Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Msisahau hata huyo spika ni product ya ukatili na wizi wa kura wa meko.

Mambo sio marahisi kama mnavyodhani

Hapo kanasubiri barua ya mahakama

..msikilize Spika Tulia hapa chini.

..anasema kuna kitu kinaitwa JUDICIAL NOTICE.

..kwamba suala likienda mahakamani, au likiamuliwa, basi wahusika hawatakiwi kusuburi barua toka mahakamani.

 
Kuna mwanasheria nilimsikia anasema kesi haijatupwa ila kuna sehemu walikosea kuandika hivyo wanaruhusiwa kufanya marekebisho na kuifungua tena
Wanaruhusiwa ila wanatakiwa wafanye wakiwa nje ya Bunge kama ilivyokua kwa Nassari na Lissu why Hawa wanabaki bungeni mbona hii window kina Sophia Simba hawakupewa?? Hii nchi kuna vitu vinaudhi sana
 
Kwani hao COVID19 wanaishi peponi?

Si tunaishi nao mitaani........
 
Kuna mwanasheria nilimsikia anasema kesi haijatupwa ila kuna sehemu walikosea kuandika hivyo wanaruhusiwa kufanya marekebisho na kuifungua tena
Kwa hiyo hata kama hawana nia ya ya kufanya marekebisho, mahakama itaendelea kuwasubiri kwa kuhisi kuwa ipo siku moja watafanya marekebisho?
 
Ifike mahali viongozi washenzi wawe wanashughulikiwa hapo hapo.

Huyu ndio anakuja laumu watu hawafuati utaratibu wakati yeye haeshimu katiba

Msiwenawapa watu uongozi kisa jinsia zao au dini zao angalie wanachofanya sasa siku huyu mama akapewa madaraka makubwa zaidi ya hayo nchi haitokuwa salama.

Uko ccm viongozi kama hawa nyie mnawaonaje wanaoidharau katiba ya nchi wazi wazi nyie binafsi hamuoni aibu hata kujishtukia.

Aisee inasikitisha sana unajua
 
Shauri zake mwache ajifanye mwamba siku ya kuanguka haijui. Amuulize Ndugai kilichomkuta.

Hacha kupotosha Watu chief Ndugai hakijamkuta kitu, yeye kwa sababu zake alimua tu kuachia ngazi.....si yupo Bungeni kama mbunge wa Kongwa?
 
Ifike mahali viongozi washenzi wawe wanashughulikiwa hapo hapo.

Huyu ndio anakuja laumu watu hawafuati utaratibu wakati yeye haeshimu katiba

Msiwenawapa watu uongozi kisa jinsia zao au dini zao angalie wanachofanya sasa siku huyu mama akapewa madaraka makubwa zaidi ya hayo nchi haitokuwa salama.

Uko ccm viongozi kama hawa nyie mnawaonaje wanaoidharau katiba ya nchi wazi wazi nyie binafsi hamuoni aibu hata kujishtukia.

Aisee inasikitisha sana unajua

Mkuu hacha kupanic kwa mambo ambayo wenzio wanaingiza hela ww unaingia sumu Mwilini,Halima na wenzake hawakujipeleka Majina NEC na bungeni wenyewe,na hawakujisainia barua wenyewe.Jiulize kwa nini Mbowe aliomba kuonana na Mama Samia Tena faragha baada ya ili swala kuibuka?
 
Maisha Ni Vita babu .hayo Ni maisha ya kisiasa Ni akili yako na ushapu wako kungamua wapi utapata pesa kwa mbinu zozote ulitaka Nani waende bungeni

Hata hao wa bunge wa ccm wengi wako pale isivyo halali hili hawalisemi hkn mbunge pale hata tulia Yuko pale isivyo halali jaribu kulitazama hili kwa wabunge wengi jins walivyo ingia kimazabe so wakina mdee wapambane maisha Ni vita
 
Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.

Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.

Pia soma - Chadema yadai kwamba iliwasilisha Kwa Spika wa Bunge Taarifa ya Mdee na wenzake kushindwa kesi mara tu baada ya uamuzi wa Mahakama

Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
Michongo yote inafanyika huko huko kwahiyo hawana wasiwasi watamaliza kipindi chao salama salimini labda wawape kiinua mgongo chao chote sasa hivi
 
Misafara ya Ikulu kila kukicha inatia Wasiwasi huenda haya ndo Matunda yake..!
Waache Waendelee kula hiyo posho.
 
Back
Top Bottom