vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,845
- 2,258
Inasemekana kapokea karibu 300 Milioni.
Mtauana bure Jafo hana hadhi hiyo ya 300, anayekataa hiyo ripoti aje na evidence na sio brabra za kimanara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana kapokea karibu 300 Milioni.
Bunge likiwa serious,JAFO ANATOLEWA MCHANA KWEUPE.
Kwa hiyo chichiem mmeamua mumpoteze PhD wenu au wanamchuria TU🤔
Mkuu kila mtu Tanzania ni mwizi katika nafasi yake. Temana na Jaffo
Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.
"Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo.
Chanzo: Nipashe
Pia soma
- Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
- Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini
Hata kama tafiti zibishane zenyewe kwa zenyewe hii ya mto mara aiseeee Ina maajabu yake,, mikojo Ina sumu na ng'ombe bado wangali hai na maziwa watu wanakunywa na hawazuliki!!! Kaaaaa nyie jamaa. Turudishieni chenjiiiiiBaada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.
"Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo.
Chanzo: Nipashe
Pia soma
- Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
- Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini
Sure, ila si kwa bunge la kitanzania hili tunalolijua maybe kwa future years.Bunge likiwa serious,JAFO ANATOLEWA MCHANA KWEUPE.
Akipewa pipi anaikubali...Hiyo ripoti hata mtoto wa chekechea hawezi kukubali
hivi mbona mbowe naye anaiba sana tu mbona huwaga hamsemi kuwa ni kama samak na shombo hebu muulizeni hela million miamoja aliyopewa na sabodo kujenga ofisi aliipeleka wapi mpaka leo mpo ufipa? acheni kunanga watu hali na nyie mnaliwa kimyakimyaUkiachana na huo upupu kwenye report, nionyeshe waziri ambae hajaiba awamu ya 5 na ambae haibi sasa hivi. Juzi tu hangaya katoka kuwaambia wanavimbiwa sana
Waziri wa CCM na kuiba ni sawa na samaki na shombo
kwani ripoti gani hujaisikia karume mateja yamechoma kariakoo umeme unataka uambiwe ccm wamechoma ndiyo ujue ni ya ukweli?ili tuwaamini kuwa hamuogopi mwambieni waziri mkuu alete bungeni ripoti za masoko yaliyoungua