Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru

Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru

hivi mbona mbowe naye anaiba sana tu mbona huwaga hamsemi kuwa ni kama samak na shombo hebu muulizeni hela million miamoja aliyopewa na sabodo kujenga ofisi aliipeleka wapi mpaka leo mpo ufipa? acheni kunanga watu hali na nyie mnaliwa kimyakimya
nyokoo zako; hapa tunaongelea mambo ya msingi wewe unaleta ujinga. Shut you fu@:<$%^&*** mouth !!!
 
Ndo unachowaza. Je we mkeo au mumeo akiwa serious utakuwa wapi? Why always negativity. Hawezi kuwa mpumbavu kiasi hicho kupokea Rushwa ya kijinga.
Kwani ilisha kuwa aibu Kwa mwana chukua chako mapema 🤔 kufanya jambo la aibu,lakijinga😜
 
DKT.MUSUKUMA AJIUZULU

Mhe. Joseph Musukuma amejiuzulu nafasi yake ya ubalozi wa mazingira baada ya kutokuridhishwa kwake na ripoti ya uchafuzi mto Mara.Amelishauri bunge liikatae ripoti kwa sababu ni proffesorial rubish, "magugu Maji hayauwi samaki,wala hayazalishi mafuta"
Hii ilipaswa kuwa habari MPASUKO, 😆😁
 
tatizo hapa si kuchafuka kwa mto mara, ila wa Tanzania wengi mna majibu yenu ambayo tayari mmeisha yapigia mstari, haya basi kwanza andaeni data za uongo kama alivyo fanya jiwe kwenye makinikia, ndiyo mumtie hatian yuho 'mtuhumiwa' wenu, vinginevyo mtachezeshwa root reggae ……………..
Kwa akili yako ya kuweza kusoma na kuandika unaona hiyo report iko sawa kwa hiyo tuamini
 
Kikao cha wabunge wa CCM (Party Caucas) kilichoketi mchana huu, kimeazimia kwamba ripoti ya kamati iliyoundwa kuchunguza uchafuzi wa mto Mara isitumike wala kuchapishwa kokote, baada ya kuonekana imejaa upotoshaji huku azimio lingine ni kutaka kuundwa kwa tume huru ya uchunguzi. https://t.co/WNn9z0eVCt
20220405_185418.jpg
 
Kwahiyo maprofeso wenu walisema uongo?,kama ni uongo nani aliunda hii tume ya uongo? Je atawajibiswaje na waadhirika wa kadhia hii
 
Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.

"Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo.

Chanzo: Nipashe
Pia soma

PCCB waliingilie kati suala hili.
Kuna kila dzlili ryshwa imerembea na rushwa huwa inaonekana kwa matokeo tu.
Si rahisi kuona pesa ilivyotembea lakini tunaona matokeo ya rushwa hiyo.
Ripoti fake.
 
PUMBAVU Tz politicians na huyo prof. wa mikojo na vinyesi
 
Hii ripoti pamoja na ripoti ya makinikia zilizoandaliwa na maprofesa wa UDSM zinaonyesha wazi kuwa inawezekana hata wahitimu wa hii fani ya madini na miamba wanafundishwa ujinga.
 
Kama mapolofesa wenyewe ama pulofeseli aka propesa , njaaa yao ni kubwa kuliko hata wenye njaa wenyewe unategemea kuna ripoti ya maana ingetoka hapo? kuna vitu vinatia aibu sana , yani watu kama hawa ingekua china ungeskia wamepotea.

Kuna vitu vinaleta ukakasi sana , inawezekanaje samaki wafe kwa kinyesi cha mifugo wakati ndio chakula chao, kuna watau wanajikuta wanaakili sana kuzidi wengine kisa eti wanaitwa wasomi, njaa ni kitu kibaya sana na ndio imetufikisha hapa tulipo, na sasa mafuta nayo yamepanda iundwe tume tu ya wasomi na yenyewe ituletee majibu kwanini.
 
Back
Top Bottom