Waandishi Wa Habari Mmetia Aibu Kwenye Press Baada Ya Mchezo Wa Young Africans Na Mamelod Sundowns

Waandishi Wa Habari Mmetia Aibu Kwenye Press Baada Ya Mchezo Wa Young Africans Na Mamelod Sundowns

Habari.

Nimeamgalia Press Iliyofanyika Baadae Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns Hapa Kupitia Azamsports 2.
Ukweli Waandishi Wa Habari Wa Hizi Blog Na Media Nyingi Imeonesha Wanauwezo Mdogo Na Elimu Ndogo Katika Sector Hiyo Ya Habari.

Ukiachana Na Lugha Ya Kiingereza Kuwa Tatizo Kwao Pia Elimu Ni Ndogo Kwa Maoni Yangu Naona Wanaufinyu Wa Maarifa Kwenye Upande Wa Habari.


Hizi Press Waandishi Wa Habari Nawapa Rai Ya Kupitia Interview Za Walioendelea Kujifunza Kuuliza Maswali, Kila Kitu Kina Template Za Hizi Press Za Michezo Na Mashindano.


Watanzania Tuache Uvivu Wa Kusoma Maana Ni Aibu, Pale Tunapoonesha Ujinga Wetu Mbele Za Watu.


Kuboresha Sector Ya Habari Ianze Kwa Waandishi Wa Habari Wenyewe, Kwanza Kuongeza Maarifa Na Mambo Mengine Yatafata.

Ila Ukweli Kwa Press Ya Leo Ya Baada Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns, Waandishi Wa Habari Mmetutia Aibu.

Baadhi Ya Maswali Ambayo Waandishi Wa Habari Waliyotutia Aibu Ni Hivi:-

1. Kukosa Mpangilio Mzuri Wa Swali Husika (Swali Kukosa Maana) Hata Kama Limeulizwa Katika Lugha Ya Kiingereza. Maswali Karibu Yote Hayakuleta Dhima Halisi Ya Press Baada Ya Mchezo Ni Kama Waandishi Wa Habari Hawakujiandaa Kabisa.

2. Waandishi Wa Habari Kuuliza Maswali Yanayoleta Bias Kwa Kocha Na Wachezaji. Mfano Mwandishi Wa Kituo Kimoja (Blog) Ameuliza Kwanini Unamuamini Mzinze Kucheza Mchezo Wa Young Africans Dhidi Ya Mamelod Sundowns? Gamondi Ikabidi Amjibu Huku Akimshangaa Na Kumwambia Ni Mchezaji Mdogo Ambae Ni Future Ya Taifa La Tanzania Na Amefanya Attempt Nyingi Kuliko Shalulile.

3. Mwandishi Wa Habari Anaulizia Leg 2 Utakayochezwa South Africa Next Week Wakati Press Ni Summary Ya Mchezo Wa Leg 1 Uliochezwa Muda Mchache Uliopita.

4. Mwandishi Wa Habari Alipewa Nafasi Ya Kuuliza Maswali Sasa Wakati Anauliza Akauliza Swali Moja Pekee Kumbe Ana Maswali Zaidi Ya Moja Sasa Kocha Anamaliza Kumjibu Yule Mwandishi Akataka Kuuliza Swali Jingine Kama Interview Na Kuleta Mkanganyiko Kwa Waandishi Wa Habari Wengine.

5. Mambo Ni Mengi Ila Nitajitahidi Kutafuta Video Ila Sidhani Kama Itapatikana Maana Waandishi Wa Habari Watabebana Kuficha Hii Aibu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Kwa mfano ungekuwa wewe ndio mwandishi wa habari ungeuliza maswali gani. Tupe mfano wa maswali matano
 
Nilikuwa najiandaa kuleta uzi wenye maudhui sawa na yako,Kwa kweli ni aibu tupu mpaka Gamondi anamshangaa muandishi wa habari Kwa aina ya swali alilouliza
Na kwenye kimombo sasa...
Tatizo wanalazimisha kuongea Kiingereza. (Japo siyo sababu saana)
EPL sijawahi ona mahojiano kwa lugha nyingine tofauti na Kiingereza.
 
Sasa tuamue tu, tubinafsishe sekta ya elimu, wadubai wakija kuchukua bandari,ngorongoro,mwendo kasi, Kia,SGR,nk tuwaongezee na wizara ya elimu kama kifungashio,hamna namna tena.
 
Waandishi wengi lugha ni tatizo na hawajui ku structure maswali....Wanapaswa kujifunza, waache kubweteka.
 

Attachments

  • VID_365700812_085333_965.mp4
    5.6 MB
Baadhi Ya Maswali Ambayo Waandishi Wa Habari Waliyotutia Aibu Ni Hivi:
1. Kukosa Mpangilio Mzuri Wa Swali Husika (Swali Kukosa Maana) Hata Kama Limeulizwa Katika Lugha Ya Kiingereza. Maswali Karibu Yote Hayakuleta Dhima Halisi Ya Press Baada Ya Mchezo Ni Kama Waandishi Wa Habari Hawakujiandaa Kabisa.

2. Waandishi Wa Habari Kuuliza Maswali Yanayoleta Bias Kwa Kocha Na Wachezaji. Mfano Mwandishi Wa Kituo Kimoja (Blog) Ameuliza Kwanini Unamuamini Mzinze Kucheza Mchezo Wa Young Africans Dhidi Ya Mamelod Sundowns? Gamondi Ikabidi Amjibu Huku Akimshangaa Na Kumwambia Ni Mchezaji Mdogo Ambae Ni Future Ya Taifa La Tanzania Na Amefanya Attempt Nyingi Kuliko Shalulile.

3. Mwandishi Wa Habari Anaulizia Leg 2 Utakayochezwa South Africa Next Week Wakati Press Ni Summary Ya Mchezo Wa Leg 1 Uliochezwa Muda Mchache Uliopita.

4. Mwandishi Wa Habari Alipewa Nafasi Ya Kuuliza Maswali Sasa Wakati Anauliza Akauliza Swali Moja Pekee Kumbe Ana Maswali Zaidi Ya Moja Sasa Kocha Anamaliza Kumjibu Yule Mwandishi Akataka Kuuliza Swali Jingine Kama Interview Na Kuleta Mkanganyiko Kwa Waandishi Wa Habari Wengine.

5. Mambo Ni Mengi Ila Nitajitahidi Kutafuta Video Ila Sidhani Kama Itapatikana Maana Waandishi Wa Habari Watabebana Kuficha Hii Aibu.
Hii ni aibu sana. Kuna waandishi wakienda kumhoji mtu, swali la kwanza wanalouliza ni: "Unaitwa nani?". Eti mtu anajiandaa kwenda kumhoji mtu asiyemfagamu? Hawa waandishi wana mambo ya ajabu sana.
 
Shida kubwa hapa ni lugha huenda wanataka kuuliza swali la msingi sana ila jinsi ya kuliweka swali kwenye lugha ya Kiingereza ndio inaleta shida.

Nashauri kungalikua na mkalimani wa lugha ili hawa waandishi waulize kwa lugha ya Kiswahili naamini huenda tafsiri ya maswali yao ikawa imekaa vizuri zaidi.

Kwamfano lile swali Gamondi aliloulizwa kuhusu mzize nafikiri alipaniki bure tu, maana halisi ya muuliza swali ilikua pamoja nakua ana sttiker mwenye uzoefu kama Guede kwenye timu lakini akaamua kumsimamisha Mzize anafikiri ni kwa kiasi gani amemuamini mzize ambae ni youngstar over striker kama Guede,

Na si kwamba Muandishi alimdharau Mzize
 
Siku hizi uandish wa habari na utangazaji imekuwa ni losers job.
 
Habari.

Nimeamgalia Press Iliyofanyika Baadae Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns Hapa Kupitia Azamsports 2.
Ukweli Waandishi Wa Habari Wa Hizi Blog Na Media Nyingi Imeonesha Wanauwezo Mdogo Na Elimu Ndogo Katika Sector Hiyo Ya Habari.

Ukiachana Na Lugha Ya Kiingereza Kuwa Tatizo Kwao Pia Elimu Ni Ndogo Kwa Maoni Yangu Naona Wanaufinyu Wa Maarifa Kwenye Upande Wa Habari.


Hizi Press Waandishi Wa Habari Nawapa Rai Ya Kupitia Interview Za Walioendelea Kujifunza Kuuliza Maswali, Kila Kitu Kina Template Za Hizi Press Za Michezo Na Mashindano.


Watanzania Tuache Uvivu Wa Kusoma Maana Ni Aibu, Pale Tunapoonesha Ujinga Wetu Mbele Za Watu.


Kuboresha Sector Ya Habari Ianze Kwa Waandishi Wa Habari Wenyewe, Kwanza Kuongeza Maarifa Na Mambo Mengine Yatafata.

Ila Ukweli Kwa Press Ya Leo Ya Baada Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns, Waandishi Wa Habari Mmetutia Aibu.

Baadhi Ya Maswali Ambayo Waandishi Wa Habari Waliyotutia Aibu Ni Hivi:-

1. Kukosa Mpangilio Mzuri Wa Swali Husika (Swali Kukosa Maana) Hata Kama Limeulizwa Katika Lugha Ya Kiingereza. Maswali Karibu Yote Hayakuleta Dhima Halisi Ya Press Baada Ya Mchezo Ni Kama Waandishi Wa Habari Hawakujiandaa Kabisa.

2. Waandishi Wa Habari Kuuliza Maswali Yanayoleta Bias Kwa Kocha Na Wachezaji. Mfano Mwandishi Wa Kituo Kimoja (Blog) Ameuliza Kwanini Unamuamini Mzinze Kucheza Mchezo Wa Young Africans Dhidi Ya Mamelod Sundowns? Gamondi Ikabidi Amjibu Huku Akimshangaa Na Kumwambia Ni Mchezaji Mdogo Ambae Ni Future Ya Taifa La Tanzania Na Amefanya Attempt Nyingi Kuliko Shalulile.

3. Mwandishi Wa Habari Anaulizia Leg 2 Utakayochezwa South Africa Next Week Wakati Press Ni Summary Ya Mchezo Wa Leg 1 Uliochezwa Muda Mchache Uliopita.

4. Mwandishi Wa Habari Alipewa Nafasi Ya Kuuliza Maswali Sasa Wakati Anauliza Akauliza Swali Moja Pekee Kumbe Ana Maswali Zaidi Ya Moja Sasa Kocha Anamaliza Kumjibu Yule Mwandishi Akataka Kuuliza Swali Jingine Kama Interview Na Kuleta Mkanganyiko Kwa Waandishi Wa Habari Wengine.

5. Mambo Ni Mengi Ila Nitajitahidi Kutafuta Video Ila Sidhani Kama Itapatikana Maana Waandishi Wa Habari Watabebana Kuficha Hii Aibu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Waandishi wa michezo Tz ni changamoto! Naangaliaga press za makocha ikifika kipindi cha maswali nazima tv! Just imagine mwandishi anamuuliza kocha wa kimataifa " unawaogopa Yanga"[emoji1787][emoji1787]
 
Habari.

Nimeamgalia Press Iliyofanyika Baadae Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns Hapa Kupitia Azamsports 2.
Ukweli Waandishi Wa Habari Wa Hizi Blog Na Media Nyingi Imeonesha Wanauwezo Mdogo Na Elimu Ndogo Katika Sector Hiyo Ya Habari.

Ukiachana Na Lugha Ya Kiingereza Kuwa Tatizo Kwao Pia Elimu Ni Ndogo Kwa Maoni Yangu Naona Wanaufinyu Wa Maarifa Kwenye Upande Wa Habari.


Hizi Press Waandishi Wa Habari Nawapa Rai Ya Kupitia Interview Za Walioendelea Kujifunza Kuuliza Maswali, Kila Kitu Kina Template Za Hizi Press Za Michezo Na Mashindano.


Watanzania Tuache Uvivu Wa Kusoma Maana Ni Aibu, Pale Tunapoonesha Ujinga Wetu Mbele Za Watu.


Kuboresha Sector Ya Habari Ianze Kwa Waandishi Wa Habari Wenyewe, Kwanza Kuongeza Maarifa Na Mambo Mengine Yatafata.

Ila Ukweli Kwa Press Ya Leo Ya Baada Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns, Waandishi Wa Habari Mmetutia Aibu.

Baadhi Ya Maswali Ambayo Waandishi Wa Habari Waliyotutia Aibu Ni Hivi:-

1. Kukosa Mpangilio Mzuri Wa Swali Husika (Swali Kukosa Maana) Hata Kama Limeulizwa Katika Lugha Ya Kiingereza. Maswali Karibu Yote Hayakuleta Dhima Halisi Ya Press Baada Ya Mchezo Ni Kama Waandishi Wa Habari Hawakujiandaa Kabisa.

2. Waandishi Wa Habari Kuuliza Maswali Yanayoleta Bias Kwa Kocha Na Wachezaji. Mfano Mwandishi Wa Kituo Kimoja (Blog) Ameuliza Kwanini Unamuamini Mzinze Kucheza Mchezo Wa Young Africans Dhidi Ya Mamelod Sundowns? Gamondi Ikabidi Amjibu Huku Akimshangaa Na Kumwambia Ni Mchezaji Mdogo Ambae Ni Future Ya Taifa La Tanzania Na Amefanya Attempt Nyingi Kuliko Shalulile.

3. Mwandishi Wa Habari Anaulizia Leg 2 Utakayochezwa South Africa Next Week Wakati Press Ni Summary Ya Mchezo Wa Leg 1 Uliochezwa Muda Mchache Uliopita.

