Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Spika bado hajapokea Maamuzi Kimaandishi.... Anasikia tu juu juu Mitandaoni...!
Wajanja kama mie hawateseki wanaendelea kumwagilia moyo na vitu bardiiiiiii..!

Shauri zake mwache ajifanye mwamba siku ya kuanguka haijui. Amuulize Ndugai kilichomkuta.
 
Hilo ni kweli kabisa kwa sababu Spika hakuwa mmoja wa washtakiwa!! Lakini ni yeye pia alisema kwa mdomo wake kuwa hatawaondoa wabunge hao kwa kuwa amepata taarifa kuwa wamefungua kesi mahakamani. Busara inamtaka awaache bungeni mpaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali atakapoifahamishe Tume ya Uchaguzi uamuzi wa mahakama. Au pale Chadema itakapopeleka majina ya wanachama wa kike 19 kama wateuliwa wa ubunge kwa NEC. Kwa jinsi nchi yetu inavokwenda kwa sasa, nachelea kusema jambo hili litaingia phase mpya na ambayo haikutarajiwa - ya Spika kusubiri maamuzi ya NEC ambayo hayatakuja kwa sababu kesi iliyofunguliwa na akina Mdee ilikuwa ikiishitaki NEC pia. Ni lini NEC itasema kwa Spika viti 19 vya Chadema viko wapi? A billion dollar question!!

Endelea kunywaga hiyo kitu baridi kwa koo, mkuu!!

Tatizo ambalo huelewi ni kwamba chadema haina wabunge wa viti maalum. Waliopo ni wa serikali.
 
Sarakasi za ccm, Wala sio Maamuzi binafsi ya speaker
 
Nadhani ile taarifa ya maamuzi ya mahakama ya jana itakuwa haijafika kwa spika. Tu assume kuwa maamuzi yale yalisomwa jana mchana na ni Dar, na hao matapeli wanajua taarifa haijafika bungeni na ushiriki wao wa leo utawaingizia sitting allowance na night allowance ya mwisho jee kwa njaa hii wanaweza kuacha?
Kesho hawaji.

Hao madada wamelaaniwa kabisa. Shida yao ni mshahara sio ubunge.
 
Spika bado hajapokea Maamuzi Kimaandishi.... Anasikia tu juu juu Mitandaoni...!
Wajanja kama mie hawateseki wanaendelea kumwagilia moyo na vitu bardiiiiiii..!
Mbona mwanzo aliwaacha bungeni hata kabla mahakama haijatoa uamuzi
 
Hilo ni kweli kabisa kwa sababu Spika hakuwa mmoja wa washtakiwa!! Lakini ni yeye pia alisema kwa mdomo wake kuwa hatawaondoa wabunge hao kwa kuwa amepata taarifa kuwa wamefungua kesi mahakamani. Busara inamtaka awaache bungeni mpaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali atakapoifahamishe Tume ya Uchaguzi uamuzi wa mahakama. Au pale Chadema itakapopeleka majina ya wanachama wa kike 19 kama wateuliwa wa ubunge kwa NEC. Kwa jinsi nchi yetu inavokwenda kwa sasa, nachelea kusema jambo hili litaingia phase mpya na ambayo haikutarajiwa - ya Spika kusubiri maamuzi ya NEC ambayo hayatakuja kwa sababu kesi iliyofunguliwa na akina Mdee ilikuwa ikiishitaki NEC pia. Ni lini NEC itasema kwa Spika viti 19 vya Chadema viko wapi? A billion dollar question!!

Endelea kunywaga hiyo kitu baridi kwa koo, mkuu!!
Hujui kitu kabisa kuhusu sheria
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
FB_IMG_1655929357722.jpg
 
Nadhani ile taarifa ya maamuzi ya mahakama ya jana itakuwa haijafika kwa spika. Tu assume kuwa maamuzi yale yalisomwa jana mchana na ni Dar, na hao matapeli wanajua taarifa haijafika bungeni na ushiriki wao wa leo utawaingizia sitting allowance na night allowance ya mwisho jee kwa njaa hii wanaweza kuacha?
Kesho hawaji.
Unao hao hadi 2025
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
Si mpaka apate taarifa rasmi kwa mujibu wa taratibu.
Hawezi kufanyia kazi mitandao vuta subira
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
View attachment 2269527
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
View attachment 2269527
 
Back
Top Bottom