Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mimi kabisa niwe karani? Mimi nachowaza Kuja kuwa raisi, wewe unanieleza story za ukarani. Pumba kabisa weweKuna wana JF wengi humu wamefika ulaya kwaajili yangu. Siko huko uliko wewe leo mnagombania kazi za ukarani mwishowe mnadhulumiana. Pole sana na jitahidi kupambana na bahati mbaya ya kihustoria kwenu bwana wenu amelala yooo sijui nani atakuja kuwainua tena....
Ungetuambia huo uharibifuKama mwarabu kapewa bandari tumeisha
Ni swala la muda tu
Uharibifu mkubwa unaenda kutokea ktk nchi yetu
If wishes were horses.....Mimi kabisa niwe karani? Mimi nachowaza Kuja kuwa raisi, wewe unanieleza story za ukarani. Pumba kabisa wewe
But huwezi kuwacompare na tictsShida mnaona watu weupe ni malaika. Hata kabla ya viongozi wetu kuweka kando wao pia huwaweka viongozi kando kuanzia tender mpaka utendaji. Nchi karibu nyingi hizi za ulimwengu wa tatu wanaofanya looting ni hao weupe.
Ukiwabana sana wanakutafutia namna, sio rahisi kama unavyoweza kudhani. Narudia tena DP world wanaweza kufanya kazi nzuri sana kuliko sehemu nyingine yoyote, lakini wao si malaika ndio maana nikakueleza Kuna sehemu walishindwa ufanisi
Nyie watu Ni mazuzu , kwahiyo Kama ticts hawana ufanisi unataka waachwe kisa Ni wa kanda ya ziwa wenzenu au? Si kutwa mnalalama hapa bandarini mizigo inachelewa sna??!View attachment 2338074
Ni wazi Ticts hana chake tena bandarini na hii ni baada ya kampuni ya waarabu wa Dubai Port kufanikiwa kuwashawishi watawala ili wawape Mkataba wa kushusha na kupakia makasha shughuli ambayo Ticts walikuwa wanaifanya hapo awali.
NB: Ile picha ya mama pale Burj inaendelea kulipa.
Exactly, mijamaa Ina chuki kweli za kidini aiseeHapo umesema mwarabu lakini kilichokusukuma ni dini yake
Ni wajinga tu wanaoendekeza fikra za kidini kwenye mijadala yenye maslahi mapana kwa nchiNi kwa nn anaposemwa mwarabu huwa mnahusisha dini? Kipindi cha JK kulikuwa na story za Marekani kutaka kupewa kigamboni, mbona sikuona mtu/watu wakihusisha dini? Bali nilichoona ni kuhusisha mambo ya kijeshi na unyang'anyi?
Hata sasa kumeibuka story ya Marekani kutaka kupewa bandari ya Bagamoyo, sijaona mtu akihusisha dini bali inahusishwa military base na unyang'anyi mwingine.
China pia hivyohivyo akitaka kupewa sehemu kuendesha watu hukosoa sana, Ila sioni wakihusisha dini.
Kwa nn wakisemwa waarabu mnakimbilia dini?
Haswaa Hawa waisrael wa tandale kwa tumboMkuu, wanaendesha Bandari kadhaa za Uk.
Humu kuna watu wakisikia neno "Waarabu" wanapatwa na alergy.
Kwahiyo Bora waisrael wanaohamasisha mffirane mindukuHawa waarabu ni waharibifu wataharibu nchi yetu
Angalia mfano wa loliondo,ukifika loliondo ni kama upo uarabuni
Nakuhurumia nchi yangu hawa waarabu ni watu wa hovyo kabisa tuombe Mungu apatkane kiongozi atakaewafurusha
Nawe ni mwarabu piaTicts wanakwamisha shughuli za uondoshaji wa shehena ,vifaa vichache Bora watoke
Mi mtanzania uarabu niutoe wapi?Nawe ni mwarabu pia
Yaani mi mwenzio naona kama awamu hii ikiemdelea, waarabu watapewa hata contract ya kufundisha Nursery school. Nasikia Zanzibar airport nayo itakuwa ni moja ya wilaya za Dubai. Maendeleo hoyeee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mi mtanzania uarabu niutoe wapi?
Bora mwarabu kuliko mchna, hata hivyo-ticts walishafikia kiwango cha mwisho kabisa cha uwezo wao kipind fulani, kukawa na controversies nying kuhusu utendaji wao, hadi kikwete mwenyewe(Kikwete kabisa) akashtushwa na hali ya bandari, akaenda na kupiga mkwara mzito pale, kipind hicho m-bia au ya wezekana ndiye mmiliki wa Ticts alikuwa bado yupo kwenye ofisi ya Umma, wa Tanzania wakalalamikia Ticts, rais naye akailaumu Ticts, lakin with impunity or whatsoever Ticts wakalamba extension ya mkataba!! Wakapewa tena mkataba mkubwa kuliko ule waliou under perform, mawimbi yakatulia na bandari ikaendelea kuzorota, Leo ndiyo mnani ambia kuwa kumbe Ticts bado wapo, ajabuKama mwarabu kapewa bandari tumeisha
Ni swala la muda tu
Uharibifu mkubwa unaenda kutokea ktk nchi yetu