Sisi waarabu hatuwarambui hao sio waarabuAcha uongo , mimi nimeswali Ijumaa miskiti ambayo maimamu na viongozi watu weusi mfano Masjid Tambaza na Masjid Ma'amur ya upanga na kuna waarabu na watu weupe kibao na hata uswahilini huku Yombo tunaswali na waarabu kutoka mataifa mbalimbali.
Dadazako wenyewe ndo hao kujianika na kudanga nyie wenyewe mnaishia kuwazalisha ndo wataweza Culture za kiarabu na kihindi?Kwahiyo watu weusi tuanze kupigania haki dada zetu waolewe na wahindi na waarabu au tuachane nalo kwanza
Acha uongo!! Ingekua waarabu hawaowi waswahili kusingekua na machotara wa kiarabu hapa TZ. Pia namjua Dada wa kihindi Pure kaolewa na Mmasai na wamezaa 2 kids! Huyo Dada anajutia kuolewa na Mmasai sababu anabaguliwa yy na wanawe huko umasaini mpaka wakafukuzwa! Mume nae ana michepuko kama yoteNishaona wengi mmoja wapo huyu hapa muisrael /myahudi anaitwa Dan Salpeter kamuoa mwanariadha wa olympic Lenah Chemutai. Wayahudi ni kama wazungu kupinga ndoa za rangi tofauti walishaacha tangu miaka ya 1960. Wakati Waarabu na wahindi ubaguzi wao wapo karne ya 15 wanaona mwafrica ni mtumwa bado na mnyama
Wapousha ona muisrael akifunga ndoa au hata kuishi na mmatumbi ??
Hatuwarubui×=Hatuwatambui✓Sisi waarabu hatuwarambui hao sio waarabu
Dunia haikuwahi kuwa na uhaba wa wajinga . Katika Qu'ran Allah anasema "Wanadamu wote wametokana na chanzo kimoja Adam na Hawa na kutokana na hao pakapatikana makabila na mataifa mbalimbali lengo ni kufahamiana lakini mbora wenu ni yule mchamungu zaidi"{Qur'an 49:13}Huku kwetu Pemba tuna kamsemo aheri shehe mlevi kuliko shehe mweusi
Binti ufuata tabia za mamaDadazako wenyewe ndo hao kujianika na kudanga nyie wenyewe mnaishia kuwazalisha ndo wataweza Culture za kiarabu na kihindi?View attachment 2284887
Kunguru ndio anamuoa njiwa .sio njiwa kumuoa kunguruSijawahi kumuona njiwa kamuoa kunguru au simba kamuoa chui.Chui na chui ,njiwa na njiwa oeni kwenu.
Oo jaman 😠Wanakuja kukupa muongozo.
Hao ni Waarabu koko wenye njaa.Tabora hapo kuna waarabu kibao wanaolewa na kuoa weusi
Kama asili yako ni uchafu basi ndiyo hivyo, ukiwa msafi huwezi kumkomoa mtu kwa uchafu.Waafrika ni wachafu lakini wakati mwingine hufanya vitu kwa kukomoa kwa sababu mshahara mdogo au ubaguz
Uongo mnafiki mkubwa wewe, acha upotoshaji dini ya kiislamu inapinga ubaguzi, tunaswali pamoja na hakuna msikiti wa waarabu na waafrika ,acha uzandiki, maluuni wwNa ijumaa hawasali kwenye misikiti ambayo ibada zinaongozwa na mashehe wenye ngozi nyeusi.
Wanaenda kwenye misikiti yenye viongozi ambao ni rangi zao.
Ni ajabu sana wafrika kung'ang'ania kuoana na ngozi nyeupe badala ya kuoana wao kwa wao tena wanalalamika kabisa bila aibu hizi story nimezisikia time and again.
Mizungu inaoana na mizungu wenzao same thing with miarabu na miasia na wanaona fahari ila kwa weusi ni tofauti, weusi wanaoana kwa bahati mbaya ila kama ingewezekana wote wangeoa/olewa na race zingine.
Leo hii mweusi popote pale akipata pesa tu cha kwanza ni kutafuta pisi ya kizungu aachene na ngozi nyeusi mfano wanamichezo Ulaya na Marekani.
Arusha masela wote wanafuga rasta ili wapate pisi za kitasha.
Pwani na Znz kila mtu ndoto yake ni kuoa/olewa na miarabu au mihindi.
Kimsingi wamatumbi wanaoana kwa ajali tu ila if given the chance hawataki kuoana wao kwa wao wangetaka kuolewa na race zingine na wanashangaa kwanini wengine hawawataki ila hawashangai kwanini race zingine wanaoana wao kwa wao.