia ubia na vyuo vya nje, kwa kubadilishana wakufunzi n.k Pia kuongeza/kufanya ufadhili wa masomo kwa baadhi ya watu wanaotoka nje, ili wakatutangazie huko duniani.

Leo hii ukitembelea mtandaoni utaona ufadhili wa masomo kusoma US, Canada, Uk n.k​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…