Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru

Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru

Kwa kweli nchi yetu ina uhaba wa wataalam.
 
Yaani JAFO alivyofanikiwa kuiba Hela na wakurugenzi,dc wa wilaya na ma rc enzi za jiwe anadhani ataendeleza WIZI ule halafu tunyamaze kwa kweli kwa hili la KUBWING"A RUSHWA ya wenye migodi waliochafua huo mto mara ofisi ya raisi mchunguzeni huyo Jafo inawezekana anautaka 2025.
 
Yaani JAFO alivyofanikiwa kuiba Hela na wakurugenzi,dc wa wilaya na ma rc enzi za jiwe anadhani ataemfeleza WIZI ule halafu tunyamaze kwa kweli kwa hili la kila RUSHWA ya wenye migodi waliochafua huo mto mara ofisi ya raisi mchunguzeni huyo Jafo inawezekana anautaka 2025.
Mkuu kila mtu Tanzania ni mwizi katika nafasi yake. Temana na Jaffo
 
🐒🐒🐒
 
Yaani JAFO alivyofanikiwa kuiba Hela na wakurugenzi,dc wa wilaya na ma rc enzi za jiwe anadhani ataemfeleza WIZI ule halafu tunyamaze kwa kweli kwa hili la kila RUSHWA ya wenye migodi waliochafua huo mto mara ofisi ya raisi mchunguzeni huyo Jafo inawezekana anautaka 2025.
Ukiachana na huo upupu kwenye report, nionyeshe waziri ambae hajaiba awamu ya 5 na ambae haibi sasa hivi. Juzi tu hangaya katoka kuwaambia wanavimbiwa sana.

Waziri wa CCM na kuiba ni sawa na samaki na shombo
 
#HABARI Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.

"Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo...
safi ktk uchunguzi na wale walochunguza mwanzo wachunguzwe nao.
 
Wabunge wakataa kupokea ripoti ya Mto Mara iliyoundwa na Waziri wa Mazingira, Seleman Jafo.

Habari zaidi endelea kufuatilia mitandao yetu.

=====

Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.

Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo.

Chanzo: Nipashe
 
atenguliwe, ushahidi wa kutosha upatikane apelekwe mahakama ya mafisadi, sheria ichukue mkondo wake. No one is above the law.


YESU NI BWANA
Angekuwa msafi angejiuzuru kupisha uchunguzi huru
 
Bunge likiwa imara, mambo ya nchi huenda vizuri sana (and vice versa is true.) Namuomba Mungu mwaka 2025 vyama shindani vimiliki Bunge na kutoa Waziri Mkuu, nchi inaweza ikapiga hatua kubwa sana mbele.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Back
Top Bottom