Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
π unafuatilia kwa ukaribu etiTrump kasema atawatambua Somaliland kwenye project 2025 kwahiyo US Israel na Ethiopia zitapewa Base Emirates ndio mshenga au haujui hilo kwakuwa uko ukimbizini?!
HTSSio kila muasi ni gaidi, labda kama hujui maana ya uasi.
Assad kiarabu maana yake ni Simba huyu Abu Mohamed Al Jolani ambaye ni Gaidi Mstaafu ni kiboko ya Simba.
View attachment 3172174
Isome vizuri Project 2025.unafuatilia kwa ukaribu eti
Unamuamini sana Trump au hujui huwa anaongea mengi ila anatimiza machache sana
Tetesi ni kuwa huyo jamaa aliacha ugaidi kwa sasa ni CIA/MossadAssad kiarabu maana yake ni Simba huyu Abu Mohamed Al Jolani ambaye ni Gaidi Mstaafu ni kiboko ya Simba.
View attachment 3172174
Hata yule "Son of Hamas" ametubu kwa YAHWEH na amebadili hadi Dini. Binadamu wanabadilika.
Unachekesha.Hata yule "Son of Hamas" ametubu kwa YAHWEH na amebadili hadi Dini. Binadamu wanabadilika.
Tetesi ni kuwa huyo jamaa aliacha ugaidi kwa sasa ni CIA/Mossad
Hawa Magaidi wa Kiarabu wanaijua Game sio hawa wa huku Uswahilini Magaidi "Njaa" kama Alshababu na Boko Haramu.Tetesi ni kuwa huyo jamaa aliacha ugaidi kwa sasa ni CIA/Mossad
Siku Al shaabab na Boko Haram wakitwaa madaraka utawasifu nao.Hawa Magaidi wa Kiarabu wanaijua Game sio hawa wa huku Uswahilini Magaidi "Njaa" kama Alshababu na Boko Haramu.
Angalia tarehe ya tangazo. Linganisha na terehe ya leo. Unadhani hicho kikundi kimetoa wapi pesa za kununua silaha nyingi na magari ya kutosha kumuondoa assad. Hao waturuki hawana hela hiyo na wao uchumi wao unayumba mno. Huyo ni Mmarekani kamfadhili CIA wake al-Julani
Sichekeshi, Son of Hamas kaachana na Ugaidi kaokoka nasasa yuko mstari wa mbele kama shuhuda.Unachekesha.
Angalia tarehe ya tangazo. Linganisha na terehe ya leo. Unadhani hicho kikundi kimetoa wapi pesa za kununua silaha nyingi na magari ya kutosha kumuondoa assad. Hao waturuki hawana hela hiyo na wao uchumi wao unayumba mno. Huyo ni Mmarekani kamfadhili CIA wake al-Julani
Wakiachana na Ugaidi yes ntawasifuSiku Al shaabab na Boko Haram wakitwaa madaraka utawasifu nao.
Huna akili.
Wamarekani wamempa CIA wao hela nyingi mno kununua silaha na magari ya kutosha kumuondoa assad, Uturuki wana hali ngumu hawana hiyo hela kufinance waasi wa HTS huyo ni Mmarekani kajificha nyuma ya Uturuki kwa hesabu kali mno. Kiufupi CIA wamejipanga kuliko watu tunavyofikiria.Hawa Magaidi wa Kiarabu wanaijua Game sio hawa wa huku Uswahilini Magaidi "Njaa" kama Alshababu na Boko Haramu.
Ndio maana hata Timing ya Vita imeanza baada ya pause ya siku 60πWamarekani wamempa CIA wao hela nyingi mno kununua silaha na magari ya kutosha kumuondoa assad, Uturuki wana hali ngumu hawana hiyo hela kufinance waasi wa HTS huyo ni Mmarekani kajificha nyuma ya Uturuki kwa hesabu kali mno. Kiufupi CIA wamejipanga kuliko watu tunavyofikiria.