4. Mwandishi Wa Habari Alipewa Nafasi Ya Kuuliza Maswali Sasa Wakati Anauliza Akauliza Swali Moja Pekee Kumbe Ana Maswali Zaidi Ya Moja Sasa Kocha Anamaliza Kumjibu Yule Mwandishi Akataka Kuuliza Swali Jingine Kama Interview Na Kuleta Mkanganyiko Kwa Waandishi Wa Habari Wengine.

5. Mambo Ni Mengi Ila Nitajitahidi Kutafuta Video Ila Sidhani Kama Itapatikana Maana Waandishi Wa Habari Watabebana Kuficha Hii Aibu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Tanzania haina waandishi wa habari wala vyombo vya habari
 
Habari.

Nimeamgalia Press Iliyofanyika Baadae Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns Hapa Kupitia Azamsports 2.
Ukweli Waandishi Wa Habari Wa Hizi Blog Na Media Nyingi Imeonesha Wanauwezo Mdogo Na Elimu Ndogo Katika Sector Hiyo Ya Habari.

Ukiachana Na Lugha Ya Kiingereza Kuwa Tatizo Kwao Pia Elimu Ni Ndogo Kwa Maoni Yangu Naona Wanaufinyu Wa Maarifa Kwenye Upande Wa Habari.


Hizi Press Waandishi Wa Habari Nawapa Rai Ya Kupitia Interview Za Walioendelea Kujifunza Kuuliza Maswali, Kila Kitu Kina Template Za Hizi Press Za Michezo Na Mashindano.


Watanzania Tuache Uvivu Wa Kusoma Maana Ni Aibu, Pale Tunapoonesha Ujinga Wetu Mbele Za Watu.


Kuboresha Sector Ya Habari Ianze Kwa Waandishi Wa Habari Wenyewe, Kwanza Kuongeza Maarifa Na Mambo Mengine Yatafata.

Ila Ukweli Kwa Press Ya Leo Ya Baada Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns, Waandishi Wa Habari Mmetutia Aibu.

Baadhi Ya Maswali Ambayo Waandishi Wa Habari Waliyotutia Aibu Ni Hivi:-

1. Kukosa Mpangilio Mzuri Wa Swali Husika (Swali Kukosa Maana) Hata Kama Limeulizwa Katika Lugha Ya Kiingereza. Maswali Karibu Yote Hayakuleta Dhima Halisi Ya Press Baada Ya Mchezo Ni Kama Waandishi Wa Habari Hawakujiandaa Kabisa.

2. Waandishi Wa Habari Kuuliza Maswali Yanayoleta Bias Kwa Kocha Na Wachezaji. Mfano Mwandishi Wa Kituo Kimoja (Blog) Ameuliza Kwanini Unamuamini Mzinze Kucheza Mchezo Wa Young Africans Dhidi Ya Mamelod Sundowns? Gamondi Ikabidi Amjibu Huku Akimshangaa Na Kumwambia Ni Mchezaji Mdogo Ambae Ni Future Ya Taifa La Tanzania Na Amefanya Attempt Nyingi Kuliko Shalulile.

3. Mwandishi Wa Habari Anaulizia Leg 2 Utakayochezwa South Africa Next Week Wakati Press Ni Summary Ya Mchezo Wa Leg 1 Uliochezwa Muda Mchache Uliopita.

4. Mwandishi Wa Habari Alipewa Nafasi Ya Kuuliza Maswali Sasa Wakati Anauliza Akauliza Swali Moja Pekee Kumbe Ana Maswali Zaidi Ya Moja Sasa Kocha Anamaliza Kumjibu Yule Mwandishi Akataka Kuuliza Swali Jingine Kama Interview Na Kuleta Mkanganyiko Kwa Waandishi Wa Habari Wengine.

5. Mambo Ni Mengi Ila Nitajitahidi Kutafuta Video Ila Sidhani Kama Itapatikana Maana Waandishi Wa Habari Watabebana Kuficha Hii Aibu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
kwanini wanashindwa kwenda kuchukua maswali ya interview ya waandishi waliomuuliza guardiola,mourihno au klopp? wanakaa wanaanza kubuni maswali yao wanatoa maboko. bongo ubunifu zero kabisa. wanaishi kwa mazoea
 
Waandishi wa habari wapigwe msasa na short course na wapewe exposure kwenda nchi tofauti waone wenzao wanavyofanya interview.

Afcon ijayo hawa ndio wata wahoji makocha na team zitazokuja, wabadilike kuhoji kama uandishi wa udaku mpaka professional journalism.
 
Mwandishi anauliza swali, kocha kama hajalisikia vizuri akiambiwa arudie hawezi au anarudia hadi maana ya swali inabadirika.

Kingereza wanaelewa kiasi ila tatizo ni kukosa misamiati ya ngeli.
 
Back
Top Bottom