Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Siyo kuolewa ni kuoa maana nyinyi wanaume ndiyo muliolalamika.

Hakuna mwanamke amekuja humu kulalamika kwa nini haolewi na mtu wa rangi rangi.
You have a point ila kwa uzoefu wangu ni wote tu japo wanaume wanaweza kuwa wamezidi.
 
Nilijua haya mambo ya dini mtaachana Nayo mwezi wa tano ulioisha ila tumeingia Nayo mwezi wa sita Kwa Kasi ya kimondo..

Sijui tunakwama wapi wakristo asee!! Wenzetu ulaya wapo bize na teknolojia Sisi tupo bize kushambuliana maswala ya dini na race

wewe ndiyo huna akili maada huelewi inasema nn kuingilia
 
Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?

Inawezekana wanatujua ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu. Mfano msiba wa dada wa Mwanza aliyepigwa risasi ndugu wa mke na mume wameshaanza migogoro msibani tu.

Misiba ya wahindi na waarabu wa Tanzania ni ngumu kusikia migogoro ya kugombea mali. Kukwepa hili ndio maana hawaoi dada zetu weusi na wala hawaturuhusu weusi kuoa dada zao labda uwe unatoka royal family za Tanzania ndio wanakupa mke.

Hii video ya mama wa marehemu imenishangaza sana
Hawataki mambo kama yaliyotokea Mwanza, ngozi nyeusi ni kudanga tu hata umhonge Mlima Kilimanjaro bado atatembeza nani yake kwa wengine
 
Tunapata wasi wasi kuchangia nyuzi kama hizi kwa kuwa tunaweza kuonekana hatuwapendi weusi Wenzetu....lakini nadhani Kuna tatizo kwenye jamii ya watu weusi.........

Kuna sehemu moja kule upanga kuna muarabu aliweka water dispenser nje ili watu wapita njia wakate kutokana na jua Kali..... lakini Cha ajabu watu wakawa wanaondoka na koki za mabomba na kuiba vikombe.......

Pahali ninapofanyia kazi kuna muingiliano wa watu weusi na weupe.....kulifanyika marekebisho ya vyoo vyote ili kuviboresha.....Ile wiki ya kwanza ya vyoo kufunguliwa baada ya maboresho ule upande unaotumika na watu weusi waliondoka na koki zote mpya na pipes......maji yakawa yanamwagika tu......

Hayo ni machache tu akini tunatakiwa tujitafakari watu weusi.....
Mkuu yaani hadi vyoo vilikuwa kuna vya weusi na vya weupe huo si ubaguzi tayari au kuna kitu sijaelewa?
 
Mkuu yaani hadi vyoo vilikuwa kuna vya weusi na vya weupe huo si ubaguzi tayari au kuna kitu sijaelewa?
Kabla ya kuvitenga vilikuwa vinatumika kwa pamoja kwa watu wote....... ustaarabu na uchafu ndio vikaamue hivyo........

Imagine mtu mzima anajisaidia haja kubwa kwenye sink la kunawia mikono........

Mtu mzima anadumbukiza matambala ndani ya tank.......???

Mwanzo nilikuwa mwanaharakati pale niliyokuwa najionea yaliyokuwa yakifanywa na ndugu zangu.....ikanibidi nikae kimya......
 
Mwanzo tulikuwa tunatumia sote kwa pamoja....lakini tatizo la ustaarabu na likapelekea mgawanyo huo.......imagine mtu anaingia maliwatoni anashusha haja kubwa kwenye sink la kunawia mikono..........

Imagine mtu mzima anajisaidia haja kubwa alafu anatoka bila kuflash uchafu wake na maji yamejaa tele......

Mwengine unakuta anaoga sehemu ya kufanya haja na maji yanatapakaa korido nzima....... matukio ni mengi......
Sitetei waafrika ila ktk jamii zenye tabia ya uchafu wahindi wanaongoza. Na sidhani kama watajenga choo kingine kuwakimbia wahindi wenzao ambao ni wachafu. Ktk jamii baguzi wahindi na waarab wapo ktk nafasi za juu zaidi. Waafrika ni wachafu lakini wakati mwingine hufanya vitu kwa kukomoa kwa sababu mshahara mdogo au ubaguzi.
 
Sitetei waafrika ila ktk jamii zenye tabia ya uchafu wahindi wanaongoza. Na sidhani kama watajenga choo kingine kuwakimbia wahindi wenzao ambao ni wachafu. Ktk jamii baguzi wahindi na waarab wapo ktk nafasi za juu zaidi. Waafrika ni wachafu lakini wakati mwingine hufanya vitu kwa kukomoa kwa sababu mshahara mdogo au ubaguzi.
Yap.... inawezekana maana sikubahatika kuwa na maingiliano na wahindi.....
 
Miafrika 8/10 ndoto zao ni kuolewa na rangi nyingie case in point huu uzi watu wanalalamika kwanini watu wengine wanaoana wao kwa wao hawataki wamatumbi waoane nao.
Swala hatutaki ubaguzi hatujasema au kulazimisha watuoe OK? Yani tu nacho taka ni kuishi kwa usawa kwa usawa kwa usawa bila Aina yoyote ya ubaguzi iwe rangi ima dini
 
Kama wao hawataki mseto na wanaona ufahari na kuridhika kuoana wao kwa wao kwanini na nyie msione ufahari kuoana wenyewe kwa wenyewe?

Mbona mnaanza kujibagua wenyewe?

Hakuna watu ambao hawataki kuchanganya issue za kuona kabila zingine kama Wayahudi.
Wayahudi wapoje?
 
Uraia wa Tanzania unatakiwa upitiwe upya kuzaliwa Tanzania kusiwape watu uraia watanzania. Tunatakiwa tuone rekodi kama wao ni wabantu Waafrika. Sio jitu limetoka kwao arabia au India halafu linapewa uraia wa Tanzania kisa waliletwa na wahindi na wengine walikuja kukusanya watumwa
 
Back
Top Bottom