Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Uchumi imara ni kuwa na watu wa aina yako Jasmoni Tegga haswa kabla kuongeza akiba ya maneno !!Yupi miongoni mwa hawa huwezi kumvumilia? --- Mkoloni anayetumia nguvu yake ya mali, umashuhuri, jeshi, uchumi na siasa ili kuitawala nchi nyingine na kunyonya rasilimali zake; mamluki anayempigia upatu mkoloni japokuwa ni raia wa nchi yenu sawa na watu wenu; msimamizi mzalendo anayesimamia matumizi sahihi ya rasilimali za taifa kwa ajili ya ustawi na ukuaji wa uchumi
Rangi alizotuumba ndiyo tatizo kubwa hapa ulimwenguniKinyonga kila mara wanabadilika rangi
Mengine namwachia MUNGUUlimwenguni tunabaguanankwa rangi, uwezo na mengine
Muweza wa yoteMungu ndio muweza
Wengine ni njaa na ulafi na roho ya koroshoUlimwenguni tunabaguanankwa rangi, uwezo na mengine
Tamu ni ladha uisikiayo kinywani hadi moyoniKorosho ilivyo tamu
Unajengeka kwa kasiMoyo unasuuzika na mwili unajengeka
Ina imarika mani kwa kuzingatia maamrishoKasi kwa kila kitu hata hali ya ndoa ina imarika
Mola wa viumbe woteMaamrisho ya mola
Wote tuliopo JF tunapoteza muda, tufanye kazi tupate pesaMola wa viumbe wote
Pesa sabuni ya rohoWote tuliopo JF tunapoteza muda, tufanye kazi tupate pesa
Roho iliiambia kiwiliwili nikiondoka utabaki na nani? Mwili ukajibu ntabaki na funza!!Pesa sabuni ya roho
Funza dumeRoho iliiambia kiwiliwili nikiondoka utabaki na nani? Mwili ukajibu ntabaki na funza!!
Dume au jikeFunza dume
Dume au jike haijalishi masilahiFunza dume
Maslahi mapana ya taifa ndio msingi mkubwa wa kuwatambua viongozi wenye tija ya maendeleo ya taifa linalohamasisha harakati chanya za uchumi wa viwandaDume au jike haijalishi masilahi
Viwanda ndiyo target zetu kuwapatia AijraMaslahi mapana ya taifa ndio msingi mkubwa wa kuwatambua viongozi wenye tija ya maendeleo ya taifa linalohamasisha harakati chanya za uchumi wa viwanda
Ajira ziko nyingi sana tena kila mahali, mathalani umetaja: viwanda; pia kuna sekta ya biashara, uvuvi, ufundi, ubunifu, ujasiriamali, taaluma, sanaa, utalii, madini, kilimo & ufugaji, na mengine mengi ambayo kwa kweli zimesheheni kwenye taifa letu lenye karibu kila kitu chenye manufaa ya kubadilisha na kuboresha mfumo & hali yetu ya maisha kama wananchiViwanda ndiyo target zetu kuwapatia Aijra
Wananchi wa TZ kweli wamependelewa hakika Mungu katutandikia fursa..Ajira ziko nyingi sana tena kila mahali, mathalani umetaja: viwanda; pia kuna sekta ya biashara, uvuvi, ufundi, ubunifu, ujasiriamali, taaluma, sanaa, utalii, madini, kilimo & ufugaji, na mengine mengi ambayo kwa kweli zimesheheni kwenye taifa letu lenye karibu kila kitu chenye manufaa ya kubadilisha na kuboresha mfumo & hali yetu ya maisha kama wananchi
Fursa zipo nyingi tatizo mitaji ndo mtihaniWananchi wa TZ kweli wamependelewa hakika Mungu katutandikia fursa..