Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Jifurahishe tuWewe unaendesha gari gani?
Umewahi kumiliki Gari?
Unadhani kwakuwa ndugu zako wanamiliki mitumba(Kuanzia chupi hadi magari) basi unadhani watu wote nchini Tanzania wanamiliki mitumba?
Kama nimejenga Nyumba ya Milioni 280 Salasala unadhani nashindwa kununua gari mpya milioni 100?
Wabongo wa Marekani wamechoka zaidi ya Paka Mzinzi,sasa umkope tena si ndo utamuua kabisa!ππππ shemeji TUKANA UONE kumbe ulitaka kukopa ukanyimwa pesa eti??
Yes!,Lazima nijifurahishe kwa kile alichonibariki Mungu!Jifurahishe tu
Nyie matajiri wa mbao tu πππ utajiri wenu wakisenge Sana mnatamba mbao mpo depressedYes!,Lazima nijifurahishe kwa kile alichonibariki Mungu!
Mkuu kodi yako ikikaribia kuisha nishitue nitakupiga tafu ya miezi 6
Tz ni nchi ya hovyo Sana kwa kila kitu sehemu ambayo Kuna 80% ya watu hawana uhakika wa kula then huwezi ku Entertain chochote.Uk, China, Ethiopia,German,Danmark,Norway,Sweden, Spain, Netherland,Gambia,Ghana,Nigeria,India,Mexico,Thailand,Turkey,Nepal na mwakani Mungu akijalia nitaenda Ivory Coast.
Ni kweli Tanzania ni nchi masikini yenye kero nyingi likiwemo hilo la umeme ila mimi,narudia MIMI napenda kuishi Tanzania huko kwingine kunafurahisha kwenda kutembea then narudi zangu home sweet home Tz.
Yrust me hakuna mtu yeyote mwenye maisha yake bongo ataenda kuishi huko maulaya na Us.
Hivi unafikiri tatizo la umeme linamuathiri kila mtu aliyeko Tz?Hivi unafikiri kila mtu aliyeko TZ anatibiwa TZ?
Mimi nikipata gonjwa kubwa nitakimbilia kutibiwa Sweden.
Tz ni jehanamu kama unaishi chini ya dola moja ila ukiwa na kakipato kazuri ka kawaida tu kuishi Tz ni raha.
Kiranga ona hii akili sasa, kusikia unamiliki garage ambayo ni zaidi ya nyumba yake akili ya kitanzania imemtuma ni zile garage anazoona mitaani, trust me watanzania wana wadudu kichwani [emoji1787][emoji1787]Marekani ukiwa na Gereji ya Magari bila shaka wewe utakuwa Makenika,unaenda kuzoa majararani magari mabovu yaliyotupwa unakuja kuyaripea unauza ili upate chochote!.
Aisee kama hiyo ndiyo kazi inayokuweka huko basi bado unasafari ndefu ya mafanikio
Kijana subiri kwanza nipate msosi ndo uje unieleze takwimu zako za kiuongo na kweli !
Ukirudi Bongo na uzoefu wa 5 years unapata kazi kubwa kutokana na exposure yako practically unakuwa upo mazingira tofauti kabisa you will meet people who can not deliver with a lot of excuses.Kwa hali ilivyo sasa kutoboa Marekani ni vigumu sana. Haki za mfanyakazi ni ndogo na pia mfumo wa bima ya afya ni mbovu. Ujerumani ni nchi nzuri sana lakini mpaka uje ujiseti inabidi upate cheti cha huku huku na ujue lugha. Huku malipo yako poa na mfanyakazi unalindwa sana. Kwa kumalizia mimi naona ukishafanya kazi kwa miaka mitano ukawa na experience ya kutosha kwenye field yako Bora urudi Bongo. Maana kama una mtaji unaweza hata ukaanzisha biashara yako.
Paka mzinziπ€£ππ.Wabongo wa Marekani wamechoka zaidi ya Paka Mzinzi,sasa umkope tena si ndo utamuua kabisa!
Pesa kidogo tu ya kunywea bia hawana,hiyo ya kukopwa watatoa wapi?
Mkuu aliyesema najivunia Tanzania nan?Huyo TUKANA UONE Ni mshamba mmoja ambaye anatafuta public sympathy
Mtu unaishi Sehemu mbovu iliojaa masikini 80% then unasema unaenjoy WTF sehemu kama Tz sio Sehemu yakujivunia
Ok !,Kwenye hizo Takwimu wewe ulichangia kiasi gani?Tanzanians in the diaspora remit Sh2.5 trillion in 2022
There is a total of 1.5 million Tanzanians in the diaspora who sent home $1.1 billion (about Sh2.5 trillion) last year, the Parliament was informed yesterday.www.thecitizen.co.tz
Tumia muda kujielimisha wewe ngumbaru unayefikiri humu ndani kila mtu ni mjinga kama wewe.
Nimekuwekea hapo article usome na sina hakika kama hata utaelewa, maana kama bimmer yenyewe unaita bima
Just a quack in the making.
Unajua kujifurahisha sana Bi dada, sikujui, ila ni beyond reasonable doubt, kwa kutumia maandishi yako tu, hujawahi kwenda huko unakokutaja, wala huna kupato cha kukufanya utibiwe Sweden, take a break.Uk, China, Ethiopia,German,Danmark,Norway,Sweden, Spain, Netherland,Gambia,Ghana,Nigeria,India,Mexico,Thailand,Turkey,Nepal na mwakani Mungu akijalia nitaenda Ivory Coast.
Ni kweli Tanzania ni nchi masikini yenye kero nyingi likiwemo hilo la umeme ila mimi,narudia MIMI napenda kuishi Tanzania huko kwingine kunafurahisha kwenda kutembea then narudi zangu home sweet home Tz.
Yrust me hakuna mtu yeyote mwenye maisha yake bongo ataenda kuishi huko maulaya na Us.
Hivi unafikiri tatizo la umeme linamuathiri kila mtu aliyeko Tz?Hivi unafikiri kila mtu aliyeko TZ anatibiwa TZ?
Mimi nikipata gonjwa kubwa nitakimbilia kutibiwa Sweden.
Tz ni jehanamu kama unaishi chini ya dola moja ila ukiwa na kakipato kazuri ka kawaida tu kuishi Tz ni raha.
Sidhani kaka una akili timamu!Kiranga ona hii akili sasa, kusikia unamiliki garage ambayo ni zaidi ya nyumba yake akili ya kitanzania imemtuma ni zile garage anazoona mitaani, trust me watanzania wana wadudu kichwani [emoji1787][emoji1787]
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Na kwanini mtu atoke nje aje awape wao msaada? Wamefanyaje? Huyo ni individual sio shirika la misaada!Kwani nyie omba omba mpka mpewe misaada? Wabongo mna vituko sana
Mkuu usiwazingatie mademu wa JF tushawazoea wengi wapo depressed na singo maza wapo buzaUnajua kujifurahisha sana Bi dada, sikujui, ila ni beyond reasonable doubt, kwa kutumia maandishi yako tu, hujawahi kwenda huko unakokutaja, wala huna kupato cha kukufanya utibiwe Sweden, take a break.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Wasiokuwa na uhakika wa Kula uenda wakawa ndugu zako mkuu!Tz ni nchi ya hovyo Sana kwa kila kitu sehemu ambayo Kuna 80% ya watu hawana uhakika wa kula then huwezi ku Entertain chochote.
Nyie wanawake wa mitandaoni mnapenda attention Sana kwa huu mwandiko wako we sijui Kama umewahi hata kufika kenyaNina ndugu yangu anaishi German huwa anaongea kama wewe na huwa ananishangaa ninachoipensea Tz.Tena kasema akifa azikwe huko huko.Namuelewa na wewe nakuelewa ila na mimi naomba nieleweke kuwa kwa upande wangu sina pengine duniani napenda kuishi zaidi ya Tz.
Maisha popote na wote hatuwezi kupenda kitu kimoja.Kuna tunaoipenda TZ na tunajiona tunaishi vizuri kuliko wa mamtoni na kuna wa mamtoni wanatuona wala vumbi
Mkuu mimi namiliki nyumba 1 ya gharama,Nina kiwanja sijakijenga,nina gari 2,nina maisha mazuri!Nyie matajiri wa mbao tu πππ utajiri wenu wakisenge Sana mnatamba mbao mpo depressed
Wabongo wanapenda kuomba omba hela Sasa ukimnyima Hasira, chuki, wivu anakimbilia mitandaoni kutafuta Huruma Kama mtoa Mada.Na kwanini mtu atoke nje aje awape wao msaada? Wamefanyaje? Huyo ni individual sio shirika la misaada!
Watz sisi πππ