Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wewe unaendesha gari gani?

Umewahi kumiliki Gari?

Unadhani kwakuwa ndugu zako wanamiliki mitumba(Kuanzia chupi hadi magari) basi unadhani watu wote nchini Tanzania wanamiliki mitumba?

Kama nimejenga Nyumba ya Milioni 280 Salasala unadhani nashindwa kununua gari mpya milioni 100?
Jifurahishe tu
 
Uk, China, Ethiopia,German,Danmark,Norway,Sweden, Spain, Netherland,Gambia,Ghana,Nigeria,India,Mexico,Thailand,Turkey,Nepal na mwakani Mungu akijalia nitaenda Ivory Coast.

Ni kweli Tanzania ni nchi masikini yenye kero nyingi likiwemo hilo la umeme ila mimi,narudia MIMI napenda kuishi Tanzania huko kwingine kunafurahisha kwenda kutembea then narudi zangu home sweet home Tz.

Yrust me hakuna mtu yeyote mwenye maisha yake bongo ataenda kuishi huko maulaya na Us.
Hivi unafikiri tatizo la umeme linamuathiri kila mtu aliyeko Tz?Hivi unafikiri kila mtu aliyeko TZ anatibiwa TZ?
Mimi nikipata gonjwa kubwa nitakimbilia kutibiwa Sweden.

Tz ni jehanamu kama unaishi chini ya dola moja ila ukiwa na kakipato kazuri ka kawaida tu kuishi Tz ni raha.
Tz ni nchi ya hovyo Sana kwa kila kitu sehemu ambayo Kuna 80% ya watu hawana uhakika wa kula then huwezi ku Entertain chochote.
 
Marekani ukiwa na Gereji ya Magari bila shaka wewe utakuwa Makenika,unaenda kuzoa majararani magari mabovu yaliyotupwa unakuja kuyaripea unauza ili upate chochote!.


Aisee kama hiyo ndiyo kazi inayokuweka huko basi bado unasafari ndefu ya mafanikio
Kiranga ona hii akili sasa, kusikia unamiliki garage ambayo ni zaidi ya nyumba yake akili ya kitanzania imemtuma ni zile garage anazoona mitaani, trust me watanzania wana wadudu kichwani [emoji1787][emoji1787]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Kijana subiri kwanza nipate msosi ndo uje unieleze takwimu zako za kiuongo na kweli !

Tumia muda kujielimisha wewe ngumbaru unayefikiri humu ndani kila mtu ni mjinga kama wewe.

Nimekuwekea hapo article usome na sina hakika kama hata utaelewa, maana kama bimmer yenyewe unaita bima

Just a quack in the making.
 
Kwa hali ilivyo sasa kutoboa Marekani ni vigumu sana. Haki za mfanyakazi ni ndogo na pia mfumo wa bima ya afya ni mbovu. Ujerumani ni nchi nzuri sana lakini mpaka uje ujiseti inabidi upate cheti cha huku huku na ujue lugha. Huku malipo yako poa na mfanyakazi unalindwa sana. Kwa kumalizia mimi naona ukishafanya kazi kwa miaka mitano ukawa na experience ya kutosha kwenye field yako Bora urudi Bongo. Maana kama una mtaji unaweza hata ukaanzisha biashara yako.
Ukirudi Bongo na uzoefu wa 5 years unapata kazi kubwa kutokana na exposure yako practically unakuwa upo mazingira tofauti kabisa you will meet people who can not deliver with a lot of excuses.
 
Huyo TUKANA UONE Ni mshamba mmoja ambaye anatafuta public sympathy

Mtu unaishi Sehemu mbovu iliojaa masikini 80% then unasema unaenjoy WTF sehemu kama Tz sio Sehemu yakujivunia
Mkuu aliyesema najivunia Tanzania nan?

Ok!,Mimi naishi sehemu mbovu ya Tanzania lakini nakuzidi kila kitu,wewe unachonizidi ni huo Udocta Uchwara pamoja na Umri tu lakini ki mafanikio utasubiri sana!
 

Tumia muda kujielimisha wewe ngumbaru unayefikiri humu ndani kila mtu ni mjinga kama wewe.

Nimekuwekea hapo article usome na sina hakika kama hata utaelewa, maana kama bimmer yenyewe unaita bima

Just a quack in the making.
Ok !,Kwenye hizo Takwimu wewe ulichangia kiasi gani?

Yaani unaleta takwimu za kisiasa kwa watu wenye utimamu wa akili kama mimi unadhani nitakuelewa?

Tuachane na hizo takwimu Uchwara Sorongai wewe!,Wewe kama wewe una nini cha kujivunia Tanzania?
 
Uk, China, Ethiopia,German,Danmark,Norway,Sweden, Spain, Netherland,Gambia,Ghana,Nigeria,India,Mexico,Thailand,Turkey,Nepal na mwakani Mungu akijalia nitaenda Ivory Coast.

Ni kweli Tanzania ni nchi masikini yenye kero nyingi likiwemo hilo la umeme ila mimi,narudia MIMI napenda kuishi Tanzania huko kwingine kunafurahisha kwenda kutembea then narudi zangu home sweet home Tz.

Yrust me hakuna mtu yeyote mwenye maisha yake bongo ataenda kuishi huko maulaya na Us.
Hivi unafikiri tatizo la umeme linamuathiri kila mtu aliyeko Tz?Hivi unafikiri kila mtu aliyeko TZ anatibiwa TZ?
Mimi nikipata gonjwa kubwa nitakimbilia kutibiwa Sweden.

Tz ni jehanamu kama unaishi chini ya dola moja ila ukiwa na kakipato kazuri ka kawaida tu kuishi Tz ni raha.
Unajua kujifurahisha sana Bi dada, sikujui, ila ni beyond reasonable doubt, kwa kutumia maandishi yako tu, hujawahi kwenda huko unakokutaja, wala huna kupato cha kukufanya utibiwe Sweden, take a break.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Kiranga ona hii akili sasa, kusikia unamiliki garage ambayo ni zaidi ya nyumba yake akili ya kitanzania imemtuma ni zile garage anazoona mitaani, trust me watanzania wana wadudu kichwani [emoji1787][emoji1787]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Sidhani kaka una akili timamu!

Hivi unadhani Marekani sijawahi kuishi?,Utamdanganya nani hizo anazomiliki ni Garage?,Yaani aokote magari chakavu yaliyotupwa dampo halafu Uite gereji?

Mwambie apige picha awake hapa kama kweli ni gereji?
 
Unajua kujifurahisha sana Bi dada, sikujui, ila ni beyond reasonable doubt, kwa kutumia maandishi yako tu, hujawahi kwenda huko unakokutaja, wala huna kupato cha kukufanya utibiwe Sweden, take a break.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Mkuu usiwazingatie mademu wa JF tushawazoea wengi wapo depressed na singo maza wapo buza
 
Tz ni nchi ya hovyo Sana kwa kila kitu sehemu ambayo Kuna 80% ya watu hawana uhakika wa kula then huwezi ku Entertain chochote.
Wasiokuwa na uhakika wa Kula uenda wakawa ndugu zako mkuu!

Wewe jamaa unachuki sana kama watu wa Huko Musoma au Ukerewe,huwa mnawivu sana kama wachawi!
 
Nina ndugu yangu anaishi German huwa anaongea kama wewe na huwa ananishangaa ninachoipensea Tz.Tena kasema akifa azikwe huko huko.Namuelewa na wewe nakuelewa ila na mimi naomba nieleweke kuwa kwa upande wangu sina pengine duniani napenda kuishi zaidi ya Tz.
Maisha popote na wote hatuwezi kupenda kitu kimoja.Kuna tunaoipenda TZ na tunajiona tunaishi vizuri kuliko wa mamtoni na kuna wa mamtoni wanatuona wala vumbi
Nyie wanawake wa mitandaoni mnapenda attention Sana kwa huu mwandiko wako we sijui Kama umewahi hata kufika kenya
 
Back
Top Bottom