Tetesi: Waarabu wa Dubai Port kuwang'oa TICTS bandarini

Kwa hiyo unakiri unabwabwaja tu bila uthibitisho!!?
Tafsiri ya kukuuliza hilo swali ni kwamba kitu kinaitwa uthibitisho huwa ni geresha ya kukwepa ukweli uliopo. Ndio maana nikakueleza na wewe uthibitishe, ulichosema ni kweli Ila kwenye kuthibitisha utashindwa.

Ni sawa na mtu akuambie thibitisha kuwa wakristo hawataenda peponi.
 
Kwa technolojia yao ilivyo kubwa, si ajabu watu wakapunguzwa sana hapo Bandarini. Na wale wenzangu na mimi waliozoea mseleleko, wajipange tu kurudi mashambani.
Ama kwa hakika.maana wao ndio the leader on the port industrial worldwide
 
Kwasababu hayo mataifa hayaendekezi udini tofauti na mataifa ya Kiarabu
 
Huna uthibitisho,na mtoa mada Hana uthibitisho,kasukumwa tu chuki mnazofundishana ukwata,ycs nk
 
Hawa waarabu ni waharibifu wataharibu nchi yetu
Angalia mfano wa loliondo,ukifika loliondo ni kama upo uarabuni

Nakuhurumia nchi yangu hawa waarabu ni watu wa hovyo kabisa tuombe Mungu apatkane kiongozi atakaewafurusha
 
Ticts ni kampuni ya kizalendo issue Ni kuwawweesha kufikia target au kuwaondoa ?
Ticts wanapiga pesa mizgo kibao kwa nn wasiimprove kununua mashine nzuri..Ni kampuni nzuri sema hawana huduma mbovu na pale bandari kitu kidogo mzigo ukichelewa kutoka ndani ya siku 7 unapata storage ..

Kuna watu wanacontainer labda Tano unafika unakuta zimeshushwa 2 kwa ukaguzi ila zitoke nyingine zimebaki! Zikikaa sana zinaingia storage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…