Inasemekana kapokea karibu 300 Milioni.Jafo alichukua rushwa kubwa sn
Itakuwa zaidiInasemekana kapokea karibu 300 Milioni.
Bunge likiwa serious,JAFO ANATOLEWA MCHANA KWEUPE.Itakuwa zaidi
Professional Rubbish , mayele anatuona hatuna akili au?Wawajibishwe hao walioinjinia hiyo Professorial rubbish!!!
Jiwe alikuwa mkali lakini akapigwa na kina Osoro, shithole nations tuna safari ndefu sana!!!!!
JESUS IS LORD
Iweee Kaushahidi tupeko Kwa kweeeliJafo alichukua rushwa kubwa sn
Ulitaka ziwe hadharani?Iweee Kaushahidi tupeko Kwa kweeeli
atenguliwe, ushahidi wa kutosha upatikane apelekwe mahakama ya mafisadi, sheria ichukue mkondo wake. No one is above the law.Inasemekana kapokea karibu 300 Milioni.
😆😁😄😃😀Jafo alichukua rushwa kubwa sn
Vinginevyo ni ujinga kusema amekula mlungula. Simply wastage of time broUlitaka ziwe hadharani?