Kwani Tanzania hakuna waarabu na wahindi?Akili zingine bwana mwisho unaishia kucheka tu [emoji1787] unataka wajihesabu wao ni waafrika ilhali wao ni waarabu!! Fikiri kabla ya kukomenti.
Nani amekataa wao sio waarabu?Sasa unachokataa nn km unajua hao ni waarabu sio wa Africa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata humu jamiiforums kwa sasa wamejaa sanaWote watoa comments hapo ni malikumbeni mkuu. Hakuna mtandao una malimbukeni kama Instagram.
Sasa umesema tunawabagua kuwa nao ni wa Africa, afu hapa unasema tena wako nu. Waarabu khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani amekataa wao sio waarabu?
Evidence mojawapo ni hii kampeni ya black lives matter
Unafikiri kwa Nini ipo
Hata humu jamiiforums kwa sasa wamejaa sana
Ukute limtoa mada linaitwa Abdullah
Basi linajiona li arab wakati jeusi tii kama sisi Wenzie.
Kuna watu ubongo wao ni wa kuunyofoa tuweke mawe tu
Matusi ni sehemu ya maisha yao, hivyo kitu cha kawaida kwao maana majitu yenyewe hayana imani.Hii kitu inaniumiza sana mkuu, na kila nikijaribu ku-comment kwenye baadhi ya mitandao naishia kuoga matusi tu.
Taja hizo inchi za kiarabu ulizoenda na ww ni mweusi na usibaguliwe, labda Kama na ww ni muarabu unataka huruma sio Mana hapa bongo tu kuoa kwenye familia ya waarabu koko tu shida hata Kama ni vilamba sukari ila bado wanajiona wao Bora kuliko weusi
Usichanganyikiwe mkuu 😅😅😅Sasa umesema tunawabagua kuwa nao ni wa Africa, afu hapa unasema tena wako nu. Waarabu khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe poyoyo, ni nani alikudanganya Uarabu ni rangi ya mtu?Taja hizo inchi za kiarabu ulizoenda na ww ni mweusi na usibaguliwe, labda Kama na ww ni muarabu unataka huruma sio Mana hapa bongo tu kuoa kwenye familia ya waarabu koko tu shida hata Kama ni vilamba sukari ila bado wanajiona wao Bora kuliko weusi
Waarabu ndo watafikaWaafrica hamana ataefika round 16
Wewe pia umeleta maneno ya kibaguzi humuUbaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika
Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.
Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.
Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
View attachment 2169071View attachment 2169072View attachment 2169073View attachment 2169074View attachment 2169075View attachment 2169076View attachment 2169077View attachment 2169078View attachment 2169079View attachment 2169080View attachment 2169081View attachment 2169082View attachment 2169083View attachment 2169084View attachment 2169085View attachment 2169086View attachment 2169087View attachment 2169088View attachment 2169089View attachment 2169091View attachment 2169092View attachment 2169093View attachment 2169094View attachment 2169095View attachment 2169096View attachment 2169097View attachment 2169098View attachment 2169099
View attachment 2169070
Waarabu ni washenzi hata hawa waarabu koko hawawezi kwenda kuoa kwa waarabu original kabisa wanawabaguaWe jamaa bila Shaka ni mwarabu na hapa unawatetea waarabu wenzio.Hao jamaa ni wabaguzi kupindukia,hujakaa nao pekeyako,na hawapendi mtu mweusi hata kidogo.Tetea watu wengine Ila siyo waarabu Mzee
Wako wapi wale watu weusi walioenda nchi za kiarabu enzi za utumwa? Mbona America wapo,France pia wapo?
Jibu walikhanisiwa na wengine kuuawa,waarabu hawakutaka kizazi Chao kichafuliwe na waafrka weusi
Si unaona pia ni Jinsi gani ilivyo ngumu Kwa mtu mweusi kumuoa mwarabu Koko wa zenji,figisu kibao..jamii ya waarabu ni wabaguzi kupindukia
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app