Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

280 million mbona unanishusha?

Kibanda cha kupaki magari yangu kimezidi hapo.

Unanitazama kwa woga nini?

Siku nyingine ukinitag hakikisha kuna mambo ya muhimu.

Usinitag kwenye nyuzi zenu hizi za maneno ya shombo, umbea
na udaku wa watu waliokosa viza za kuja Marekani hata kutembea wanatupigia dua za kuku ambazo hazimpati mwewe.

Hakuna cha maana tutakachoongea.

Ukirudia tena nakuunga ignore list hapohapo, sitaki umbea.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ TUKANA UONE shemeji eti una nyege ya mgao wa Tanesco sababu unauza barafu biashara imesimama πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Huyo anawaza kodi inaelekea kuisha!,Mwambie tumsaidie kulipa kodi asije tupiwa virago akarudi Bongo!
 
Kwanza ulipata mme ??




Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Huyu dogo huenda ana rafiki Marekani kaja Tanzania na kutaka kumkopa hela kwa lengo la kutomlipa, kanyimwa na sasa amekasirika ameamua kumchafua rafikiye.

Sasa mkuu umetoka US na madolari unashindwa kuwapa masela wako hata dola 50 ,50? Mbona hata hapa wapo watu wanaroho nzuri tu wanatoa pesa kwa marafiki zao wasiojiweza? Mimi kama nina mpunga natoa tu yaani dolar 100 kumpa mtu siwezi kuumiza kichwa wakati naingiza(siyo mimi nazungumzia mtu wa US aliyekuja TZ) 35m per month huko US.
 
Nimempeleka ignore list huyo zumbukuku naona hatuwezi kuelewana.

I haven't got the words for him, I might as well be writing in ancient Greek.

Na kwa wote wanaopenda kuni tag, please do not tag me into some bullshit thread like this one.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we kweli??
Kumbe na ngoma zimo humu?? Nikajua UTI sugu tyuuu!!!
Haya dj mlete sisy Pridah atuambie dawa anaendelea kutumia au kaacha?!!!! πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
Kivumbi leo πŸ˜„
 
Oyooooooooo!!! Tajiri kaongea sasa!!!
TUKANA UONE kumbe thamani ya nyumba yako ya madale ya 280millions Kiranga anahifadhia mbwa wake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Una lolote la kuongezea tajiri??
Hapa leo tuna matajiri wawili
Kiranga vs TUKANA UONE
Mpambano mkareee kweri kweri wadau mna maoni yoyote??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo Kiranga anachomiliki ni Mikweche ya kusasambua majararani!
 
Achana huyo lofa hiyo ndio mitanzania Ina dharau Kwa kuwa inamiliki mikweche ya kijapan ni kiwanja cha miguu kumi Kwa kumi Kigamboni au Namtumbo

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Straight to ignore list.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.

Next.
Tajiri usimu ignore muonyeshe utajiri wako ili atulie aache wenge bhana, ataona unamuogopa we mtu mzito bhana!!!
Matajiri hawa ignore mafukara ni unawadunga sindano za moto eeee tajiri hebu mtoe kwenye list umuonyeshe madon wa NYC mnavyoishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Humu kila mtu tajiri[emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Unataka na wewe nikuunganishe huko ignore list?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…