GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Je na hawa kama wakikaidi / wakidinda / wakikataa kuhamia huko wanakotakiwa kwenda, nao safari hii hawatotishiwa Kuchukuliwa kilazima na Malori mapya haya ya Jeshi kama kwa sakata la Korosho?