Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Nchi yoyote ukienda bila ya makaratasi utateseka, lakini watu naowafahamu walioenda marekani they are doing very good , ukiacha wachache ambao labda kwa namna moja au nyingine hawana discipline na huwezi kulinganisha mtu wa scandinavia na usa kwa kipato , marekani wapo juu kwenye malipo na living standards
Okay ila nijuavyo Sweden ina high living standard.Ukiwa na pepa hata ukiwa jobless unalipwa kila mwezi na kodi ya nyumba unalipiwa.
Kuna wakati Sweden ilikua nchi ya kwanza duniani yenye almost zero numbers ya vifo vya watoto wachanga.

Sweden waroto kila mtoto analipwa hadi 18 yrs.
Sweden wananchi wote,masikini na tajiri wanapata huduma za kijamii sawa na bure.Mtoto wa boss na wa jobless wako shule moja.
 
Kuna msemo , Work in $ spend in TSH
Kama utafanya kazi US au Scandinavian na una spend huko huko basi jua ukistaafu na hiyo pesheni Yako ukijanayo bongo sawa ni vijihela flani lakini lazima unauwezo wa kuishi maisha ya kawaida.
Ila kama wewe ni mbeba box na huna mafao ya uzeeni basi kile unachopata spend in THS Kwa kuwekeza ktk assets flani zikufae uzeeni ukirudi.
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Una tatizo la kuchanganya mambo mengi kwa wakati mmoja.Hebu kaangalie vizuri taarifa zako:-
1-Nchi gani zenye uchumi Mkubwa/big economies.
2-Nchi zenye viwango bora vya maisha duniani.
3-Nchi zenye pato kubwa kwa mtu mmojammoja.
Halafu urudi hapa kutusabahi haujagombana na mtu.
 
Naendelea kusoma comments tu wameshafika 10.....
Screenshot_20231015-170446.png
 
We jamaa mshari sana! Wenzako wanaongea kwa fact! Sehemu huijui! Hujawahi kufika! Hali ya kiuchumi, fedha, tamaduni na maisha mengine huijui zaidi ya kusoma na kusikia alafu unaambiwa unaleta matusi... ukubwa huambatana na ustaarab, hekma na busara.

Eti nauli za kuja zinawashinda... HAHAHA! dahh!... kweli nauamini ule msemo usemao "Usikizungumze usicho na elimu wala ujuzi nacho"

Hupajui Marekani wala Canada, kaa kimya wacha kelele... jidanganye hivyohivyo walio huko hawana hela na wana maisha magumu 😀
Soma thread acha porojo mwana usinge
 
Una tatizo la kuchanganya mambo mengi kwa wakati mmoja.Hebu kaangalie vizuri taarifa zako:-
1-Nchi gani zenye uchumi Mkubwa/big economies.
2-Nchi zenye viwango bora vya maisha duniani.
3-Nchi zenye pato kubwa kwa mtu mmojammoja.
Halafu urudi hapa kutusabahi haujagombana na mtu.
Hivi Uzi mnausoma lakini au mnataka tu kuja kukomenti muonekani?

Nani amezungumia masuala ya Uchumi baina ya nchi na nchi?

HOJA

Ni kwanini Wabongo wengi wanaoishi Marekani,Canada na Uk wanamaisha Magumu ukilinganisha na wenzao wa Scandinavian pamoja na Germany

Hiyo ndiyo hoja lakini siyo ulichoandika wewe
 
Hivi Uzi mnausoma lakini au mnataka tu kuja kukomenti muonekani?

Nani amezungumia masuala ya Uchumi baina ya nchi na nchi?

HOJA

Ni kwanini Wabongo wengi wanaoishi Marekani,Canada na Uk wanamaisha Magumu ukilinganisha na wenzao wa Scandinavian pamoja na Germany

Hiyo ndiyo hoja lakini siyo ulichoandika wewe
Ungeelewa nilichokijibu kwa kutoka ndani ya boksi ulilojifungia ungezuga kwa hata kujidai haujaona nilichokiandika.
 
Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Samahani ndugu madwari, naona umenitaja jina hapo... ila mimi sikuwa nakula maraha kishamba namna hiyo na kuvuta maunga, ila watoto wa kitasha tu niliwabandua... na bado nawabandua sana! Sikumbuki lini nimemla demu mweusi.

Labda msomali 😋🤤
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Sure, life limebana mpaka tunaokoteza buku buku
 
Samahani ndugu madwari, naona umenitaja jina hapo... ila mimi sikuwa nakula maraha kishamba namna hiyo na kuvuta maunga, ila watoto wa kitasha tu niliwabandua... na bado nawabandua sana! Sikumbuki lini nimemla demu mweusi.

Labda msomali 😋🤤
Hivi ni kweli huko Kwa watasha mnakula vibibi TU au single mothers.
Lakini SI pisi zile Kali .
 
Mim nilibahatika kukaa California-san Diego & Los Angeles ,huko Hadi wamarekani Wenyewe wanapakimbia Kwa gharama ya maisha ,pamoja na degree yangu kazi niliyofanya ni kuwaosha wazee wasiojiweza wenye umri mkubwa ikiwemo kuwatawaza ,kuwabadilisha nguo etc hizo kazi zinalipa sana aisee pia kufanya kazi kwenye ranch Moja iv...

Nchi za wenzetu Unakuta chumba kimoja ni Dola 1000$ Kwa mwezi hiyo hela ambayo Kwa tz ni millio 2 na ushee Sasa kama unakuta mpenda sifa anakodi vyumba vitatu Kodi zaidi ya 3500$ Kwa mwezi Sasa hapo Bado bills zingine etc ..kama una malengo na Tanzania Inabidi ghetto lako liwe na kitanda na vitu vichache Sana kuepuka unnecessary cost..kula Bata Kwa mahesabu Kila unachopata pigia calculation ya kuwekeza Tanzania,kule utaishi maisha magumu lakini Kwa kuwekeza huku tz utajikuta huku unakuwa tajiri hata kuweza kufungua pub ,guest house na hata kumiliki viwanja

Wengi wanajisahau sana na ndomana wakirudi wanakuwa wamepigika sana , kiukweli wengi wanarudi tz wanaona aibu hata kusema kama wamekuja kutoka marekani...maisha ukiwa na nidhamu nayo unatoboa ,mim nawakubali sana wanigeria wao wako makini sana aisee japo nao ndo kuaminika ni shida ..
 
Wewe upeo wako wa kupambanua mambo ni mdogo. Na unaweza kukuta hilo BMW ni haya mamitumba waliyoendesha wajapani au waarabu wakayachoka na wewe ukaletewa. Watu wakijibina hapo Bongo wewe utawapa ajira? Tatizo lako unadhani ni kila anayekwenda Marekani anafanikiwa.
🤣🤣🤣🤣 Ha ha ha
Shemeji Tukana BMW lako eti la mtumba umenunua likiwa linasoma km 200,000
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
100% True
 
Samahani ndugu madwari, naona umenitaja jina hapo... ila mimi sikuwa nakula maraha kishamba namna hiyo na kuvuta maunga, ila watoto wa kitasha tu niliwabandua... na bado nawabandua sana! Sikumbuki lini nimemla demu mweusi.

Labda msomali 😋🤤
Yaani ndugu starehe nilizoziona Berlin nikamuomba Mungu aniepushie. Maana hali ilikuwa hatare sijui ni upweke au ni nini. Nikiri kuwa japo sikutumia mihadarati kwenye kumbatona huko ni mwisho aisee. Kama club za Berghain na KitKat yaani kumbatona nje nje. Ni ka exposure fulaniflani nilienjoy sana. Wazungu sio wachoyo wanajua club wamekuja kufanya nini 😂😂
 
Back
Top Bottom