Wabunge waliofukuzwa CHADEMA wapo Bungeni leo Juni 23, 2022, Spika kawaruhusu kuuliza maswali

Spika anawalia wazo, kwamba awaandikie barua watamshiki, kwamba awaambie tokeni humu ndani, kamati ya maadili itamjia juu, sasa anatafuta mwongozo nchi nyingine
 
Kosa siyo lao! Kama sikumsikia vibaya Mnyika alisema Mwanasheria wa Serikali ndiye anapaswa kuwasilisha barua kwa Spika kumweleza maamuzi yaliyofikiwa na Mahakama kuhusiana na hao C-19! Baada ya hapo ndiyo Spika atachukua maamuzi.

Spika alikuwa ameshtakiwa ndio maana aliwakilkshwa na mawakili wa ofisi ya mwanasheria mkuu.

Kitendo cha mawakili wa serikali kuwepo mahakamani maana yake ni kwamba Spika alikuwepo mahakamani.

Kwa msingi huo Spika hawezi kudai hana taarifa. Ni sawa na Chadema waseme hawaba taarifa wakati mawakili wao walikuwepo mahakamani.

Pia Halima na wenzake hawapaswi kuwa bungeni baada ya mahakama baada ya mahakama kutupilia mbali kesi yao. Wanachofanya sasa ni dharau mbaya sana kwa mahakama.

NB:

Jaji anapoingia mahakamani huitisha majina ya pande zinazohusika na kesi. Msingiwa kufanya hivyo ni kuhakikisha kila upande umesikilizwa, na kila upande una taarifa maamuzi yanapotoka.
 
The judiciary has spoken the ball is firmly in Tulia's court -do nothing,do something or do the right thing. Tanzania is waiting na matumaini mapya.
 
Niliwaambia Chadema mapema leo kwamba sijaona pahala Jaji wa Mahakama kuu alilosema Halima Mdee na wenzake siyo wanachama halali wa Chadema.

Sass naona akina Halima Mdee wako bungeni kama kawa

Nchi ngumu sana
 

..Spika alikuwa sehemu ya washtakiwa.

..Na aliwakilishwa au alikuwa akitetewa na mawakili wa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali.

..kwa msingi huo Spika hawezi kusema hana taarifa za hukumu iliyotolewa.

..pia mwanasheria mkuu wa serikali, ambaye ofisi yake ilituma mawakili kumtetea Spika, anashiriki vikao vyote vya bunge kutokana mamlaka yake.

..kinachoendelea hapa ni DHARAU kwa mahakama. Tunajenga tabia ambayo itakuja kutuletea matatizo.

Cc Petro E. Mselewa
 
Hivi mwenyekiti atajishtaki Kwa Nan?
 
Mkuu huyu alikuwa Prof na naibu AG!

Sikiliza video anasema mahakama ikisema anatekeleza. Hiyo ilikuwa wakati wanafungua kesi
Kwa anasubiri nini? Mahakama imesema

Yaani anaongea tu utadhani ni mtu wa mitaani
Haya ni madhara ya utawala wa Magufuli ! very disturbing
 
Msisahau hata huyo spika ni product ya ukatili na wizi wa kura wa meko.

Mambo sio marahisi kama mnavyodhani

Hapo kanasubiri barua ya mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…