Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,083
- 6,872
Anachokifanya Russia siyo kigeni. Unamkumbuka Gadhafi na Sadam Hussein?
Tofauti na Marekani ni kuwa Marekani anapiga sehemu yenye mafuta
Tofauti na Marekani ni kuwa Marekani anapiga sehemu yenye mafuta
Putin shikilia hapo hapo mpaka watu wamegeuka walimu wa somo la historia humu sisi kama warusi tuishio kitunda huku tunafarijika sana