Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mfumo ni ovu snTumekaribia sana kufika.
Nonsense
Unasafishaje nyumba wakati wabunge haramu bado wanatamba bungeni!Absolutely!! Haya ndiyo maujinga Mwendazake alituachie, ngoja tusafishe nyumba
Kosa siyo lao! Kama sikumsikia vibaya Mnyika alisema Mwanasheria wa Serikali ndiye anapaswa kuwasilisha barua kwa Spika kumweleza maamuzi yaliyofikiwa na Mahakama kuhusiana na hao C-19! Baada ya hapo ndiyo Spika atachukua maamuzi.
NitafuteHii kitu inaletaga heshima sana. Sema tu sina View attachment 2269632View attachment 2269632
Nadhani ile taarifa ya maamuzi ya mahakama ya jana itakuwa haijafika kwa spika. Tu assume kuwa maamuzi yale yalisomwa jana mchana na ni Dar, na hao matapeli wanajua taarifa haijafika bungeni na ushiriki wao wa leo utawaingizia sitting allowance na night allowance ya mwisho jee kwa njaa hii wanaweza kuacha?
Kesho hawaji.
Hii nchi wanatubeba kifala sana.
Samia Ukiendelea hivi Mwisho wako utakua mbaya na Laana utakazopata ni zaidi ya Jiwe.
Stupid 🚮 🚮
Hivi mwenyekiti atajishtaki Kwa Nan?..Spika alikuwa sehemu ya washtakiwa.
..Na aliwakilishwa au alikuwa akitetewa na mawakili wa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali.
..kwa msingi huo Spika hawezi kusema hana taarifa za hukumu iliyotolewa.
..pia mwanasheria mkuu wa serikali, ambaye ofisi yake ilituma mawakili kumtetea Spika, anashiriki vikao vyote vya bunge kutokana mamlaka yake.
..kinachoendelea hapa ni DHARAU kwa mahakama. Tunajenga tabia ambayo itakuja kutuletea matatizo.
Cc Petro E. Mselewa
Haya mambo mwisho wake hautokuwa km jinsi tunavyotaka.Haki itapatikana tu hata wakichelewesha watatoka.
Saut ya zege amezid kuwa mrembo kweli kweli.
Ubongo wake umefikia hapoWhere is the connection with this article
Msisahau hata huyo spika ni product ya ukatili na wizi wa kura wa meko.Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.
Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.
Pia soma - Chadema yadai kwamba iliwasilisha Kwa Spika wa Bunge Taarifa ya Mdee na wenzake kushindwa kesi mara tu baada ya uamuzi wa Mahakama
Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza