Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 369
Juzi hivi niliiiona post yako ukitafuta IST iliyotumika ya kukodi ili iwe inakurahisishia usafiri wa home kwenda job. Mara hii una BMW Mkuu? Au ndio tuseme cocoa imezidi kwenye chai?😂Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!
hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Watu wanazunguka sana, kafungua uzi lengo lake awatangazie watu kuwa anamiliki Bimmer😃Tanzanians in the diaspora remit Sh2.5 trillion in 2022
There is a total of 1.5 million Tanzanians in the diaspora who sent home $1.1 billion (about Sh2.5 trillion) last year, the Parliament was informed yesterday.www.thecitizen.co.tz
Tumia muda kujielimisha wewe ngumbaru unayefikiri humu ndani kila mtu ni mjinga kama wewe.
Nimekuwekea hapo article usome na sina hakika kama hata utaelewa, maana kama bimmer yenyewe unaita bima
Just a quack in the making.
Daaaah we jamaa una madongo!!! hahahaaHizo hela ukiombwa unazo?
Bora hata ungekuwa nazo,kula yenyewe nikwa bajeti,kuvaa yenyewe unavaa kizamani kama kina Kanda Bongoman halafu unaleta Blah blah!
Dada watumie na ticket hawakujui hawa km wewe ni level nyingine, hawatakiwi kukugusa 😂😂😂
Hakujui km wewe raisi wa Buza, kwa lulenge mpk kwa mparange kote umejaza yard ndinga zimepaki za kushato 😂😂😂Acha dharau utafanya nifanye mambo ya ajabu hapa mkuu🤣😂😂.
We si unq dharau?!!Onyesha gari unaendea kubeba box then nikuoneshe machine zilizopaki kwa parking lot yangu iliyoko Buza😂🤣🤣.
Iam sure unaendesha kigari cha kike,mwenzio niko kwa mama Samia nasukuma tough machinez za kiume🤣😂.
Onyesha kigari chako uone magari dherue zikuishe😂🤣🤣
sio kweli au huyo jamaa atakuwa alikuwa akiishi na student visa 30 kama lemutuz so sio rahisi kutoboa, lakini ukiwa na green card basi uvivu wako tuu ndo utakufelishaTena alikuwa analaani na kujilaumu kwa kuendelea kupoteza muda Marekani wakati huo wana tunaendelea ku-roll na Mandinga Makali!
Heheheeee kivumbi leo!Acha dharau utafanya nifanye mambo ya ajabu hapa mkuu[emoji1787][emoji23][emoji23].
We si unq dharau?!!Onyesha gari unaendea kubeba box then nikuoneshe machine zilizopaki kwa parking lot yangu iliyoko Buza[emoji23][emoji1787][emoji1787].
Iam sure unaendesha kigari cha kike,mwenzio niko kwa mama Samia nasukuma tough machinez za kiume[emoji1787][emoji23].
Onyesha kigari chako uone magari dherue zikuishe[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Garage Marekani ni sehemu mtu anahifadhi ndinga zake na vifaa nyumbani kwake .Sidhani kaka una akili timamu!
Hivi unadhani Marekani sijawahi kuishi?,Utamdanganya nani hizo anazomiliki ni Garage?,Yaani aokote magari chakavu yaliyotupwa dampo halafu Uite gereji?
Mwambie apige picha awake hapa kama kweli ni gereji?
Mkuu IST nipeleke wapi?,Hizo ni gari zenu nyie mnaotoka vyuoni lakini kina sie tunaopenda kufanya utalii wa ndani,hizo hazinifai!.Juzi hivi niliiiona post yako ukitafuta IST iliyotumika ya kukodi ili iwe inakurahisishia usafiri wa home kwenda job. Mara hii una BMW Mkuu? Au ndio tuseme cocoa imezidi kwenye chai?😂
Shem hebu nitumie laki hawakujui km wewe pedezee Jack Pemba 😂😂😂😂Hizo hela ukiombwa unazo?
Bora hata ungekuwa nazo,kula yenyewe nikwa bajeti,kuvaa yenyewe unavaa kizamani kama kina Kanda Bongoman halafu unaleta Blah blah!
🤣😂😂Dada watumie na ticket hawakujui hawa km wewe ni level nyingine, hawatakiwi kukugusa 😂😂😂
Mkuu akikuonyesha utanitumia namba yako nikutumie laki 2 ya Vocha!Acha dharau utafanya nifanye mambo ya ajabu hapa mkuu🤣😂😂.
We si unq dharau?!!Onyesha gari unaendea kubeba box then nikuoneshe machine zilizopaki kwa parking lot yangu iliyoko Buza😂🤣🤣.
Iam sure unaendesha kigari cha kike,mwenzio niko kwa mama Samia nasukuma tough machinez za kiume🤣😂.
Onyesha kigari chako uone magari dherue zikuishe😂🤣🤣
hivi huyu si ndo alituambiaga humu alimdangia professor akaambukizwa ukimwi na yeye akaja waambukiza watu humu jf, iyo siku kivumbi kiliwaka humu 🤣🤣🤣Hakujui km wewe raisi wa Buza, kwa lulenge mpk kwa mparange kote umejaza yard ndinga zimepaki za kushato 😂😂😂
Mshikaji ana Green Card mkuusio kweli au huyo jamaa atakuwa alikuwa akiishi na student visa 30 kama lemutuz so sio rahisi kutoboa, lakini ukiwa na green card basi uvivu wako tuu ndo utakufelisha
Shemeji ongeza sauti huku nyuma hawajasikia 🤣🤣🤣🤣Zaidi ya Udokta feki hakuna cha ziada unachomiliki!
Huko hakuna cha maana unachofanya zaidi ya kila muda kushinda mitandaoni ili angalau upoteze mawazo maana umechakaa kiasi kwamba hata vibibi havikutaki!
UMeona eeh huyu ana hasira zake tu za maishaBaada ya kunyimwa mzinga madongo tayari
Mwambie Kiranga anunue gari mpya mkuu aache kuokota okota magari ya majararani,siyo mazuri kwa afya!Garage Marekani ni sehemu mtu anahifadhi ndinga zake na vifaa nyumbani kwake .
Garage si lazima iwe gereji hizi za kwenda kufanya repair za kitaa huku Bongo .
Ninaweza kujenga mjengo wangu halafu nikaweka section ya jengo humo ndinga zangu zinapark na kuhifadhi vifaa vingine ,hiyo ndio garage aliyomaanisha Kiranga nadhani .
Na ndio muktadha ambao wamarekani wengi wanatumia mara kwa mara .
😂😂😂😂 we kweli??hivi huyu si ndo alituambiaga humu alimdangia professor akaambukizwa ukimwi na yeye akaja waambukiza watu humu jf, iyo siku kivumbi kiliwaka humu 🤣🤣🤣