Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ukishabikia CCM au CHADEMA?Kipimo cha kutokuwa na Akili timamu ni kushabikia CCM na CHADEMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo aje kutumia huo ushawishi huku CCMNaambiwa za Ndani Jualikali Anaushawishi Mkubwa sn ndan ya chama na Nje ya Chama hagusiki hata lema amuanya balaa
Uonevu gani bwashee?!
Hivi hii karantini si inabidi ukaripoti kwenye mamlaka husika zikuweke karantini pamoja na wengine au unajiweka mwenyewe nyumbani kwako? Wamekiuka kanuni za Karantini kama wapo majumbani mwao. Walitakiwa kuwa Hostel za Magufuli pale UDSM.Wangetangaza kujiondoa kwenye uchaguzi mkuu kabisa ili waendelee kukaa karantini.