Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Unaweza ukasema wanaipenda sana kazi kumbe ni njaa ndo inawaletea ujasiri wa kuwepo hapo tena wengine hapo wanawafuga waume zao nyumbani
Tarehe za mishahara serikalini hizi, wanavuta posho ya leo na mshahara wa mwezi huu tayari unasoma kwenye account.

Bongo kwenye swala la pesa lazima uwe kauzu, unadhani wanapenda warudi kwenye maisha mpaka uvuliwe chupi ndio upate pesa?
 
Naulizajee..!!!! Zile posho na marupurupu walizolipwa na wanazoendelea kuchukua watazirudisha!????
 
Tarehe za mishahara serikalini hizi, wanavuta posho ya leo na mshahara wa mwezi huu tayari unasoma kwenye account.

Bongo kwenye swala la pesa lazima uwe kauzu, unadhani wanapenda warudi kwenye maisha mpaka uvuliwe chupi ndio upate pesa?
Kuwa na heshima,hao ni dada zetu,mambo ya chupi,yanahusu nini hapa.
 
Jana mahakama imewakataa lakini Leo ndani ya mjengo bado wanavimba, au mahakama bado haija
1655973124174.jpg
wasilisha taarifa rasmi?
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
It's just a matter of time, watatoka tu...

Hakuna kilicho na mwanzo, kikawa hakina mwisho...

Asiye na mwanzo wala mwisho ni mmoja tu, Mungu muumba wa mbingu na nchi...!
 
Kosa siyo lao! Kama sikumsikia vibaya Mnyika alisema Mwanasheria wa Serikali ndiye anapaswa kuwasilisha barua kwa Spika kumweleza maamuzi yaliyofikiwa na Mahakama kuhusiana na hao C-19! Baada ya hapo ndiyo Spika atachukua maamuzi.
 
Naulizajee..!!!! Zile posho na marupurupu walizolipwa na wanazoendelea kuchukua watazirudisha!????
Hoja nzuri hiyo. Wakifukuzwa Rasmi, KESI ifunguliwe maana Kuna tetezi za KUGHUSHI nyaraka.

Ikithibitika mahakamani watarudisha pesa za walipa KODI. Amen
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
CCM NI JANGA LA TAIFA HILI
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
Walindwa na system
 
Nadhani ile taarifa ya maamuzi ya mahakama ya jana itakuwa haijafika kwa spika. Tu assume kuwa maamuzi yale yalisomwa jana mchana na ni Dar, na hao matapeli wanajua taarifa haijafika bungeni na ushiriki wao wa leo utawaingizia sitting allowance na night allowance ya mwisho jee kwa njaa hii wanaweza kuacha?
Kesho hawaji.
SIO YA MWISHO bado watacheza tu na vipengere vya kisheria.mahakimu wetu hawatafsiri sheria bali wanaziweka sheria kuwa ngumu zaidi.na hii ndo kete yao wanayotumia kuwalinda wahalifu.
 
Back
Top Bottom