Putin shikilia hapo hapo mpaka watu wamegeuka walimu wa somo la historia humu sisi kama warusi tuishio kitunda huku tunafarijika sana
Wewe una sababu zipi za kuunga mkono mauaji na uharibifu unaoendelea Ukraine?
Hata Tanzania na umasikini wetu, kwa mfano jirani na ndugu yetu Kenya awe na mpango wa kumkaribisha adui yetu akaribie mipaka yetu. Haki ya Mungu tutaingia vitani kulinda nchi yetu. Russia hawezi lalia masikio wakati Ukraine alikuwa na mipango au nia ya kujiunga na NATO. Lazima atoe somo kwa gharama yoyote ile. Jiulize kwa nini hao wanachama wa NATO Ndiyo wanatoa kila aina ya msaada wa kivita Ukraine?Wewe una sababu zipi za kuunga mkono mauaji na uharibifu unaoendelea Ukraine?
Unataka wawe upande gani?..
Hata Tanzania na umasikini wetu, kwa mfano jirani na ndugu yetu Kenya awe na mpango wa kumkaribisha adui yetu akaribie mipaka yetu. Haki ya Mungu tutaingia vitani kulinda nchi yetu. Russia hawezi lalia masikio wakati Ukraine alikuwa na mipango au nia ya kujiunga na NATO. Lazima atoe somo kwa gharama yoyote ile. Jiulize kwa nini hao wanachama Ndiyo kila aina ya msaada wa kivita Ukraine?
Baadae ndio lini? Tulieni sindano iingie kile chuma bwana alafu soon ile sijui kivu au kiev utashuhudia moto mzito..saluva ukarain saluva ukarainiππAtapigwa tu baadae
Hata Wafuasi wa Hitler waliamini hivyo hivyo, haijalishi ni muda gani lakini hawezi kuendelea kuonea wengineBaadae ndio lini? Tulieni sindano iingie kile chuma bwana alafu soon ile sijui kivu au kiev utashuhudia moto mzito..saluva ukarain saluva ukarainiππ
Unaunga mkono mauaji ya watu wasio na hatia?!Mbona kipindi anavamiwa iraq, libya na Afghanistan hamkupaza sauti!! Kwa ukrain ndio mnaonyesha huruma zenu!! Acha mrusi awanyooshe
Kweli unaona sawa kwa mauaji ya watu yanayofanywa na Urusi?!Hata Tanzania na umasikini wetu, kwa mfano jirani na ndugu yetu Kenya awe na mpango wa kumkaribisha adui yetu akaribie mipaka yetu. Haki ya Mungu tutaingia vitani kulinda nchi yetu. Russia hawezi lalia masikio wakati Ukraine alikuwa na mipango au nia ya kujiunga na NATO. Lazima atoe somo kwa gharama yoyote ile. Jiulize kwa nini hao wanachama Ndiyo wanatoa kila aina ya msaada wa kivita Ukraine?
Kwa hiyo unataka Warusi Ndiyo wauwawe. Zelensky and the west are catalysts. Full stopKweli unaona sawa kwa mauaji ya watu yanayofanywa na Urusi?!
Haya majitu ni takataka.wazee wa rainbow wanahangaika sana. putin piga mishoga hiyoo.
Muwe mnaacha upumbav nyie wajinga ,unaposema wazungu hao uliwaorodhesha hapo ni wamatumbi au ? ,1. Napoleon Bonaparte
Huyu aliasisi mapinduzi ya Ufaransa dhidi ya ufalme lakini baada ya kutawala hakuridhika, alitaka kutawala ulaya yote na alifanikiwa kwa kiasi kasoro Uingereza. Pamoja na kuogopwa na wababe wenzie bado walifanikiwa kumtoa kwa nguvu na kumshika kama kuku.
Alihamishwa kabisa ulaya kutokana na ukorofi wake.
2. Adolf Hitler
Huyu mwamba alitawala ulaya kwa muda mfupi sana,akaogopwa,akawaonea wenzake lakini mwishowe alijiua mwenyewe baada ya kuzidiwa nguvu na jeshi la USSR na nchi yake kukubali yaishe.
3. Viladmir Putin
Ubabe wake tumeuona wengi, ujasiri wake unaonekana na hakuna nchi inayothubuti kumwingilia akiwa kwenye mgao wa dozi kwa jirani yake na ndugu yake Ukraine. Wazungu wanamtazama ila hawajui mwisho wake. Wanamzoom tu hawajui nguvu kamili aliyonayo.
Pamoja na yote itafika wakati pumzi itaisha nguvu ya pesa na jeshi vitapungua hakika ni wakati wa NATO sasa kumshambulia kwa uharibifu alioufanya na hasara aliyoiletea ulaya na dunia.
Hawezi kuvumilika siku zote labda afe kabla ya kuchoka.
Mungu atupe miaka ya kutosha tuuone mwisho wa mwambaTime Will tell
Unajifanya una akili lakini hujui hata kuandika.Muwe mnaacha upumbav nyie wajinga ,unaposema wazungu hao uliwaorodhesha hapo ni wanatumbi au ? ,
Halafu hao uliwaandika ni kwamba wengi wenu ni watu msiojua historia Tu ,kuna mtu aliwahi itwa Gengis Khan na genge lake la Mongols hawa ndio watu waliowahi chachafya Europeans kingdoms nyingi Kwa wakati mmoja na walianzia kuconqure china wakaja wakipiga kuteka na kuua mamilioni ya watu na inaaminika ndio waliosaidia kusambaza ugonjwa WA tauni na ndio miaka ambayo Roman empire ilikuwa inaanguka , hawa njemba walikuwa ni balaa walitawala mpaka Russia yote unayoisikia Leo Kwa Russia hii jamii walijulikana kama Tatars .
Unaunga mkono mauaji ya watu wasio na hatia?!
Umeingizwa mkenge na propaganda za nchi nza magharibi!!Huyu PUTIN anatusababishia hali ngumu ya maisha Duniani .