We jamaa ni bonge la SOLVA.Solution ni Makao makuu ya mkoa wa Geita yahamishiwe Chato halafu mkoa wa Geita ubadilishwe jina uitwe CHATO.
Ombi la muombolezaji aitwae Bigambo litakuwa limeshatekelezwa bila ya kuwaathiri Wana KAGERA
Wilaya ya biharamulo ndo maskini zaidi mkoani kagera ...
Biharamulo ni ya pili nchini kwa umaskini huku zaidi ya 60% ya wakazi wake ni maskini kadri ya takwimu.
Ngara ipo top ten ya umaskini nchini zaidi ya 52% ni maskini na ni wilaya ya pili kwa umaskini kagera.
So Bora ziunganishwe na kutengenezewa mkoa wake ili ziangaliwe zaidi
Sasa unachopinga ni nini. Kiburi kipo wapi hapo uliponukuuIla wahaya ni kiburi, nyie....
Nimesoma maneno machache sana hasa hapo kwenye CHIMBUKO LA MKOA MPYA WA CHATO na naomba kunukuu:-
"Chimbuko la kuomba mkoa mpya wa Chato halina mashiko kisiasa, kiuchumi wala kisheria"
Naendelea kunukuu....
"Chimbuko la mkoa wa Chato linatokana na muombolezaji mmoja aitwaye Bigambo wakati wa msiba wa hayati Magufuli."
"Muombolezaji huyo alidai kusikia kwamba Magufuli alitaka Chato uwe mkoa, jambo ambalo halina uthibitisho wowote wa kisiasa"
Mwisho wa kunukuu.
My take:
Yaani hawa jamaa (Wahaya) "wameikataa" kabisa Chato na wakafika mbali zaidi kwa kusema "zilikua ni hasira tu" za kufiwa (za msiba) za bwana Bigambo.
Lakini pia wametanabaisha kwamba alichokisikia bwana Bigambo hakina uthibitisho wowote, kwahiyo huenda Bigambo alikua "anatujaza tu".
Sijapinga mkuu.Sasa unachopinga ni nini. Kiburi kipo wapi hapo uliponukuu
Wawapeleke wapi ndugu zenu[emoji23][emoji23] na wakiondolewa ndo mtakua matajiri ama? Mbona mnajiongopea sana? Kama ni huduma serikali ilitakiwa iwasogezee na siyo kutengeneza mkoa mpya. Hizo ni extra expenses za administration. Ujinga kbs huu. Halag kisa matakwa ya jiwe. Kumbafu kbs. Kila mahali wana haki ya kupata huduma zote. Kila mtu anastahili kupata mahitaji muhimu. Serikali iache ubabaifu. Kuunda mkoa mpya siyo solution. Kama ni huduma wasogezewe. Idiots kbsWatoe hizo wilaya zinauangusha mkoa wa kagera.
Yaan biharamulo 60% wako chini ya dola
Acha wajitenge maana wasubi, wahangaza, nk wamebaguliwa sana na hao akina nshomire......Wana kagera msikubali mnaamishwa chato, huko ni kuharibu historia ya mkoa wenu ilianza kumegwa biharamulo na sasa ngara, kisa interest za kiongozi mubinfasi.
Sio kiburi. Mkoa huu ushatengwa hapo kabla sasa unatengwa tena kisa kuna marehemu alijenga International Airport porini na miundombinu isiyo ya lazima kusiko na uhitaji. Mikoa mikubwa Tanzania hutoweza kuikuta Kagera, kwanini isivunjwe hiyo ili kurahisisha huduma. Kwahiyo kila rais akifa wilaya yake tunaifanya mkoa?Sijapinga mkuu.
Cha msingi ni wamemaanisha kwamba Kagera is not for Charity. Na hii ndio kibri ya kihaya.
1.Kwa hiyo mkoa wa Kagera una wabunge watatu???Wabunge wa Mkoa wa Kagera, Wamepinga kitendo cha kuendelea kuumega Mkoa wa Kagera. Hii imekuja baada ya Kuanzishwa Mchakato wa kufanya Wilaya ya Chato iliyopo Geita kuwa Mkoa.
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule, alisema Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Geita (RCC) ilipendekeza wilaya tano, Chato na Bukombe
Madini na hasa dhahabu inayochimbwa Biharamulo, nk .....wanasiasa huwa wanaangalia matumbo yao tu!1.Kwa hiyo mkoa wa Kagera una wabunge watatu???
2. Lini hao wabunge watatu wakawa wasemaji wa wananchi wa mkoa mzima??
3. Kama vikao vya halmashauri husika za biharamulo na ngara zilipitisha wao wanatoka wapi??
4. Katika madai yao mbona hatuoni hata mbunge mmoja wa hizo wilaya??
5. Unaanzaje kusema biharamulo ndo nguzo ya uchumi wa Kagera wakati ndo wilaya maskini zaidi Tanzania???
6. Unaanzaje kusema eti biharamulo ikiondoka Kagera aanakag
Mkoa ukigawanywa makao makuu yawe Lusahunga ili hizo huduma ziwe karibu na wananchi wote, Chato, Kakonko na Ngara. Kuweka makao makuu Chato ni kuwaonea wengine na mantiki ya kusogeza huduma kwa wananchi inakuwa haipo.Upuuzi tu uliojaa wivu mikoa inagawanywa na kuongezeka kwa lengo la kusogeza na kuharakisha huduma kwa wananchi, wao ni akina nani na kwani nini wapinge, Kagera haina uspecial wowote, ilimegwa Mwanza, Arusha, Shinyanga, Mbeya, Rukwa, Iringa wao ni nani hadi wapinga huu mwendelezo wa kugawa mikoa?
Upopoma wa kindezi kabisa roho ya uchoyo, ubinafsi na kupenda kujiona bora itawaua pumbavu kbsa na mashavu yenu ya senene.
Wapende wasipende Mkoa wa Chato ushaiva kwenye hili Rais Ndugu Madam Hassan asifanye utani na ulegevu wa kuwasikiliza hawa wahaya uchwara.
Ni upumbavu kuwapa fursa ya fitina watu wenye choyo, ubinafsi, wivu kithiri usio na tija na wenye ubaguzi hasa kutopenda kuchangamana na wengine.
Kama mkoa wako ulivyo masikini.Mkoa wa kagera ni maskini in general usiwasingizie hao sijui wasubi na wengine kwa kujiona wahaya ni Bora aisee
Mkuu hebu ziangalie na pesa zilizopotea kwenye mchakato wa katiba mpya,mbona huzioni au ziliokotwa,au zilitoka kwenye mifuko ya watawala?Nimefika Chato. Ile wilaya JPM aliijaza miradi mikubwa sana ya kitaifa.
Uwanja wa ndege.
Miradi kibao ya NHC.
MABANKA MAKUBWA.
IKO MIRADI MINGI SANAAAAAA.
HII MIRADI ISIPOTENGENEZEWA MIKAKATI YA KUITUMIA ITAKUFA NA SERIKALI ITAPATA HASARA.
KUIGEUZA MKOA NI SOLUTION ILIYOPO.
SABABU ZA WAHAYA KUUKATAA MKOA WA RUBONDO ZIMEKAA KIHUNI TU.
Eti,Chato ya nn wakati magu hayupo