Udugu Feki
Senior Member
- Dec 23, 2019
- 182
- 153
Kumbuka machifu walishiriki biashara ya utumwa ...usiwape lawama waarabu tuHata hivo sisi bado tuna roho sana tena ya upendo maana hao waarabu ndo walikua wanatusaka kama usakavyo swala wakati wa mawindo ili watuuze km pipi iuzavyo dukani kwa wazungu au umesahau biashara ya utumwa babu zetu waliyopitia.Harafu mtu huyo akimsema mzungu ama mwarabu ni mbaguzi unamtetea natamani nikutukane tusi zito #^@
Nani haendi kutoka mapema?(Algeria, Morocco, senegal na tunisia) Ingawa Algeria ametolewa. Cameroon anaenda kutoka mapema sana
aliyekwambia Amerika ni Bara la Wazungu naniUnalazimisha wajiite waafrika ilhali ni waarabu! Jamaica ambao ni weusi wanaishi Amerika ya kaskazini, na hao pia wajikubali kuwa ni wazungu? Hamuna hoja za kubishana na ukweli bwana, acha ubaguzi na roho mbaya.
Ustaarab gani mlioleta??Eti washenzi π unathubutuje kuwaita washenzi watu ambao wameleta ustaarabu barani afrika!!
Unaujua umaarufu wa Tip tip?
aliyekwambia Amerika ni Bara la Wazungu nani
Unajua maana ya mzungu?
America ni Kwa red indian na jamii zake mfano Waaztec,Wamaya,waperu,
Comanche NK NK
Jielimishe wewe!
Nani haendi kutoka mapema?
Acha siasa, kuna waliotaka kujiunga Ulaya, ikashindikana.
kwahiyo unapinga wale mablack kule Jamaica kujiita waamerica kisa ni weusi huku ukiunga mkono Waarabu wa Misri na Morocco kuitwa waafrika au sio huoni ni double standard,?Nilipitiwa kidogo uko sahihi, ni red Indians, but huoni wana utofauti mkubwa na wamarekani wenyewe, mexico, n.k!
Sisi ni waAfrika,,,
Wa North pia ni waAfrika ingawa ni waarabu/weupe.
wewe waone wana roho ngumu, wenzio wanapiga maisha
kama wao hawajihesabu waafrica kwanini wajiunge na AU? kwanini wajiunge na CAF? watu weusi tuna matatizo mkaubwa ya kisaikolojia
Sawa wajiite tu waamerika lakini haibadili rangi yao, so watabaki na weusi wao na wale wa amerika wenyewe watabaki na weupe wao sijui red.,, ni kama bara letu, wa North ni wa-Afrika lakini haibadili wao kuwa weupe/waarabu. So hawa ni ndugu zetu, tuwapende pia na tuacheni kuwabagua.kwahiyo unapinga wale mablack kule Jamaica kujiita waamerica kisa ni weusi huku ukiunga mkono Waarabu wa Misri na Morocco kuitwa waafrika au sio huoni ni double standard,?
Watu hufikiri Uafrika ni Ubantu, that's low IQ
Unatumia nguvu kubwa sana ktk kuwatetea hao waarabu. Kwani ni lazima wote tuwapende? Ukiwapenda wee inatosha khaaah.Sawa wajiite tu waamerika lakini haibadili rangi yao, so watabaki na weusi wao na wale wa amerika wenyewe watabaki na weupe wao sijui red.,, ni kama bara letu, wa North ni wa-Afrika lakini haibadili wao kuwa weupe/waarabu. So hawa ni ndugu zetu, tuwapende pia na tuacheni kuwabagua.
Misri na nchi kama Morroco wanajiona waarab kuliko waafrika, na mimi naona sawa tu. Ukiangalia historical background yao wako connected sana na wenzao wa mashariki ya kati kuliko sisi. Huku tu wapo kijiografia tu
Inasimama kwakuwa wako connected sana na waarab kuliko waafrika, afrika wapo tu geographically
Mwongo.
Watanzania kwa mamia kila siku wanaenda shopping na kufanya biashara zao Dubai, hatujasikia wakilalamika kubaguliwa.
Wewe ulienda nchi ipi ya Waarabu ukabaguliwa? Wewe unaonesha hata Dar huijuwi bado uko kwenu huko madongo kuporomoka.
Nyie ndio wale mnanuka vikwapa, mkimsogelea mtu anaminya pua, mnasema mnabaguliwa, kumbe una kikwapa.
Sasa unapinga nink, kwani nimesema nini?Dah ila nyie watu mna tabu mjue π wale ni waarabu na pia ni ndugu zao katika imani. Sasa unataka wasiwe connected nao why!! Mbona ninyi mko closed sana na mayahudi/wazungu na wamarekani kuliko hata hawa waarabu/North afrika!!!
Acheni ubaguzi, na kemeeni!