Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Hao wanawake wajinga wasipokuwa makini sasa wanaenda kuwa maadui wa taifa, hizo kodi za watanzania wanazokula bure huko bungeni wanajitafutia laana.
Mkuu Taifa gani Hilo ambalo liko tayari kumchukia mtu anayepigania haki yake??sehemu pekee ambako tunaamini Kuna haki ni mahakamani.
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.

Kwa huu msimamo chadema imejiweka pazuri Sana, mengine ni mahangaiko tu ya covid 19
 
Ww na Halima Mdee ni wanasheria wa nadharia hamjawahi kufanya shughuli yoyote ya kisheria nje ya kile mlichokariri mlipokuwa mnasoma. Mahakama ni chombo cha kutoa haki, hivyo ndio inavyotakiwa iwe, lakini sio ilivyo, na katiba ya cdm ina utaratibu kama ilivyo shughuli za soka ambazo hazipelekwi mahakamani. Ila hata kama katiba ya cdm ingekuwa inataja kwenda mahakamani, bado mahakamani zetu zimethibitika sio sehemu unayoweza kutarajia kupata haki hasa unapokuwa mpinzani.

Haya tuna ushahidi nayo, na aina ya hukumu zilizotolewa kwa kutii maagizo ya viongozi waandamizi wa ccm kwa kofia zao za serikalini. Ni mwendawazimu tu anaweza kuamini kupata haki kwenye mahakama zetu, hasa unapokuwa mpinzani tena kwa kesi inayoihusha serikali na makandokando yake. Isitoshe mahakama zetu ni sehemu unayoweza kuona bila kupata shaka udhaifu wa utendaji wa taasisi zetu za umma. Nenda magereza kulivyojaa watu wenye kesi zilizoshindwa kuamuliwa kwa haki. Kwahiyo itaje mahakama kama sehemu ya kubeba frustration zako, lakini sio sehemu yenye weledi kama unavyohubiri hapa.
Mhimili wa mahakama katika nchi yetu ni kama haupo kabisa.
 
Njaa mbaya sana, mfumo ushawatema lakini hawaelewi
 
Yaani wewe uwe na akili kuliko mawakili wa Chadema , huku hujawahi kusimamia hata kesi ya mwizi wa mapera shambani !
Kuna popote nimesema mimi kuwa nina akili kuliko mawakili wa Chadema?. Kusoma sheria sio kuwa Wakili. Kuna wanasheria kibao very bright and brilliant na hawasimami mahakamani!.

The best wa sheria Chadema ni Tundu Lissu, nimemtangulia miaka 2 pale Ilboru. LL.B yangu ni ya UDSM and it's (Hons)!. Sio kila aliyesoma sheria anafanya litigations.

Not always the best runners win the race, or the best fighters win the fight,
this time around, Chadema inakwenda kushikishwa adabu!. Haiwekani kila siku ifanye uhuni iachwe hivi hivi!. Mdee ni Kisiki cha mpingo!.
P
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Wanabodi,

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.
  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Hua nashindwa kuelewa hv Tz mtu ukiwa kiongoz akili hua zinaenda wapi?Mbowe hapo kachemsha na cdm nzima ,wanajua kabisa hao wabunge hawawez kutolewa,wao wangewasamehe afu wajipange 2025 waachane nao,
 
Safi sana tuli miss vituko vya mahakamani dah utamu unarudi huu ndugai atapanda siyo kizimbani,raha sana
Habari za mfumuko wa bei na kupanda kwa bei ya mafuta Tupilia kwa mbalii !!! Ngoja tuanze kwenda mahakamani tuone nini kitajiri huko !! Hamisha magoli Hamisha magoli !!! Tuuone mpambano !!
 
Ndiyo Upuuzi Badala Wawatoe Tu Maana Speaker Tayari Ana Barua
 
Labda wanaona kwa sababu wapo kwenye msukumo wa watawala basi sheria kwao si kitu.
People are buying time !! Inaitwa delaying tactics !! Siku zinaenda maisha yanasonga mbele !! Kuja kutahamaki 2025 hiyooo !!! Sheria na Sihasa ni kama mchezo wa Draft usipopiga hesabu zako vizuri unakwenda na maji !!!
 
