Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tarehe za mishahara serikalini hizi, wanavuta posho ya leo na mshahara wa mwezi huu tayari unasoma kwenye account.Unaweza ukasema wanaipenda sana kazi kumbe ni njaa ndo inawaletea ujasiri wa kuwepo hapo tena wengine hapo wanawafuga waume zao nyumbani
sukuma gang imehusika vp hapo au unaropoka tu ilibuonekane
Sura zimewashuka kama wametoka kutoa mimba
Kuwa na heshima,hao ni dada zetu,mambo ya chupi,yanahusu nini hapa.Tarehe za mishahara serikalini hizi, wanavuta posho ya leo na mshahara wa mwezi huu tayari unasoma kwenye account.
Bongo kwenye swala la pesa lazima uwe kauzu, unadhani wanapenda warudi kwenye maisha mpaka uvuliwe chupi ndio upate pesa?
Wao wana heshima gani? Pimbi wewe.Kuwa na heshima,hao ni dada zetu,mambo ya chupi,yanahusu nini hapa.
It's just a matter of time, watatoka tu...Wabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.
Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.
Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
Na wewe ni sukuma gang?sukuma gang imehusika vp hapo au unaropoka tu ilibuonekane
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema akulipie ada kabsa na uniform atatafsiri mpaka lini
Hoja nzuri hiyo. Wakifukuzwa Rasmi, KESI ifunguliwe maana Kuna tetezi za KUGHUSHI nyaraka.Naulizajee..!!!! Zile posho na marupurupu walizolipwa na wanazoendelea kuchukua watazirudisha!????
CCM NI JANGA LA TAIFA HILIWabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.
Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.
Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
Halimaaa kuingizwa kingi kupitia bulayo mbinu zilianzia mbaaal sana.
Yafaa waje kuzirudisha wao au Ndugai. Kinachotakiwa zirudiNaulizajee..!!!! Zile posho na marupurupu walizolipwa na wanazoendelea kuchukua watazirudisha!????
Walindwa na systemWabunge wa Viti Maalum, Salome Makamba na Grace Tendega wapo Bungeni, leo Alhamis Juni 23, 2022 na wameuliza maswali ya nyongeza baada ya kupewa fursa hiyo na Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.
Wabunge hao walifukuzwa uanachama CHADEMA na kesi waliyofungua kupinga kufukuzwa Mahakamani imetupwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam.
Tujikumbushe Wabunge hao 19
Halima Mdee
Esther Matiko
Grace Tendega
Cecilia Pareso
Ester Bulaya
Agnes Lambart
Nusrat Hanje
Jesca Kishoa
Hawa Mwaifunga
Tunza Malapo
Asia Mohammed
Felister Njau
Naghenjwa Kaboyoka
Sophia Mwakagenda
Kunti Majala
Stella Flao
Anatropia Theonest
Salome Makamba
Conchesta Rwamlaza
Tumekaribia sana kufika.Walindwa na system
SIO YA MWISHO bado watacheza tu na vipengere vya kisheria.mahakimu wetu hawatafsiri sheria bali wanaziweka sheria kuwa ngumu zaidi.na hii ndo kete yao wanayotumia kuwalinda wahalifu.Nadhani ile taarifa ya maamuzi ya mahakama ya jana itakuwa haijafika kwa spika. Tu assume kuwa maamuzi yale yalisomwa jana mchana na ni Dar, na hao matapeli wanajua taarifa haijafika bungeni na ushiriki wao wa leo utawaingizia sitting allowance na night allowance ya mwisho jee kwa njaa hii wanaweza kuacha?
Kesho hawaji.