Wababe wa vita walioogopwa sana na wazungu lakini maisha yao yakaishia pabaya, Putin anapaswa kujifunza kwao

Wababe wa vita walioogopwa sana na wazungu lakini maisha yao yakaishia pabaya, Putin anapaswa kujifunza kwao

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
1. Napoleon Bonaparte
Huyu aliasisi mapinduzi ya Ufaransa dhidi ya ufalme lakini baada ya kutawala hakuridhika, alitaka kutawala ulaya yote na alifanikiwa kwa kiasi kasoro Uingereza. Pamoja na kuogopwa na wababe wenzie bado walifanikiwa kumtoa kwa nguvu na kumshika kama kuku.
Alihamishwa kabisa ulaya kutokana na ukorofi wake.

2. Adolf Hitler
Huyu mwamba alitawala ulaya kwa muda mfupi sana,akaogopwa,akawaonea wenzake lakini mwishowe alijiua mwenyewe baada ya kuzidiwa nguvu na jeshi la USSR na nchi yake kukubali yaishe.

3. Viladmir Putin
Ubabe wake tumeuona wengi, ujasiri wake unaonekana na hakuna nchi inayothubuti kumwingilia akiwa kwenye mgao wa dozi kwa jirani yake na ndugu yake Ukraine. Wazungu wanamtazama ila hawajui mwisho wake. Wanamzoom tu hawajui nguvu kamili aliyonayo.

Pamoja na yote itafika wakati pumzi itaisha nguvu ya pesa na jeshi vitapungua hakika ni wakati wa NATO sasa kumshambulia kwa uharibifu alioufanya na hasara aliyoiletea ulaya na dunia.

Hawezi kuvumilika siku zote labda afe kabla ya kuchoka.
 
Wazungu wanafiki sana, wakati Georgia inapigwa na Urusi mwaka 2008, tena kwa sababu hizihizi, mbona hawakushupaza shingo kama sasa hivi?
Usiwaamini wazungu hata kidogo
 
Naona wanaharakati wa upinde wa mvua mnapeana faraja
wazee wa rainbow wanahangaika sana. putin piga mishoga hiyoo.
giphy.gif
 
1. Napoleon Bonaparte
Huyu aliasisi mapinduzi ya Ufaransa dhidi ya ufalme lakini baada ya kutawala hakuridhika, alitaka kutawala ulaya yote na alifanikiwa kwa kiasi kasoro Uingereza. Pamoja na kuogopwa na wababe wenzie bado walifanikiwa kumtoa kwa nguvu na kumshika kama kuku.
Alihamishwa kabisa ulaya kutokana na ukorofi wake.

2. Adolf Hitler
Huyu mwamba alitawala ulaya kwa muda mfupi sana,akaogopwa,akawaonea wenzake lakini mwishowe alijiua mwenyewe baada ya kuzidiwa nguvu na jeshi la USSR na nchi yake kukubali yaishe.

3. Viladmir Putin
Ubabe wake tumeuona wengi, ujasiri wake unaonekana na hakuna nchi inayothubuti kumwingilia akiwa kwenye mgao wa dozi kwa jirani yake na ndugu yake Ukraine. Wazungu wanamtazama ila hawajui mwisho wake. Wanamzoom tu hawajui nguvu kamili aliyonayo.

Pamoja na yote itafika wakati pumzi itaisha nguvu ya pesa na jeshi vitapungua hakika ni wakati wa NATO sasa kumshambulia kwa uharibifu alioufanya na hasara aliyoiletea ulaya na dunia.

Hawezi kuvumilika siku zote labda afe kabla ya kuchoka.
Lengo la uzi ni kumnanga Putin, kichwa cha habari ni wababe walioishia pabaya.
 
Wazungu wanafiki sana, wakati Georgia inapigwa na Urusi mwaka 2008, tena kwa sababu hizihizi, mbona hawakushupaza shingo kama sasa hivi?
Mambo ya 2008 unaleta leo,kwani viongozi na mitazamo ya viongozi wa wakati huo ndo viongozi wasasa na mitazamo yao inafanana?...Wazungu ni wale wale ila dunia na mitazamo ya watu kwenye utatuzi wa mambo inaenda ikibadilika.Tusikariri maisha.
 
wazee wa rainbow wanahangaika sana. putin piga mishoga hiyoo.
giphy.gif
Una uhakika uko kwa putin kwenyewe hakuna mashoga?.Alafu utashangaa uku tunakojifanya sio mashoga ndio tuoaenda kuomba misaada na mikopo uko kwa hao unaowaita mashoga.
 
Mambo ya 2008 unaleta leo,kwani viongozi na mitazamo ya viongozi wa wakati huo ndo viongozi wasasa na mitazamo yao inafanana?...Wazungu ni wale wale ila dunia na mitazamo ya watu kwenye utatuzi wa mambo inaenda ikibadilika.Tusikariri maisha.
Kwahiyo watu waliokuwa wanauliwa georgia ni paka , huko ukraine ndio watu ?


Hakuna cha mtazamo wala nini, ni maslahi tu , as long as west hawana maslahi sehemu huwa hawajali hata muuliwe hovyo.
 
Putin shikilia hapo hapo mpaka watu wamegeuka walimu wa somo la historia humu sisi kama warusi tuishio kitunda huku tunafarijika sana
 
Back
Top Bottom