Ww na Halima Mdee ni wanasheria wa nadharia hamjawahi kufanya shughuli yoyote ya kisheria nje ya kile mlichokariri mlipokuwa mnasoma. Mahakama ni chombo cha kutoa haki, hivyo ndio inavyotakiwa iwe, lakini sio ilivyo, na katiba ya cdm ina utaratibu kama ilivyo shughuli za soka ambazo hazipelekwi mahakamani. Ila hata kama katiba ya cdm ingekuwa inataja kwenda mahakamani, bado mahakamani zetu zimethibitika sio sehemu unayoweza kutarajia kupata haki hasa unapokuwa mpinzani.

Haya tuna ushahidi nayo, na aina ya hukumu zilizotolewa kwa kutii maagizo ya viongozi waandamizi wa ccm kwa kofia zao za serikalini. Ni mwendawazimu tu anaweza kuamini kupata haki kwenye mahakama zetu, hasa unapokuwa mpinzani tena kwa kesi inayoihusha serikali na makandokando yake. Isitoshe mahakama zetu ni sehemu unayoweza kuona bila kupata shaka udhaifu wa utendaji wa taasisi zetu za umma. Nenda magereza kulivyojaa watu wenye kesi zilizoshindwa kuamuliwa kwa haki. Kwahiyo itaje mahakama kama sehemu ya kubeba frustration zako, lakini sio sehemu yenye weledi kama unavyohubiri hapa.
  1. Mkuu Tindo, kwanza nikupongeze kwa your objectivity kwenye kulijadili hili, ni kweli nimesoma sheria na sijawahi kukanyaga mahakamani.
  2. Kwa vile mahakama ndio the statutory body ya kutoa haki Tanzania, kwa mujibu wa katiba, Chadema walipofanya yale mabadiliko ya Katiba ya 2006, na kukichomekea kifungu kinachokwenda kinyume cha katiba ya JMT, kiukweli kabisa there was an oversight ofisi ya msajili, katiba hiyo ilipaswa ikataliwe!.
  3. Mwana Chadema anapotendewa ndivyo sivyo na chama chake, aende wapi kuipata haki yake?.
  4. kule nyuma nilishauri mahali CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  5. Wanabodi,

    Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

    Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.
    1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
    2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
    3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
    4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
    5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
    6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
    7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
    8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.Jibu litapatikana on Monday.
  • This is my own recollection.
    P.
 
Kwa hiyo na wewe P ni muumini wa ubadhirifu wa mali za umma?
Hapana , mimi sii muumini wa ubadhirifu, ni muumini wa fursa, zile nafasi 18 za viti maalum ni fursa, Chadema kama chama walizigomea, kina Halima Mdee wakazichangamkia.
Ni kwa nini sasa Mzee Mdee asihamie tu CCM na kuachana na CHADEMA.Katika hili suala la Mdee kufukuzwa haki imeonekana kutendeka kwa maana alighushi nyaraka na chama chake hakimtambui.Iwapo CCM wanathamini mchango wa MDEE bado ana nafasi ya kupewa ubunge wa kuteuliwa.
Milango iko wazi muda muafaka ukifika watakuja na watapokelewa ila at the moment ni lazima kwanza tushikishane adabu, tusiekeze uhuni!.
P
 
Ni mwendawazimu pekee ambaye anaweza kwenda mahakamani kwaajili ya kugomea kufukuzwa au kusimamishwa uwanachama wa chama cha siasa.

Hakuna mahakama ambayo ina uwezo wa kumrudishia mtu uwanachama. Mamlaka za juu kabisa za uamuzi juu ya uwanachama huwa zipo ndani ya chama husika, siyo mahakamani.
Kipindi cha zitto ulikuwa mdogo sana, pole
 
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Mkuu umemaliza kila kitu, jamaa wasahaulifu sana.
Wamerudia kosa lile lile walilolifanya kwa zitto
 
Hao wanawake wajinga wasipokuwa makini sasa wanaenda kuwa maadui wa taifa, hizo kodi za watanzania wanazokula bure huko bungeni wanajitafutia laana.
Utakuwa wewe ndo Joyce Mukya si kwa hasira hizo
 
Back
Top Bottom