Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru

Wabunge waikataa ripoti ya Tume ya Mto Mara. Wataka iundwe tume huru

Ndo unachowaza. Je we mkeo au mumeo akiwa serious utakuwa wapi? Why always negativity. Hawezi kuwa mpumbavu kiasi hicho kupokea Rushwa ya kijinga.
Lakini aliweza kuwa mpumbavu wa kiwango cha zege kukubali yaliyo kwenye ripoti
 
Hahaaa!!hakuna lolotee, hii hali inatokana na uhuru anaoutoa mh.rais, kwani kipindi cha awamu ya 5, nani alithibutu hata kukosoa?!!leo eti mbunge wa ccm anasema bunge kutoonyeshwa live, walikuwa gizani!!kitu ambacho kilikuwa ni dhabi, siasa za kiafrika bila unafika hutoboi!!!
Kwa akili yako unadhani ripoti kamahii ingeweza kutolewa awamu ya tano?
 
Kwa akili yako unadhani ripoti kamahii ingeweza kutolewa awamu ya tano?
Mwaka 2018, ambapo hali kama hii ilijitokeza ngombe walipokufa na walipokuwa wakichinjwa wanakuta nyama ni nyeusi, , rais alikuwa nani?!!yeye hata mambo ya tume alikuwa hana muda nao kabisa.

Ni mambo mangapi yalitokea wananchi wakahitaji iundwe tume lakini wapi!!na kuna hata mbunge mmoja alikuwa anaweza kusimama na kuhoji!

MUNGU FUNDI.
 
Hata hao wanao taka kuanzisha tume huruu wanataka mlungulaa tu,wameona hawajapata wanatafta njia na wao kupata mgao wao.north Mara barrick watatoaa chochote kuruka hi kashifaa
 
tatizo hapa si kuchafuka kwa mto mara, ila wa Tanzania wengi mna majibu yenu ambayo tayari mmeisha yapigia mstari, haya basi kwanza andaeni data za uongo kama alivyo fanya jiwe kwenye makinikia, ndiyo mumtie hatian yuho 'mtuhumiwa' wenu, vinginevyo mtachezeshwa root reggae ……………..
Umeisoma report hiyo ya mikojo na kinyesi cha ng'ombe? Well, walau basi umesikiliza uchambuzi wa wabunge? Binafsi sikua na IMANI na ile report since day 1 inatangazwa, sijaisoma but nimemsikiliza profesa Kitila Mkumbo, na nukuu baadhi ya mchango wake, kwamba kwenye ile report kuanzia mwanzo hadi mwisho wa uchunguzi wao, hakuna sehemu hata moja walipogundua uwepo wa mavi ya ng'ombe na mikojo, hilo linaonekana kwenye conglusion yao (kama umewahi kuandika report kuna kitu kinaitwa excutive summary report, mkono na kinyesi cha ng'ombe kinaibuka) Profesa Kitila anamuuliza profesa mwenzie, kwamba kama mwanafunzi wake angeandika kitu cha namna hiyo, hana UHAKIKA yeye angemfanya nini huyo mwanafunzi kwa report ya naman hiyo. Jaribu kwenda youtube halafu tafuta hizo clip upate madini, usipende kubisha tu wakati hujasikiliza pia upande wa pili
 
Umeisoma report hiyo ya mikojo na kinyesi cha ng'ombe? Well, walau basi umesikiliza uchambuzi wa wabunge? Binafsi sikua na IMANI na ile report since day 1 inatangazwa, sijaisoma but nimemsikiliza profesa Kitila Mkumbo, na nukuu baadhi ya mchango wake, kwamba kwenye ile report kuanzia mwanzo hadi mwisho wa uchunguzi wao, hakuna sehemu hata moja walipogundua uwepo wa mavi ya ng'ombe na mikojo, hilo linaonekana kwenye conglusion yao (kama umewahi kuandika report kuna kitu kinaitwa excutive summary report, mkono na kinyesi cha ng'ombe kinaibuka) Profesa Kitila anamuuliza profesa mwenzie, kwamba kama mwanafunzi wake angeandika kitu cha namna hiyo, hana UHAKIKA yeye angemfanya nini huyo mwanafunzi kwa report ya naman hiyo. Jaribu kwenda youtube halafu tafuta hizo clip upate madini, usipende kubisha tu wakati hujasikiliza pia upande wa pili
Hiyo clip hii hapa



Lakini kama unashangaa yaliyomo kwenye ripoti hiyo, Je haya uliwahi kuyasikia! (Hii Tanzania bwana)

 
Baada ya kuwasilishwa bungeni leo ripoti ya Uchafuzi wa Mto Mara, wabunge wameikataa na kutaka kuundwe tume huru ya uchunguzi.

"Ripoti ya Kamati ya Kitaifa kuhusu Uchafuzi wa Mto Mara ina upotoshaji. Isiwekwe hata kwenye tovuti ya wizara. Hakuna mafuta Ziwa Victoria. Ikiwekwa kwenye tovuti, UNESCO watanishangaa mimi mtaalamu wa eneo hili," Prof. Muhongo.

Chanzo: Nipashe
Pia soma

Huo mto una ukubwa gani hem leteni picha hapa tuone kama kuna cha kujadili, mana isijekuwa tunajadili vidimbwi
 
Nadhani tume huru imeisha undwa..je italeta majibu lini bungeni?ama ndio ripoti kuwekwa makabatini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom