Waandishi wa habari mkipata nafasi ya kufanya mahojiano na rais/mstaafu muulize tuhuma za wizi wa kura

Waandishi wa habari mkipata nafasi ya kufanya mahojiano na rais/mstaafu muulize tuhuma za wizi wa kura

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Juzi baadhi ya wanahari walipata fursa ya kuhojiana mstaafu Kikwete wakati wa birthday yake. Kama ilivyo kawaida ya waandishi wetu walishindwa kumuuliza maswali magumu. Maswali mengi yalikuwa ya kiudaku.

Angeombwa atoe maoni yake juu ya tuhuma za wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali. Bila shaka angekanusha ila ukanushaji wake ungetusaidia wenye akili kumuelewa janja yake
 
Hilo swali jepesi tu mbona, wangemuuliza swali ambalo tunaliongelea sana huku mtaani.
 
Muulizeni ile gesi ya mtwara pamoja na Yule mama aliyepigwa risasi akiwa mjamzito imeisha wapi
 
Back
Top Bottom