Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Hawa wanaosema wanaweza kufanya kwa mteja akasikiliza simu WhatsApp call, kupata sms etc za mtu mwingine... Hii Ni kweli??
 
Kaka umechafukwa nyongo😂😂 CCNP wa mchongo mimi nilieamua kuvamia Cyber sec kama Analyst ila nilikutana na diversity ya knowledge base niliyoambiwa niwe nayo nikaona ulofa huu.

Twende kwenye uzi wetu wa mishangazi kule
 
Kaka umechafukwa nyongo😂😂 CCNP wa mchongo mimi nilieamua kuvamia Cyber sec kama Analyst ila nilikutana na diversity ya knowledge base niliyoambiwa niwe nayo nikaona ulofa huu.

Twende kwenye uzi wetu wa mishangazi kule
Katika maisha tafuta waliofanikiwa na kujifunza kutoka kwao. Na suijizibie fursa kwa dharau au kuhisi unajua kila kitu
 
Hii ishu mwenyewe naijua..... Tena alikuwa ameshakomba mpunga wa kutosha
 
Kaka umechafukwa nyongo😂😂 CCNP wa mchongo mimi nilieamua kuvamia Cyber sec kama Analyst ila nilikutana na diversity ya knowledge base niliyoambiwa niwe nayo nikaona ulofa huu.

Twende kwenye uzi wetu wa mishangazi kule
Unafki mbaya sana, ona aibu amalume. Sasa ulipataje scholarship ya kwenda ulipoenda na kisha kusomeshwa na taasisi nyeti ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…