Wababe wa vita walioogopwa sana na wazungu lakini maisha yao yakaishia pabaya, Putin anapaswa kujifunza kwao

Wababe wa vita walioogopwa sana na wazungu lakini maisha yao yakaishia pabaya, Putin anapaswa kujifunza kwao

Putin nikuambie Tuu Ataondoka Dunia kwa sababu Mwenyenzi Mungu Mtakatifu amemtaka na niwakati wake umefika
Nikuakikishie Tuu kama vita hii ikiendelea kwa miezi 6 inayokuja basi inawezekana Nato ikafa na Umoja wa ulaya ukafa maisha yamependa sana Ulaya na anayeadhirika ni mwananchi wa kawaida wataingia mitaani kuwatoa viongozi wao
Putin amewafundisha ulaya sana
Pia kumbuka Saudia Arabia amekataa kuongeza udhalishaji wa mafuta alipokutana na Biden
 
Siungi mkono mauwaji ya wasio na hatia,, sina uhakika maana hata maiti zao hazionyeshwi.

Narudi pale pale![emoji1484]
Wakati iraq inavamiwa na marekani + Nato mbona hamkuonyesha huruma zenu kwa mauwaji ya watu wasio na hatia, na isitoshe rais wao akauawa pamoja na watoto wake Udai and Qusai, libya hivyo hivyo,. israel anafanya unyama wake kwa wapalestina, hivi haya yote hamuyaoni jamani!!!! Kwamba lile ni taifa teule sio [emoji16] ilaa ya ukraine imewatachi sanaee!!
Achana nao wanafiki wakubwa hao
 
Back
Top Bottom